pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Kwan wamebadirika.Makonda alisema lowassa ndio anawatuma watu kwaio aache,kwa kauli hii unataka makonda asiende kumzika lowassa.Mbona nyie watu ni wa ajabu sanaIngekuwa waliongea ukweli wangesimama katika misimamo yao lakini sasa wanamsifia mbona
Siasa ni mchezo wa 'timing'...eti hapo Makonda akimfundisha gwiji EL kufanya siasa!!Mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge, amepost video inayoonyesha Mhe. Makonda akimuongelea vibaya hayati Lowassa.
Kitenge ameandika kwenye Video hiyo "WAKATI tunatafakari ya sasa tukumbuke tulipotoka".
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902059
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Uzuri internet haisahau......kwa kuwa ni maneno yake mwenyewe hana wa kumlaumuMtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo nchini Maulid Kitenge, amepost video inayoonyesha Mhe. Makonda akimuongelea vibaya hayati Lowassa.
Kitenge ameandika kwenye Video hiyo "WAKATI tunatafakari ya sasa tukumbuke tulipotoka".
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902059
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️