Kumbukizi ya miaka 2 bila Hayati Magufuli inazidi kuchangamsha 2025

Kumbukizi ya miaka 2 bila Hayati Magufuli inazidi kuchangamsha 2025

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Kuna mdahalo mkali sana unaendelea kuhusu kumbukumbu ya miaka miwili bila JPM.

Kumeshaibuka pande mbili za wanaomkumbuka.Magufuli. upande wa kwanza ni wale wanaomuomboleza wakikumbuka mema yake. Na upande wa pili ni wale ambao wanashangilia kifo chake.

Serikali inayoongozwa na CCM imekaa kimya ikijua karata inazozichesha kwenye sakata la JPM. Ukimya huu wa serikali unaleta jibu muhimu kuwa inafumbia macho harakati za kumchafua marehemu JPM kwa sababu inazozijua...... huenda ikawa inasimama kama kivuli upande wa mashabiki wanaomzomea Hayati.


Jambo la pili ambalo ni muhimu sana. Ni kwamba kadiri nchi inavyosogea kuelekea 2025 ndivyo pande mbili hizi zinazokinzana wanavyopata nguvu na mwangwi wao kusikiwa mbali.

Mpaka sasa serikali imegomea kumuenzi JPM hasa kwa sbababu ni rais aliyefariki akiwa madarakani. Na kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake. Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.

Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la JPM kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawwtaki camera wala media coverage.

Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.

UChaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za JPM. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjhe kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.....
 
Why Magufuli?? Ukiwa na rais asietaka masihara na mali ya taifa inapelekea kuchukiwa kiasi hiki?? Mbona kulikuwa na marais mafisadi na wana jilimbikia mali na familia zao. Hawa tupo kimya sana juu yao Hakika hakuna mkamilifu kwenye kutekeleza majukumu yake
 
Kuna mdahalo mkali sana unaendelea kuhusu kumbukumbu ya miaka miwili bila JPM.

Kumeshaibuka pande mbili za wanaomkumbuka.Magufuli. upande wa kwanza ni wale wanaomuomboleza wakikumbuka mema yake. Na upande wa pili ni wale ambao wanashangilia kifo chake.

Serikali inayoongozwa na CCM imekaa kimya ikijua karata inazozichesha kwenye sakata la JPM. Ukimya huu wa serikali unaleta jibu muhimu kuwa inafumbia macho harakati za kumchafua marehemu JPM kwa sababu inazozijua...... huenda ikawa inasimama kama kivuli upande wa mashabiki wanaomzomea Hayati.


Jambo la pili ambalo ni muhimu sana. Ni kwamba kadiri nchi inavyosogea kuelekea 2025 ndivyo pande mbili hizi zinazokinzana wanavyopata nguvu na mwangwi wao kusikiwa mbali.

Mpaka sasa serikali imegomea kumuenzi JPM hasa kwa sbababu ni rais aliyefariki akiwa madarakani. Na kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake. Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.

Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la JPM kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawwtaki camera wala media coverage.

Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.

UChaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za JPM. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjhe kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.....
Hawawezi kukuelewa. Wenye akili wanajua something is cooking, ndiyo maana kuna genge limepewa asali ili kupambana na marehemu. Kila wakisimama jukwaani ni kuhangaika na marehemu. Unabaki unajiuliza kwani marehemu ana mpango wa kugombea urais 2025😄😄😄?
 
Tat
Why Magufuli?? Ukiwa na rais asietaka masihara na mali ya taifa inapelekea kuchukiwa kiasi hiki?? Mbona kulikuwa na marais mafisadi na wana jilimbikia mali na familia zao. Hawa tupo kimya sana juu yao Hakika hakuna mkamilifu kwenye kutekeleza majukumu yake
Tatizo damu za watu. Fanya yoote lakini Damu ina uhai ni mali ya Mungu. Inawezekana hakuhusika kabisa lakini ni kama alifumbia macho.

Tz hata uwe fisadi kivipi watz hawana habari na wewe. Ila kutowesha amani hawatakusamehe.Funzo ni leo.
 
Tanzania inakwenda kula matunda ya Magufuli
Haya na utekaji havijawahi kuwa matunda

FB_IMG_1665831491154.jpg
-%20KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Kuna mdahalo mkali sana unaendelea kuhusu kumbukumbu ya miaka miwili bila JPM.

Kumeshaibuka pande mbili za wanaomkumbuka.Magufuli. upande wa kwanza ni wale wanaomuomboleza wakikumbuka mema yake. Na upande wa pili ni wale ambao wanashangilia kifo chake.

Serikali inayoongozwa na CCM imekaa kimya ikijua karata inazozichesha kwenye sakata la JPM. Ukimya huu wa serikali unaleta jibu muhimu kuwa inafumbia macho harakati za kumchafua marehemu JPM kwa sababu inazozijua...... huenda ikawa inasimama kama kivuli upande wa mashabiki wanaomzomea Hayati.


Jambo la pili ambalo ni muhimu sana. Ni kwamba kadiri nchi inavyosogea kuelekea 2025 ndivyo pande mbili hizi zinazokinzana wanavyopata nguvu na mwangwi wao kusikiwa mbali.

Mpaka sasa serikali imegomea kumuenzi JPM hasa kwa sbababu ni rais aliyefariki akiwa madarakani. Na kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake. Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.

Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la JPM kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawwtaki camera wala media coverage.

Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.

UChaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za JPM. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjhe kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.....
Waliomuua JPM walijidanganya. Wameshtuka kuona walivyodhani wamemaliza kazi kumbe ndio wamejipa kazi. 2025 ije, wallah halitosalia jiwe juu ya jiwe. Wenye mioyo myepesi watafute sehemu pakukimbilia mapema. Narudia tena, yule alikua Rais wa nchi na raia namba moja, hawezi kufa tu kama kuku. Liwalo na liwe, wao si wamemwaga mboga?
 
Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.
Hahahahha una illusions sio Bure? Chato imejaa wageni Gani wakati Dola nzima ilikuwepo Ikulu.
Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la JPM kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawwtaki camera wala media coverage.
Acha uongo mbona kwenye ibada hata mabesti wake kina Makonda hawakuwepo ndio sembuse raia wa kawaida hata bando linamshinda ataweza kweli kupata Hela ya nauli Hadi chato?? Mnajidanganya kwa faida ya nani?

UChaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za JPM. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjhe kuwa imani ya walio jikoni imetetereka
Sio kweli.... 2025 ni Samia vs Chadema ambao both ni Hasimu wa JPM so unless sukuma gang waanzishe chama basi hakuna JPM Factor hiyo 2025.

Mfano Lissu akigombea vs Samia Sasa hapo JPM ana karata Gani Ilihali yeyote atakayeshinda ataendeleza kejeli kwake?

Kubalini tu it's over, hawezi fufuka move on
 
Waliomuua JPM walijidanganya. Wameshtuka kuona walivyodhani wamemaliza kazi kumbe ndio wamejipa kazi. 2025 ije, wallah halitosalia jiwe juu ya jiwe. Wenye mioyo myepesi watafute sehemu pakukimbilia mapema. Narudia tena, yule alikua Rais wa nchi na raia namba moja, hawezi kufa tu kama kuku. Liwalo na liwe, wao si wamemwaga mboga?
Umeshasema wamemuua alafu hapo hapo unadai Rais hawezi kufa kama kuku? Sasa kama waliweza muua akiwa hai kivipi awe na nguvu akiwa ameshaoza?? Acheni kujijaza upepo hamna kitu mtafanya akishaingia ikulu kuanzia TISS mpaka JWTZ inakua loyal kwa Rais mpya hayo mengine yanabaki stori tu.

And by the way 2025 form ime printiwa Moja tu so nyie ndio mtafute chama mapema ila Kwa maridhiano haya ni kwamba vyama vyote vimekufa rasmi ni CCM vs Chadema pekee 2025 so simama uhesabiwe mapema maana JPM sio mgombea 2025 so usipoteze muda Bure.
 
Hahahahha una illusions sio Bure? Chato imejaa wageni Gani wakati Dola nzima ilikuwepo Ikulu.

Acha uongo mbona kwenye ibada hata mabesti wake kina Makonda hawakuwepo ndio sembuse raia wa kawaida hata bando linamshinda ataweza kweli kupata Hela ya nauli Hadi chato?? Mnajidanganya kwa faida ya nani?


Sio kweli.... 2025 ni Samia vs Chadema ambao both ni Hasimu wa JPM so unless sukuma gang waanzishe chama basi hakuna JPM Factor hiyo 2025.

Mfano Lissu akigombea vs Samia Sasa hapo JPM ana karata Gani Ilihali yeyote atakayeshinda ataendeleza kejeli kwake?

Kubalini tu it's over, hawezi fufuka move on
Roho wa Mungu akufumbue ufahamu wako unaposoma Neno hili


1 Wafalme 22:7
Lakini Yehoshafati akasema, Je! Hayupo hapa nabii wa BWANA tena, ili tumwulize yeye?

1 Wafalme 22:8
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Yupo mtu mmoja, ambaye tungeweza kumwuliza BWANA kwa yeye, yaani Mikaya mwana wa Imla; lakini namchukia; kwa sababu hanibashirii mema, ila mabaya. Yehoshafati akasema, La! Mfalme asiseme hivi.

1 Wafalme 22:9
Ndipo mfalme wa Israeli akamwita akida, akamwambia, mlete hima Mikaya mwana wa Imla.

1 Wafalme 22:10
Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wakikaa kila mtu katika kiti chake cha enzi, wamevaa mavazi yao, katika sakafu langoni pa Samaria; na manabii wote wakafanya unabii mbele yao.

1 Wafalme 22:11
Na Zedekia mwana wa Kenaana akajifanyia pembe za chuma, akasema, BWANA asema hivi, Kwa hizo utawasukuma Washami, hata waharibike.

1 Wafalme 22:12
Na manabii wote wakasema hivyo kwa unabii, wakisema, Kwea Ramoth-Gileadi, ukafanikiwe; kwa kuwa BWANA atautia mkononi mwa mfalme.

1 Wafalme 22:13
Na yule mjumbe, aliyekwenda kumwita Mikaya, akamwambia, akasema, Angalia sasa, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja husema mema kwa mfalme; neno lako na liwe, nakusihi, kama neno la mmojawapo wao, ukaseme mema.

1 Wafalme 22:14
Mikaya akasema, Kama BWANA aishivyo, neno lile BWANA aniambialo, ndilo nitakalolinena.

1 Wafalme 22:15
Na alipokuja kwa mfalme, mfalme alimwambia, Je! Mikaya, tuende Ramoth-Gileadi kupiga vita, au tunyamaze? Akamwambia, Kwea, ufanikiwe; kwa kuwa BWANA atautia mkononi mwa mfalme.

1 Wafalme 22:16
Mfalme akamwambia, Mara ngapi nikuapishe usiniambie neno ila yaliyo kweli, kwa jina la BWANA?

1 Wafalme 22:17
Akasema, Naliwaona Waisraeli wote wametawanyika milimani, kama kondoo wasio na mchungaji. BWANA akasema, Hawa hawana bwana; na warudi kila mtu nyumbani kwake kwa amani.

1 Wafalme 22:18
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Je! Sikukuambia, hatanibashiria mema, ila mabaya?

1 Wafalme 22:19
Mikaya akasema, Sikia basi neno la BWANA; Nalimwona BWANA ameketi katika kiti chake cha enzi, na jeshi lote la mbinguni wamesimama upande wa mkono wake wa kuume na wa kushoto.

1 Wafalme 22:20
BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.

1 Wafalme 22:21
Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya.

1 Wafalme 22:22
BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo.

1 Wafalme 22:23
Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako.

1 Wafalme 22:24
Ndipo akakaribia Zedekia, mwana wa Kenaana, akampiga Mikaya kofi la shavu, akasema, Roho ya BWANA alitokaje kwangu ili aseme na wewe?

1 Wafalme 22:25
Mikaya akamwambia, Angalia, utaona siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani ili ujifiche.

1 Wafalme 22:26
Mfalme wa Israeli akasema, Mchukueni Mikaya, mkamrudishe kwa Amoni mkuu wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme;

1 Wafalme 22:27
mkaseme, Mfalme asema hivi, Mtieni mtu huyu gerezani, mkamlishe kwa chakula cha shida, na maji ya shida, hata nitakaporudi kwa amani.

1 Wafalme 22:28
Mikaya akasema, Ukirudi kabisa kwa amani, BWANA hakusema kwa mimi. Akasema, Sikieni, enyi watu wote.

1 Wafalme 22:33
Ikawa, wakuu wa magari walipoona ya kuwa siye mfalme wa Israeli, wakageuka nyuma wasimfuate.

1 Wafalme 22:34
Mtu mmoja akavuta upinde kwa kubahatisha, akampiga mfalme wa Israeli mahali pa kuungana mavazi yake ya chuma; kwa hiyo akamwambia mwendesha gari lake, Geuza mkono wako, unichukue kutoka katika majeshi; kwa kuwa nimejeruhiwa sana.

1 Wafalme 22:35
Pigano likazidi siku ile; mfalme akategemezwa garini mwake, kinyume cha Washami, hata jioni akafa; damu ikatoka katika jeraha yake ndani ya gari.

BARIKIWA SANA
 
Uzuri wake kaburi lake watazuru watu wenye mapenzi mema nae no unafiki kitu ambacho ni kizuri sana

Mtu kama Kardinali Pengo anabebea udhamani wa watu kama elfu 10 ni mzito kuliko hata viongozi wa serikali
 
Tat

Tatizo damu za watu. Fanya yoote lakini Damu ina uhai ni mali ya Mungu. Inawezekana hakuhusika kabisa lakini ni kama alifumbia macho.

Tz hata uwe fisadi kivipi watz hawana habari na wewe. Ila kutowesha amani hawatakusamehe.Funzo ni leo.
Unafki huu ndio hua siuelewi, JPM ndio rais wa kwanza ambae watu wamekufa akiwa madarakani? Fisadi kikwete ana damu za watu wangapi? Sahizi watu hawafi? Nani anamsema huyo samia kua muuaji? Kuna rais alitawala watu wasife? Kwanini kuwe na double standard kwa JPM? Kosa lake hasa ni lipi? Kuwabania mafisadi wachache wenye ushawishi ulaji wao? Ugomvi wao na rais Magufuli ndio wanalazimisha uwe ugomvi wa taifa la raia wengi waliompenda?
 
Why Magufuli?? Ukiwa na rais asietaka masihara na mali ya taifa inapelekea kuchukiwa kiasi hiki?? Mbona kulikuwa na marais mafisadi na wana jilimbikia mali na familia zao. Hawa tupo kimya sana juu yao Hakika hakuna mkamilifu kwenye kutekeleza majukumu yake
Kila anayechukizwa na hayati JPM afahamu kuwa anapambana na kivuli Cha
Unafki huu ndio hua siuelewi, JPM ndio rais wa kwanza ambae watu wamekufa akiwa madarakani? Fisadi kikwete ana damu za watu wangapi? Sahizi watu hawafi? Nani anamsema huyo samia kua muuaji? Kuna rais alitawala watu wasife? Kwanini kuwe na double standard kwa JPM? Kosa lake hasa ni lipi? Kuwabania mafisadi wachache wenye ushawishi ulaji wao? Ugomvi wao na rais Magufuli ndio wanalazimisha uwe ugomvi wa taifa la raia wengi waliompenda?
Unafki huu ndio hua siuelewi, JPM ndio rais wa kwanza ambae watu wamekufa akiwa madarakani? Fisadi kikwete ana damu za watu wangapi? Sahizi watu hawafi? Nani anamsema huyo samia kua muuaji? Kuna rais alitawala watu wasife? Kwanini kuwe na double standard kwa JPM? Kosa lake hasa ni lipi? Kuwabania mafisadi wachache wenye ushawishi ulaji wao? Ugomvi wao na rais Magufuli ndio wanalazimisha uwe ugomvi wa taifa la raia wengi waliompenda?

mpendwa wetu Daktari mahiri, mwanamageuzi, mwana wa Africa, jabali la Africa, mtetezi wa wanyonge, mwanamapinduzi, mpigania haki na uchumi wa Africa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Joseph Magufuli!. Pumzika kwa amani baba. Daima tutakumbuka na kukuenzi.
 
Umeshasema wamemuua alafu hapo hapo unadai Rais hawezi kufa kama kuku? Sasa kama waliweza muua akiwa hai kivipi awe na nguvu akiwa ameshaoza?? Acheni kujijaza upepo hamna kitu mtafanya akishaingia ikulu kuanzia TISS mpaka JWTZ inakua loyal kwa Rais mpya hayo mengine yanabaki stori tu.

And by the way 2025 form ime printiwa Moja tu so nyie ndio mtafute chama mapema ila Kwa maridhiano haya ni kwamba vyama vyote vimekufa rasmi ni CCM vs Chadema pekee 2025 so simama uhesabiwe mapema maana JPM sio mgombea 2025 so usipoteze muda Bure.
Sasa unalia nini? Gazeti lote hilo la kazi gani kama una uhakika hakuna kitu tunaweza kufanya?
 
Mtoa mada ni kama vile analazimisha tuamini kwamba mbogamboga hushinda chaguzi kwa wingi wa kura za walalahoi.

Watu wapo madarakani kwa nguvu za dola, na huko ndio wanasafisha mabaki ya Sukuma gang, hawana hata wasiwasi.

Vumilia tu hakuna namna.
 
Back
Top Bottom