Kumbukizi: Video ya Paul Makonda akimnanga Mzee Edward Lowassa

Mbona Chadema mlizunguka Nchi nzima na kudai Lowasa mwizi baadae mkajumuika naye na kumpa Urais kwenye serikali ya matumaini. Kuna wanafiki kuliko Chadema?
 
Wanazidi kumpa sifa makonda. Atakuwa even more popular and powerful
 
..
 
Halafu huyu samia anampa nafasi ya kutumikia watu.............
 
Mbona Chadema mlizunguka Nchi nzima na kudai Lowasa mwizi baadae mkajumuika naye na kumpa Urais kwenye serikali ya matumaini. Kuna wanafiki kuliko Chadema?
Chadema imejaza nyumbu...

Wameshasahau...

Hapo wanakumbuka makosa ya mwenzao tu.
 
Anashangaa nini kwenye siasa?

Si mmenichagua??

Kwenye Lowassa alikua mtakatifu ?.


Yeye Wacha Ajaribu hiko anachokitaka!!
 
Mbona mimi sioni kosa hapo kakumbusha tuu. Kama na wewe unakumbuka chochote share.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…