Kumbukizi: Sokoine ndiye alibomoa uchumi wa nchi, na utawala wa sheria. Sioni chochote cha kumsifu, urathi wake uandikwe upya

Kumbukizi: Sokoine ndiye alibomoa uchumi wa nchi, na utawala wa sheria. Sioni chochote cha kumsifu, urathi wake uandikwe upya

Sokoine hakupendwa na Mafisadi kipindi kile na hata mafisadi wa sasa hawawezi kumpenda Sokoine na wala hawawezi kumpenda JPM milele. ! 😳🙌

Au nasema uongo ndugu zanguni ???!!
Unasema uongo na wewe ni mnafiki:. Unamtaja Sokoine kwamba ni wa hovyo kupata kutokea.Magufuli unatakiwa umlinganishe na marais wenzie waliotanguli au yeye ni mtakatifu? Halafu unasema ndie alileta sheria bomu, unataka kuniambia Bunge halikuwepo wakati huo? Nyerere alikubali vipi? Hata hivyo ile ndio ilikuwa best treatment kwa criminals( wahujumu, wezi, wanao ficha bidhaa nk) kwa wakati ule, Kwanini humsemi Nyelele kwa kutaifisha nyumba za watu walizojenga kwa jasho lao? Kwanini bas bunge/ nyerere wasitunge sheria kila mtu lazima ajenge?
 
Unasema uongo na wewe ni mnafiki:. Unamtaja Sokoine kwamba ni wa hovyo kupata kutokea.Magufuli unatakiwa umlinganishe na marais wenzie waliotanguli au yeye ni mtakatifu? Halafu unasema ndie alileta sheria bomu, unataka kuniambia Bunge halikuwepo wakati huo? Nyerere alikubali vipi? Hata hivyo ile ndio ilikuwa best treatment kwa criminals( wahujumu, wezi, wanao ficha bidhaa nk) kwa wakati ule, Kwanini humsemi Nyelele kwa kutaifisha nyumba za watu walizojenga kwa jasho lao? Kwanini bas bunge/ nyerere wasitunge sheria kila mtu lazima ajenge?
😳 Nimeshindwa kuelewa 😳🙄
 
Mkuu yawezekana wewe ni 'mtoto wa 2000' kwa namna ya uandishi wako na ulivyoelezea jambo hilo kinafiki.

Kifupi ni kwamba, baada ya 'vita vya Kagera' na Nyerere kutangaza waTz 'kujifunga mkanda miezi 18', wafanya biashara mafisadi walitumia slogan hiyo kuficha bidhaa muhimu ionekane ugumu wa maisha umebarikiwa na Serikali.

Hali hiyo ilivuruga kabisa uchumi na maisha ya raia.

Hali ilikuwa ngumu mno takribani kwa miaka mitano(1980-1984).
Maduka yalikuwa totally empty, nguo sukari, sabuni, C. Oil etc etc havikuwepo madukani vilifichwa.

Sokoine alikuja kuchukua hatua ya kuwabana mafisadi walioficha bidhaa, ninasema walikuwa wameficha kwa sababu walivyosikia kuna operesheni hiyo wakavitoa vitu kwenye maghala yao usiku na kwenda kuvitupa.

Bidhaa nyingi zilitupwa zikiwemo na magunia ya pesa wakihofia kutiwa nguvuni wakikwepa mkono wa sheria.

Maelezo ya kisa hiki ni marefu sana,
Itoshe kusema kwamba kumlaumu Sokoine bila kupongeza juhudi zake za kupigania maisha ya waTz ni kumtendea dhulma.

Aliwabana mafisadi kwa manufaa ya waTz na siyo kusema kwamba katika zoezi hilo alitia mkono kujinufaisha kama viongozi wa sasa wanavyofanya, hapana.

na kifo chake kilikuwa ni pigo kuu kwa Raia na kilitikisa nchi.

Tangia kifo chake 1984 hadi leo sijawahi kusikia ama kusoma popote mtu kaandika akimlaumu Sokoine kwa ubaya wowote alioifanyia nchi na raia wake, isipokuwa wewe tu!

Karudie tena kusoma historia yake, ukiendelea kuleta ubishi wa kijuaji na stori zako za uongo hapa tutaelewa kuwa unatumika, kuna watu wapo nyuma yako kuchafua legacy ya Sokoine Waziri mkuu aliyependwa sana kwa dhati kabisa na raia wa Tz kutokana na utumishi wake uliotukuka.
Waliomlakamikia ni wengi sana, tembelea viunga via mahakama, kuna hukumu nyingi "zinazomtukana" Na kumbagaza" kisomi
 
Jf imejaa watu wa kupinga, vinavyosemwa huku ni vya kuchuja sana.
Wengi humu ni vijana vijana wa miaka ya 2000 na 1990 wachache ndio wanaojadili mambo ya kina Nyerere na Akina Sokoine 😅🙄

Wamelishwa sana Matango Pori 😳🙄 !
 
Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.

Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.

Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.

Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.

Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Watanzania kama sio wote basi baadhi yenu ni wajinga kuliko ujinga wenyewe.
Kama sasa hivi Samia akivurunda mnawalaumu wasaidizi na washauri.
Waziri mkuu sio mkubwa kuliko rais.
Waziri mkuu ni kiranja tu na rais ndio mwenye uamuzi kipi kifanyike kipi kisifanyike.
Endapo Sokoine alijifanyia bila baraka za Nyerere angemtimua au unataka kusema Nyerere alizidiwa nguvu na Sokoine?

Maoni ya hovyo kabisa ewe ki.nembe
 
Waliomlakamikia ni wengi sana, tembelea viunga via mahakama, kuna hukumu nyingi "zinazomtukana" Na kumbagaza" kisomi
Mafisadi unategemea wangelimpenda?
Magufuli mafisadi walimpenda?
 
Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.

Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.

Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.

Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.

Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Watoto wa don msuya,, lazima mmaind tu
 
Mtoto wa 2000 bila shaka
Jibu hoja yangu Kama unazo sababu za Msingi. Nipinge kwa hoja, wala usikimbilie kutoa vijembe/Argue with reasons please.
Aliyewahi kuwa Rais wa Marekani Bw. Barrack Obama aliwahi kusema kwamba "Yes we need war, but not fracas war.

So, do you want to say that Kagera war was unavoidable??
 
Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.

Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.

Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.

Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.

Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Aseee kumtaja jpm kwenye maujinga yako tutakuja kukupiga tahira wewe
 
Sokoine alikuwa kichaa tu kama magufuli

Nchi hii tuna bahati mbaya ya kupata viongozi vijana wanaoact in negative direction badala ya positive direction
Nadhani tynayo katibabovu sana
Kama positive direction ni kukumbatia wezi na mafisadi. You must be Damned!
 
Kama uchumi mzuri ni wetu kuiba mali za umma ,kama uchumi mzuri ni watawala kutumia watoto wao ,wake zao kutorosha madini ,kupendelea watoto wao na marafiki zao. Kuuza ardhi ya umma kama yule aliyeuza ardhi yote ya Mkonge kwa familia ya kina Mohamed wakati ina mashine ,mkonge ,maofisi na nyumba zaidi ya elfu mia tano kwa bei ya nyumba moja tu . Kama uchumi mzuri ni kuwapa wageni kila kitu kwa bei nafuu halafu wananchi wazawa wanapandishwa kodi kila siku .
Kama uchumi mzuri ni kufanya biashara za magendo na ujambazi kama wetu wa mikoa ya mipakani walivyokua wanafanya halafu wanakwepa kodi na kupitisha mageni . Kama hayo ndio uchumi mzuri basi Hili nchi ilipaswa itawaliwe kwa karne moja mbele maana ina watu wahuni na wasioweza kujiongoza zaidi ya kuishi kama wanayama wa porini ,mwenye nguvu ndiye anayekula.

Sokoine ni tunu tuliyopewa na Mungu kuleta mapinduzi makubwa ya kujenga uzalendo.

Hii nchi ina rasilimali nyingi sana lakini wezi wamefanikiwa kuweka watu wao madarakani tangu walipomuua Karume kule Zanzibar na Sokoine bara.
Mpaka sasa wezi wamefanikiwa kuua uzalendo kwenye nchi hii kwa ubinafsi wa watawala kuua moyo wa kizalendo na sasa watanzania wanakua omba omba kwa watawala wanaowaibia mali zote na kuwaridhisha watoto wao na marafiki zao .

Sokoine hakujimilikisha mali za umma wala Nyerere . Hakupendelea watoto wake na Wake zake kama wanavyofanya wengine .

Kuna watu wameshika kiti miaka mitatu tu ni latrionea wa kutupa na sasa wanafanya kila mbinu kubaki madarakani . Hawa ni jamii ya P Diddy na ndio wanaosifia majizi na kuwatukana watu wema kwa sababu tu ya rushwa ya pesa na uchawa
Uchumi mzuri na positivity inayozungumzwa na wacenge wachache humu ndio hio uliyoielezea hapo. Nawaita wacenge kwa sababu ni watu wenye roho za kishetani tu ambao wanafurahia kundi kubwa likiteseka huku wao wakiogelea kwenye utajiri wa kutisha kupitia ufisadi na ubadhirifu wa fedha za umma.

Magufuli na Sokoine wangepiga collabo hii nchi ingekuwa kama South Africa kwa sasa.
 
Back
Top Bottom