Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ila Bashite....teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anyways, hili ni gumu kwa mtu aliyekulia kwenye mazingira ya ''low life'' kuelewa.
Hafai ni shetani kabisaTumbo mbele huyo na ni katili sana
Nisawa na mbwamwitu huyoHafai ni shetani kabisa
KabisaNisawa na mbwamwitu huyo
Makonda hakuumbwa kwa kuona aibuTujifunze kuweka Akiba ya maneno vyeo vyetu ni mapito tu watawala wajifunze kuishi na walio chini yao vizuri.
View attachment 1769274
View attachment 1769417
PIA SOMA: Daniel Chongolo apendekezwa kuwa Katibu Mkuu CCM
Mtu ukishakuwa makamu wa rais lazima ndoto zako zitakuwa ni urais wacha kuwadanganya watu.Mama Samia nae hakuwahi kuota kama siku ingekuja akawa Rais.
Cheo ukikitafuta sana hukipati
Makonda kamuaibisha na hicho kicheko ni chakuficha aibu au kicheko cha aibuHii video inaonyesha jamaa anaweza kucontrol emotion, badala ya kuonyesha kakasirika akatabasamu.
Great character
Tuliyasema kuwa babake akitoka madarakani huyo Makonda lazima atajisikia kufakufa tuBashite sasahivi anatamani kufa
Mwache aendelee kutomkubali mama lkn mwisho atamkubali tu.Mkuu umetoka usingizi wa mchana?
Hueleweki!
Mkuu Makonda alijiona kasha yapatia maisha kwa jinsi alivyokuwa anadekezwa na binadamu mwenzake .Kwahiyo Bashite ni bwana mdogo mbele ya Chongolo! Haya maisha haya.
Nalog off
Huyo bado haamini kuwa jiwe kashatangulia mbele ya haki.Umewaza kama mimi, unajua hiz stress za maisha ni noma sana.
Madaraka ya kulevyaHakuna kazi hapo!huwezi kumfokea mtu mzima kama mtoto bwana,cheo ni dhamana
Amelaaniwa huyoTuliyasema kuwa babake akitoka madarakani huyo Makonda lazima atajisikia kufakufa tu
Sasa hivi anajuta sanaAmelaaniwa huyo
Akufe tuSasa hivi anajuta sana