Kumbukizi: RC Makonda akimfokea DC Chongolo

Kumbukizi: RC Makonda akimfokea DC Chongolo

Makonda sasa hivi atakuwa mlokole kamili yaani maana bila maombi anaweza akapata msongo mkubwa wa mawazo. Kote alikonyeaga kambi mungu anakuinua kwa mpango issue ya kontena, kwa chongolo, lwa watendaji wengine. Hakujua kuweka akiba alifanya kazi kwa kiki.

Sent from my SM-T825 using JamiiForums mobile app
Pigo kubwa kwake ni pale alipo fariki baba yake.
Sawa na Musiba
 
Nakumba maneno ya Pastor Gwajima anzi zile
Eti "Zero brain"
 
Lakini tusijisahau kabisa kwamba Chama chetu watu wanakihama!!

Dawa ni kumfurusha M/kiti wetu
 
Maana yako watu waishi kwa kuogopana? Hapo Bashite alikuwa anafanya kazi yake. Tuache siasa taka !
Mataga
FB_IMG_16197898333560871.jpg
 
Ila jamaa alikuwaga na dharau moja mbaya,kama binadamu aisee tujifunze kufikiri nje ya vyeo au mafanikio yetu.

Huyo jamaa hapo alijichekesha uwongo na kweli ila moyoni alikuwa anaungua.
Makonda alimtegemea Magufuli kwa 100% na alijua ataishi milele na nchi atamwachia, huoni mpaka akina Pengo walianza kusema anayefaa kuachiwa nchi ni Makonda?
 
Maana yako watu waishi kwa kuogopana? Hapo Bashite alikuwa anafanya kazi yake. Tuache siasa taka !
Kufanya kazi kwa kufokea watu tena mbele ya hadhara? Huu ujinga hauna nafasi kwenye ustaarabu wa leo. Wewe unaona ni sawa kwa sababu pengine umekulia kwenye mazingira ambayo umeonyeshwa kuwa kufokea watu kwa majivuno ndiyo kufanya kazi. Kazi unaweza kufanya vizuri kabisa bila ujinga kama huu.
 
Makonda alimtegemea Magufuli kwa 100% na alijua ataishi milele na nchi atamwachia, huoni mpaka akina Pengo walianza kusema anayefaa kuachiwa nchi ni Makonda?
Ni kweli kabisa. Ila ana akili ndogo sana kwani kila mtu alijua kuna siku mwisho wake utafika. Sasa hivi na maadui wengi sana na hata unyasi ukiangukia paa la nyumba yake nadhani anaruka kwa mshtuko. Bahati yake ni moja tu: alikuwa amepiga fedha za kutosha hivyo kwenye mambo ya maisha hana shida, ingawa mamlaka ikiamua kufuatilia anaweza kuishia pabaya sana.
 
Ni kweli kabisa. Ila ana akili ndogo sana kwani kila mtu alijua kuna siku mwisho wake utafika. Sasa hivi na maadui wengi sana na hata unyasi ukiangukia paa la nyumba yake nadhani anaruka kwa mshtuko. Bahati yake ni moja tu: alikuwa amepiga fedha za kutosha hivyo kwenye mambo ya maisha hana shida, ingawa mamlaka ikiamua kufuatilia anaweza kuishia pabaya sana.
Wewe hakuna siasa za kudekezana kama manataka maendeleo, Usiige watu wa Western wale wanajitambua.
Sisi bado sana kufika huko.
 
Hii video inaonyesha jamaa anaweza kucontrol emotion, badala ya kuonyesha kakasirika akatabasamu.

Great character

Akafikie viwango vya mtangulizi wake. Unaweza kucontrol emotion kumbe ni dhaifu. Hayati hakuwa na hii sifa lakini vipi miaka 5 ya uongozi wake?
 
Ni kweli kabisa. Ila ana akili ndogo sana kwani kila mtu alijua kuna siku mwisho wake utafika. Sasa hivi na maadui wengi sana na hata unyasi ukiangukia paa la nyumba yake nadhani anaruka kwa mshtuko. Bahati yake ni moja tu: alikuwa amepiga fedha za kutosha hivyo kwenye mambo ya maisha hana shida, ingawa mamlaka ikiamua kufuatilia anaweza kuishia pabaya sana.
Amelaaniwa sn
 
Back
Top Bottom