Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Kwamba mnataka kwepesha gaidi alichomfanyia pale Kawe?
Hiyo ni tabia binafsi kama ambavyo mtu anumua mpenzi wake kwa ajili ya wivu wa mapenzi.

Alichokifanya huyo ni kitendo kiovu kabisa na hakumua kea sababu za dini kama wale wanaojipua wanavyodai.

Tatizo ni watu kukosa uadilifu kuhusisha dini yake na kile alichokifanya hapo sio sawa kabisa.Hata Maghayo japo mfia ugalatia ameliona hili hana huo ujinga amegundua kabisa kwamba sio jambo la haki.
 
Hiyo ni tabia binafsi kama ambavyo mtu anumua mpenzi wake kwa ajili ya wivu wa mapenzi.

Alichokifanya huyo ni kitendo kiovu kabisa na hakumua kea sababu za dini kama wale wanaojipua wanavyodai.

Tatizo ni watu kukosa uadilifu kuhusisha dini yake na kile alichokifanya hapo sio sawa kabisa.Hata Maghayo japo mfia ugalatia ameliona hili hana huo ujinga amegundua kabisa kwamba sio jambo la haki.
Kina nani hujilipua duniani?
 
Kwahio mnashindana?
Sio kushindana ninkufundisha somo la uadilifu watu wanaua kwa sababu mbalimbali si vizuri kuhusisha dini yake na tukio binafsi haswa sababu ya tukio hilo sio la kidini.
 
Sio kweli,wakristo wa uongo.ndio wanashindana na uislamu kama wewe.Wakristo wenyew hasa,wana undugu na waislamu,wanaishi vizuri.Ntinyi wakristo wa uongo,wakimbizi,ndio mnaoleta uchochezi.Wakristo watanzania na waislamu ni ndugu,hawabaguani.
Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
 
Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
Qu'ran ina misingi yake ya Exegesis ,kila aya ina misingi yake ya kutolewa na kuiendea na kuitekeleza ..
 
Yesu anasema
"Bwana ni mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Muwafundishe waislamu wayajue mafundisho na maamrisho ya Allah , kwamba ata ndugu ,mzazi kaka dada wakiwa ni wakristo basi hawatakiwi kuwa na urafiki nao kabisa

Allah kasema
9;23. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....

Allah mpaka Baba na Mama Yako anasema kama sio waislamu wachukie (usiwapende kabisa)
 
Tukisema tuweke vifungu Moja kuwa moja katika maandiko ya vitabu vya dini mtu utakosea vitu vingi.

Hata humu mkiwekewa vifungu vya bible vinavyowabana majibu yenu ni;

1.Bible haisomwi kama gazeti.
2.Hiyo sio maana yake umetafsiri vibaya.
3.Hauwezi kuelewa kama hauna(haujapitiwa) na ROHO MTAKATIFU
4.Nk.

Ila ukija upande wa uislamu unataka uweke vifungu Moja kuwa Moja kuaminisha watu kuwa msingi wa hiyo aya ni kama ilvyoandikwa ,sasa hapo ni kukosa uadilifu na hilo ndio somo la leo.

Kiufupi Qu'ran na mafundisho ya Uislamu yana misingi yake katika kuendelea ,kuelewa na kutekeleza maaamrisho mfano kuna aya inataka mwizi akatwe kiganja cha mkono na haijabainisha wazi, lakini mwizi wa Big G , chapati ,au ayedokoa mchele kwa Mangi huwezi hawezwi kukatwa kiganja cha mkono kisheria kama yule aliyeiba Mamilioni ,gari nk .Na kuchukua maandiko kibubusa(blindly) bila kufuata misingi ndio chanzo cha hawa MaAlshabaab.

Kwa namna hiyo ndio maana nakuacha tu sababu hauna nia njema bali mabishano yaliyosa msingi.
Mbona andiko lipo wazi kabisa , kumbuka nyie Allah kasema mnaweza kuelezea andiko kwa kutumia Takiya (uongo mtakatifu wa Allah )

Allah anasema
Koran 5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.....
 
Labda itakuwa umechanganya matukio .Hili nililoleta uzi aliyefanya ni mwanafunzi wa Shule hiyo hiyo na sio mvamizi sasa niambie kama mwanafunzi wa hiyo shule ya Kikatoliki alikuwa Muislamu.

Nipe ushahidi wa maneno yako tafadhali.
Ni mwanafunz mwislam alimuua mwl wake. Mbona una ubish wa kijinga. We unafikiri shule za kikatoliki hazina wanafunz waislamu sio. Miriam bagamoyo uliwah kufika pale mpaka msikiti wamewajengea
 
Moja kwa moja..

Mwalimu katika shule ya sekondari ya binafsi katika mji wa Ufaransa wa Saint-Jean-de-Luz karibu na Biarritz ameuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi siku ya Jumatano alipokuwa akifundisha darasani.

Mshukiwa wa shambulio hilo, mwenye umri wa miaka 16, alikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi na mwathiriwa alikuwa mwalimu wa Kihispania mwenye umri miaka 56.

“Ninaweza kuthibitisha kwamba kumekuwa na kuchomwa kisu na kwamba mwathiriwa amekufa”

mwendesha mashtaka wa umma huko Bayonne, Jerome Bourrier, aliiambia shirika la AFP.

Matukio hayo yalifanyika katika shule ya Kikatoliki ya Saint-Thomas d’Aquin huko Saint-Jean-de-Luz, yapata kilomita 20 kusini mwa Biarritz karibu na mpaka wa Uhispania.

Hii ni mara ya kwanza kwa mwalimu kuuawa wakati wa majukumu yake nchini Ufaransa tangu mauaji ya Samuel Paty katika msimu wa vuli mwaka 2020.
View attachment 2695951
Nb: Islamaphobia ipo, nimeona uzi ukihusisha mwanafunzi wa Shule ya Qiblatan kununua mwalimu .Jinsi watu walivyokuwa wapuuzi wanaacha kujadili tukio na kukemea wanaanza Kashfa za kidini kipuuzi kana kwambwa dini imemuamrisha hivyo na matukio kama hayo hufanfwa na Waislamu tu.

Tukija huku bongo matukio ya mauaji na ukatili yanatokea mikoa ambayo yanakaliwa zaidi na watu wa dini nyingine huwezi kuwakuta wenye akili timamu wanahusisha matukio hayo na dini yao.

Hilo ni India ,hata wewe ikiwa mwanao kafanya makosa binafsi kinyume na wewe unavyotaka je ni haki mtu kusisha matukio yake na wewe japo ulimkany

Watu wamekosea busara na akili kwa sababu ya chuki kiasi ambacho wanakosa uadilifu.
Shot his mother ndo kuchoma kisu? Stop twisting the true events.
 
Shot his mother ndo kuchoma kisu? Stop twisting the true events.
Nimeweka kama mfano wa kuongezea kuhusu matukio ya mauaji.Kuwa ni swala la kawaida mtu kuua mtu kwa sababu mbalimbali.
 
Hakuna mabishano mimi huwezi kunikuta katika mabishano ya kidini hiyo ilikuwa zamani ,mtu akileta huwa nampuuza .

Malengo ya huu uzi ni kutoa somo la uadilifu.Mimi hakuna kitu ambacho nachukuia kama kukosa uadilifu hata mimi mwenyewe,viongozi wangu ,wazazi nk wakikosa uadilifu lazima niwaambie kwa hekima na busara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yesu anasema
"Bwana ni mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Yesu asema
"Msidhani nimekuja kuleta amani,sikuja kuketa amani bali upanga "
Matthew 26:39-46
Sasa wewe haya mambo yetu ya rohoni unayasoma na kuyatafsiri kama unavyotafsiri gazeti mtaani, umepotea mjomba..
 
FICHA UJINGA.
KAMA HUJUI VITU SEMA TUKUSAIDIE.

MAANA YA UPANGA.

Tena ipokeeni chapeo ya wokovu na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu. —WAEFESO 6:17
Hapa umemaliza, vilaza wanadhani maandiko ya biblia ni kama ya kwenye gazeti la Sani.
 
Wewe umeshapuuzwa tokea zamani hakuna mtu mwenye muda wa kujibu mashudu yako.Nafurahi kuona Waislamu humu wameanza kuelewa na kupuuza tu ,hiyo ni hatua nzuri sana kwani majadiliano na watu dizaini yako hayana afya kabisa.
Umempuuza vipi bila kumjibu, sema mnamkimbia, mnaonekana wepesi sana vichwani na wenzako hasa nikiwasoma maandiko yenu.
 
Umempuuza vipi bila kumjibu, sema mnamkimbia, mnaonekana wepesi sana vichwani na wenzako hasa nikiwasoma maandiko yenu.
Kitu chochote kisipofuata kanuni na misingi yake kinapoteza maana ,hata majadiliano yana kanuni za misingi yake.Siwezi kujadilina na watu ambao wapo kinyume na misingi hiyo.
 

Uzi huu unauchambuzi zaidi juu ya mentality mbovu miongoni mwao watu humu.

Che mittoga
Naona umeamua Kulipiza baada ya Juzi Mwalimu ( Patron ) wa Shule ya Kiislamu ya Sekondari ya QIBLATAIN Kawe yenye Mtaala Kificho wa Itikadi Kali Hassan Mohammed Kuuwawa kwa Kuchomwa na Bisu ( Kisu ) Kikatili na Mwanafunzi Mohammed Jabir baada ya Kuchoshwa na tabia ya Patron ( Mwalimu ) huyo Kuwaamsha kila Siku Alfajiri kwenda Kuswali wakati Wao wanataka kuendelea Kulala kutokana na Baridi tamu la sasa Mkoani Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom