Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigo kubwa kwake ni pale alipo fariki baba yake.Makonda sasa hivi atakuwa mlokole kamili yaani maana bila maombi anaweza akapata msongo mkubwa wa mawazo. Kote alikonyeaga kambi mungu anakuinua kwa mpango issue ya kontena, kwa chongolo, lwa watendaji wengine. Hakujua kuweka akiba alifanya kazi kwa kiki.
Sent from my SM-T825 using JamiiForums mobile app
Maana yako watu waishi kwa kuogopana? Hapo Bashite alikuwa anafanya kazi yake. Tuache siasa taka !Tujifunze kuweka Akiba ya maneno vyeo vyetu ni mapito tu watawala wajifunze kuishi na walio chini yao vizuri
MatagaMaana yako watu waishi kwa kuogopana? Hapo Bashite alikuwa anafanya kazi yake. Tuache siasa taka !
Ila mshkaj kama alikua anamjua makonda ndo maan akawa kama vile anacheka dizain 🤣🤣🤣🤣Tujifunze kuweka Akiba ya maneno vyeo vyetu ni mapito tu watawala wajifunze kuishi na walio chini yao vizuriView attachment 1769274
View attachment 1769273
Yule hata maza ake anaweza kumuua mbele ya maslahi yakeAkili sawa na mbuaana yeye anajali kujaza tumbo leo tu hafikirii kama anaweza kupatwa na madhara kwa kukimbilia shibe.
Amekomaa tunasemaHii video inaonyesha jamaa anaweza kucontrol emotion, badala ya kuonyesha kakasirika akatabasamu.
Great character
Makonda alimtegemea Magufuli kwa 100% na alijua ataishi milele na nchi atamwachia, huoni mpaka akina Pengo walianza kusema anayefaa kuachiwa nchi ni Makonda?Ila jamaa alikuwaga na dharau moja mbaya,kama binadamu aisee tujifunze kufikiri nje ya vyeo au mafanikio yetu.
Huyo jamaa hapo alijichekesha uwongo na kweli ila moyoni alikuwa anaungua.
Kufanya kazi kwa kufokea watu tena mbele ya hadhara? Huu ujinga hauna nafasi kwenye ustaarabu wa leo. Wewe unaona ni sawa kwa sababu pengine umekulia kwenye mazingira ambayo umeonyeshwa kuwa kufokea watu kwa majivuno ndiyo kufanya kazi. Kazi unaweza kufanya vizuri kabisa bila ujinga kama huu.Maana yako watu waishi kwa kuogopana? Hapo Bashite alikuwa anafanya kazi yake. Tuache siasa taka !
Ni kweli kabisa. Ila ana akili ndogo sana kwani kila mtu alijua kuna siku mwisho wake utafika. Sasa hivi na maadui wengi sana na hata unyasi ukiangukia paa la nyumba yake nadhani anaruka kwa mshtuko. Bahati yake ni moja tu: alikuwa amepiga fedha za kutosha hivyo kwenye mambo ya maisha hana shida, ingawa mamlaka ikiamua kufuatilia anaweza kuishia pabaya sana.Makonda alimtegemea Magufuli kwa 100% na alijua ataishi milele na nchi atamwachia, huoni mpaka akina Pengo walianza kusema anayefaa kuachiwa nchi ni Makonda?
Wewe hakuna siasa za kudekezana kama manataka maendeleo, Usiige watu wa Western wale wanajitambua.Ni kweli kabisa. Ila ana akili ndogo sana kwani kila mtu alijua kuna siku mwisho wake utafika. Sasa hivi na maadui wengi sana na hata unyasi ukiangukia paa la nyumba yake nadhani anaruka kwa mshtuko. Bahati yake ni moja tu: alikuwa amepiga fedha za kutosha hivyo kwenye mambo ya maisha hana shida, ingawa mamlaka ikiamua kufuatilia anaweza kuishia pabaya sana.
Hii video inaonyesha jamaa anaweza kucontrol emotion, badala ya kuonyesha kakasirika akatabasamu.
Great character
Amelaaniwa snNi kweli kabisa. Ila ana akili ndogo sana kwani kila mtu alijua kuna siku mwisho wake utafika. Sasa hivi na maadui wengi sana na hata unyasi ukiangukia paa la nyumba yake nadhani anaruka kwa mshtuko. Bahati yake ni moja tu: alikuwa amepiga fedha za kutosha hivyo kwenye mambo ya maisha hana shida, ingawa mamlaka ikiamua kufuatilia anaweza kuishia pabaya sana.
Ni kweli wala mama hajawahi kupiga pushups au kuruka kutoka kwenye roof ya gari.Mama Samia nae hakuwahi kuota kama siku ingekuja akawa Rais
Cheo ukikitafuta sana hukipati