Kumbukizi: Video ya Paul Makonda akimnanga Mzee Edward Lowassa

Kumbukizi: Video ya Paul Makonda akimnanga Mzee Edward Lowassa

Mbona Chadema mlizunguka Nchi nzima na kudai Lowasa mwizi baadae mkajumuika naye na kumpa Urais kwenye serikali ya matumaini. Kuna wanafiki kuliko Chadema?
 
Wanazidi kumpa sifa makonda. Atakuwa even more popular and powerful
 
Mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge, amepost video inayoonyesha Mhe. Makonda akimuongelea vibaya hayati Lowassa.

Kitenge ameandika kwenye Video hiyo "WAKATI tunatafakari ya sasa tukumbuke tulipotoka".

ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902059

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 [emoji3578]
..
20240213_044014.jpg
 
Mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge, amepost video inayoonyesha Mhe. Makonda akimuongelea vibaya hayati Lowassa.

Kitenge ameandika kwenye Video hiyo "WAKATI tunatafakari ya sasa tukumbuke tulipotoka".

ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902059

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
Halafu huyu samia anampa nafasi ya kutumikia watu.............
 
Mbona Chadema mlizunguka Nchi nzima na kudai Lowasa mwizi baadae mkajumuika naye na kumpa Urais kwenye serikali ya matumaini. Kuna wanafiki kuliko Chadema?
Chadema imejaza nyumbu...

Wameshasahau...

Hapo wanakumbuka makosa ya mwenzao tu.
 
Anashangaa nini kwenye siasa?

Si mmenichagua??

Kwenye Lowassa alikua mtakatifu ?.


Yeye Wacha Ajaribu hiko anachokitaka!!
 
Mbona mimi sioni kosa hapo kakumbusha tuu. Kama na wewe unakumbuka chochote share.
 
Back
Top Bottom