Kumbukizi: RC Makonda akimfokea DC Chongolo

Kweli kila mtu ,Mungu anamakusudi yake kuwepo duniani ama kweli aliyosema Yesu akiwa Jerusalamu!Kila ajikwezaye atashushwa,Yeye ajishushaye Atakwezwa!
 
Hakuna mfumo wowote. Hivyo ni vyeo vya kupena tu. Ukibahatika hata wewe unakipata
 
Msongo wa mawazo anao sana tu,,,,,,
 
Bwana Chogolo na wateule wengine waanze kazi mapema ya kuimarisha zaidi CCM iongeze idadi ya wanachama,wabunge na madiwani uchaguzi wowote ule utakaofuata.
Akuna kulala CCM mbere kwa mbereeee.
 
So mnamuona hata Kigwangala,siku zake za kuishi uraiani zinakalibia kuisha,baada ya kuwalukisha kichura wale asikali wa wanyana pori Tena watu wazima.


Aisee !
Kitendo kile kilisikitisha watu sana jamani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…