cha unoko majuu
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 131
- 75
Simpaka wawe na aibu. Ukiwaangalia vizuri wanazo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simpaka wawe na aibu. Ukiwaangalia vizuri wanazo!
Zile zilikuwa changamoto tuumaoni yangu ni kwamba,
Yaliyopita si ndwele tugange ya sasa na yajayo [emoji205]
R.I.P. Laigwanan comrade ENL
Kuhusu wasiojul.. ??!Kitenge atakipata anachokitafuta
Na kile kiwatilifu cha kibaiolojia alichomwagia ndiyo kilistawisha lile wowowoYap ndiye alimbikiri alipokuwa anaishi nyumbani kwake miaka ya kusoma Mbegani Fisheries
Hahahahaha..nimegundua hapa kuna ile kuangalia upande mmoja na upande wenyewe ni ule unaopenda kwa muda huu uliotokea msibaKwani ule msemo wa ''Hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa'' hautumiki tena?
MweneziSambwanda la nani
Na chadema
relax bas umekosa usingizi kabisa kwa stress au uko shift lindoni leo mkuu🐒Hayapiti kwa kuandika vimaneno tu.Mtashindwa kujifunza kufunga midomo yenu mipana kama wasutaji wa uswahilini na vithembe vyenu.
ndezi kweli kamanda 🤣Yanapitaje kibwege ?
Sawa, ila usisahau ya sasa na yajayo yanagangwa kwa kuangalia yaliyopita..!!! Utakwepaje sehemu uliyotumbukia kwenye shimo jana bila leo kulikumbuka shimo hilo ulilotumbukia jana?? WANAFIKI DAWA YAO KUWAKUMBUSHA UNAFIKI WAO..!!maoni yangu ni kwamba,
Yaliyopita si ndwele tugange ya sasa na yajayo 🐒
R.I.P. Laigwanan comrade ENL
Focused and visionary leaders huwa hawababaiki na yaliyopita, wanasonga mbele bila mbambamba wala haya hadi wayafikie malengo waliokusudia 🐒Sawa, ila usisahau ya sasa na yajayo yanagangwa kwa kuangalia yaliyopita..!!! Utakwepaje sehemu uliyotumbukia kwenye shimo jana bila leo kulikumbuka shimo hilo ulilotumbukia jana?? WANAFIKI DAWA YAO KUWAKUMBUSHA UNAFIKI WAO..!!
Siasa za Nchi hii na Africa kwa ujumla ni za uadui uadui tu !Huu msiba mkiamua kutafuta clip video za nyuma anazosemwa ENL mbn wote tu Ccm na Cdm kwa nyakati tofauti wablimtukana na kumdhihaki Mzee ENL
Kuna tofauti kubwa kati ya kupaka matope na kusema ukweli.Usitake kulazimisha mambo ya ovyo aliyosema makonda kwa mzee kama lowasa kwakufananisha na walichokisema kina lema.Jukum la vyama vya upinzani ni kusema uozo uliopo ili wahusika wachukue hatua stahiki na ndio msingi wa hoja za upinzani dhidi ya lowasa na hizo shutuma zilijadiliwa bungeni ila alichosema makonda kilitokana na chuki na utovu wa nidhamu dhidi ya mzazi wake.Tusitake kusafisha mambo kinafiki kwasababu tu tuna manufaa nayo.Na Cdm haikumsafisha lowasa kwasababu haikumchafua ilitimiza wajibu kama chama cha upinzani,lowasa alisafishwa na serikali yenyewe kwakushindwa kuchukua hatua kwa dhana yakusema kaa kimya mwanaharamu apite.Kitenge angepotezea tu. Kwenye siasa hayo ni mambo ya kawaida. Kama CHADEMA waliweza kumpaka matope Lowasa kwa miaka kadhaa lakini baadae ndo wakaja kumsafisha hata kwa Makonda ni kupotezea tu. Makonda ana tofauti gani na Lema, Mbowe, Mnyika, Lissu, Heche, na waandamizi wengine wa CHADEMA waliokuwa wakimwandama EL?
Sipendi nikuite mpumbavu kwa sababu nitakuwa nimekuvunjia heshima ila naona comment yako imejaa upumbavu mwingi. Kaa chini ufikirie tena au futa hiyo comment yako.Kuna tofauti kubwa kati ya kupaka matope na kusema ukweli.Usitake kulazimisha mambo ya ovyo aliyosema makonda kwa mzee kama lowasa kwakufananisha na walichokisema kina lema.Jukum la vyama vya upinzani ni kusema uozo uliopo ili wahusika wachukue hatua stahiki na ndio msingi wa hoja za upinzani dhidi ya lowasa na hizo shutuma zilijadiliwa bungeni ila alichosema makonda kilitokana na chuki na utovu wa nidhamu dhidi ya mzazi wake.Tusitake kusafisha mambo kinafiki kwasababu tu tuna manufaa nayo.Na Cdm haikumsafisha lowasa kwasababu haikumchafua ilitimiza wajibu kama chama cha upinzani,lowasa alisafishwa na serikali yenyewe kwakushindwa kuchukua hatua kwa dhana yakusema kaa kimya mwanaharamu apite.
Sent using Jamii Forums mobile app