Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kazi hapo!huwezi kumfokea mtu mzima kama mtoto bwana,cheo ni dhamanaMaana yako watu waishi kwa kuogopana? Hapo Bashite alikuwa anafanya kazi yake. Tuache siasa taka !
Unajuwa sijui kwanini Tanzania watu hawajifunzi tu, kuna watu usiwaone poa tu ukadhani sio lolote mfumo wetu una watu kibao ndio sijui wanaitwa majasusi nini sijui... watu wengi wako katika system usijione uko juu ukawaona wa chini sio kitu hasa hapa Tanzania kama mnakumbuka mkurugenzi wa tume ya uchaguzi kama sikosei si alitolewa maneno ya kunyoshewa kidole na yule mkuu wa wilaya aliyekuwa masemaji wa Yanga mara jamaa huyo mkurgenzi wa tume ya uchaguzi. Mama Samia kishawaambia hujui boss wako kesho ni nani tuheshimiane. Tanzania heshimu kila mtu hujui kesho..
Msongo wa mawazo anao sana tu,,,,,,Makonda sasa hivi atakuwa mlokole kamili yaani maana bila maombi anaweza akapata msongo mkubwa wa mawazo. Kote alikonyeaga kambi mungu anakuinua kwa mpango issue ya kontena, kwa chongolo, lwa watendaji wengine. Hakujua kuweka akiba alifanya kazi kwa kiki.
Sent from my SM-T825 using JamiiForums mobile app
Daaah hivi nyie mapunguani mlikuwa wapi wakati wa jiwe?Ritz ni imani kali wakati Daniel ni mfumo kanisa
Duh,,,,,,,,,upo aiseeDaaah hivi nyie mapunguani mlikuwa wapi wakati wa jiwe?
Huko siyo kuogopana huko ni kukosa staha na nidhamu huwezi kuongea lugha iliyojaa kiburi ,jeuri na dharau kwa kiongozi mwenzio hata kama ni mdogo. Kifupi bwanamdogo bashite alilewa madaraka.Maana yako watu waishi kwa kuogopana? Hapo Bashite alikuwa anafanya kazi yake. Tuache siasa taka !
Kafokewa wapi?Tujifunze kuweka Akiba ya maneno vyeo vyetu ni mapito tu watawala wajifunze kuishi na walio chini yao vizuriView attachment 1769274
View attachment 1769273
Ndiyo maana wahenga wanasema kuwa DUNIA NI MZUNGUKO.Maisha haya huwezi jua ya kesho, duh
Siyo kama jiwe alikuwa hachelewi kukasilikaHao watu ni wachache sana wenye uwezo na uvumilivu huo
Ccm ina watu wa ajabu sana.
Tumbo mbele huyo na ni katili sanaYule hata maza ake anaweza kumuua mbele ya maslahi yake
So mnamuona hata Kigwangala,siku zake za kuishi uraiani zinakalibia kuisha,baada ya kuwalukisha kichura wale asikali wa wanyana pori Tena watu wazima.
Hii video inaonyesha jamaa anaweza kucontrol emotion, badala ya kuonyesha kakasirika akatabasamu.
Great character