Kumbukizi ya miaka 2 bila Hayati Magufuli inazidi kuchangamsha 2025

Kumbukizi ya miaka 2 bila Hayati Magufuli inazidi kuchangamsha 2025

Mkuu
Unajitahidi lakini bora ungetafakari kwanza kabla ya kujibu hoja za GT wa JF.

JF siyo mamlaka ya serikali na sidhani kama walikosea kuweka hiyo ishu ya Bob. Sisi tunazungumzia CCM na Serikali ambao wana online media channels na wanao wakuu wa itifaki.

Kujifanya kujitenga na JPM ni picha ya nini kinachogubika tamati yake.
Tulia wewe, nimeweka hapo video za kutoka JF na zilipostiwa 6 na 5 kati ya hizo video 5 kuhusu msiba wa JPM Zina views chini ya 500!! We ukachukua Moja tu tena yenye length ya sekunde 70 ndio unapambanisha na video ya Rais iliyokua na urefu wa lisaa lizima!! Unajitambua kweli??

Na ndio maana nikakupa comparison kwamba Bob Junior ameongelewa sana hii wiki nzima tunamjadili Simba and as you can see ana views kibao kuliko msiba wa JPM je una maana Simba ni maarufu kuliko JPM if the logic suggests it's viewership that matters not content?

Nasubiri majibu
 
Mimi narudia kusema kuwa suala hilo la udikteta na rekodi za haki za binadamu na demokrasia ninampa JPM alama sifuri.

Lakini nyie kwenye project yenu mnaasisi kuwa alikuwa ni shetani na nchi iliklsea kuwa na mkuu wa nchi kama yeye. Mnafikia mahala mnajipa umungu kuwa bora kafa. Hayo ndiyo mnayoyafanya kwa sababu hamjawahi kukanusha na hamjawahi kuwaasa wafuasi wenu kuhusu kutweza marehemu.

Kwa nini basi msifanye hamasa kuitaka serikali ifute kumbukumbu zake zote? Tuvunje fylovers tuweke minara ya msoga.
Tuuze terrible teens zote tukanunue msosi.
Tuuze meli kule victoria tununue mitumbwi ya kuvulia samaki.
Tuvunje ama kubadili kituo cha mabasi JPM kuwa soko au ziwe ofisi za manispaa
Mnaonaje hii project mkaifanya pia? Maanq hana jema yule
Kwanini kila akikosolewa JPM mnakimbilia miradi? Hivi Kuna Rais katukanwa kama JK? sio wapinzani sio JPM watu walimtukana sana JK kisa uzembe, ufisadi, udhaifu wa maamuzi n.k ila alifanya miradi mingi sana kuanzia upanuzi wa airport, bomba la gesi, lami nchi nzima, Maji ya Victoria kufika Kanda ya kati n.k.

So JPM alikua na mazuri kama ambavyo Hitler na Idd Amina waliendeleza sana uchumi wa nchi zao kuliko serikali yoyote Ile iliyofuata ila mbona wanaitwa mashetani?? Ni sababu ya utawala wao wa chuma sio Barabara walizojenga!!

Kagame watu wanamuita dikteta ila Kuna nchi Ina maendeleo kma Rwanda hapa EAC?

JPM was a devil because of his leadership style which remains unprecedented since time immemorial.
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Nyuki wa mama zitto junior pitia hapa usome.kwa kituo.....

Is not over until is over
Screenshot_20230318_191309.jpg

Mkuu nimepita au Kuna jingine 😂😂😂 viewers hawafiki hata 500 kwa video 5 zilizopo page ya JF YouTube alafu mnaandaa Uzi kabisa. Sukuma gang mko delusional sana. Hamtaki kuamini 17th march ilipotezewa watu wako busy na mechi ya Simba na Horoya hata hawana habari za shetani wenu
 
View attachment 2556811
Mkuu nimepita au Kuna jingine 😂😂😂 viewers hawafiki hata 500 kwa video 5 zilizopo page ya JF YouTube alafu mnaandaa Uzi kabisa. Sukuma gang mko delusional sana. Hamtaki kuamini 17th march ilipotezewa watu wako busy na mechi ya Simba na Horoya hata hawana habari za shetani wenu
Issue siyo vuewers
Issue ni project ya kumchafua na kuhakikisha historia yake inafutwa
 
View attachment 2556811
Mkuu nimepita au Kuna jingine [emoji23][emoji23][emoji23] viewers hawafiki hata 500 kwa video 5 zilizopo page ya JF YouTube alafu mnaandaa Uzi kabisa. Sukuma gang mko delusional sana. Hamtaki kuamini 17th march ilipotezewa watu wako busy na mechi ya Simba na Horoya hata hawana habari za shetani wenu
69k.. then pitia michango ya wadu utagundua michango ya JF na JF youtube channel ni km mbingu na inchi...ubaya ya JPM unaonekana JF tu ambako watu wana multiple fake ID.
Screenshot_20230319-114140_YouTube.jpg
 
69k.. then pitia michango ya wadu utagundua michango ya JF na JF youtube channel ni km mbingu na inchi...ubaya ya JPM unaonekana JF tu ambako watu wana multiple fake ID.View attachment 2557712
Punguza utoto hiyo video ni ya dakika 1 na sekunde kadhaa so huwezi linganisha na event ya masaa 2 iliyokua live streamed. Hivi comparison Gani ya data zinazotofautiana??

Kingine waTanzania ni waoga sana, hapo wanatumia majina halisi so hauwezi tukana whether JPM or Samia ila huku ni fake ID so una uhuru wa kuongea uwazi no wonder viongozi wa serikali na viongozi wakuu wanafuatilia JF (JPM pia alikua anapitia huku).

Hata Mimi mapovu yangu ni humu JF, nikiwa mtaani au shughuli zangu Wala sipo radical na ni ngumu hata mtu kujua msimamo wangu wa kisiasa. Akitoka sukuma gang anamsifia mie namchora tu akitokea mtu anamkosoa na mie namsikiliza bila kuonyesha bias.

So next time rudini shule jifunzeni basics za data analysis Ili mfanye ulinganifu sahihi. Mind you viewers sio WATU ila amount of time umefungua video!!

Elimu Elimu Elimu
 
Issue siyo vuewers
Issue ni project ya kumchafua na kuhakikisha historia yake inafutwa
Nani kamchafua? Upinzani na JF na twitter zimemkosoa tokea akiwa hai Tena enzi zile kina Sarungi, Kigogo2014, na Mange walikua wanampa nondo za uso kabisa ila hamkusema ni project ya kumchafua.

Kama project ipo basi ni CCM ila upinzani tunachofanya Leo tulifanya tokea 2015 why useme ni mradi au tumelamba asali n.k??
 
Kuna mdahalo mkali sana unaendelea kuhusu kumbukumbu ya miaka miwili bila JPM.

Kumeshaibuka pande mbili za wanaomkumbuka.Magufuli. upande wa kwanza ni wale wanaomuomboleza wakikumbuka mema yake. Na upande wa pili ni wale ambao wanashangilia kifo chake.

Serikali inayoongozwa na CCM imekaa kimya ikijua karata inazozichesha kwenye sakata la JPM. Ukimya huu wa serikali unaleta jibu muhimu kuwa inafumbia macho harakati za kumchafua marehemu JPM kwa sababu inazozijua...... huenda ikawa inasimama kama kivuli upande wa mashabiki wanaomzomea Hayati.


Jambo la pili ambalo ni muhimu sana. Ni kwamba kadiri nchi inavyosogea kuelekea 2025 ndivyo pande mbili hizi zinazokinzana wanavyopata nguvu na mwangwi wao kusikiwa mbali.

Mpaka sasa serikali imegomea kumuenzi JPM hasa kwa sbababu ni rais aliyefariki akiwa madarakani. Na kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake. Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.

Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la JPM kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawwtaki camera wala media coverage.

Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.

UChaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za JPM. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjhe kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.....
Hakuna mtu wa kumshinda Samia 2025 mnapoteza mda ila kama mnataka kuchangamsha genge sawa.
 
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Hayati Rais Magufuli,nataka ushahidi wa haya niliyoyasikia,

1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe

2. MUUAJI/SHETANI je alimuua nani?

3. ALIPORA MALI ZA WATU je JPM alipora mali za kina nani na kwa njia gani?tafazal iwe in detail ili tupate kuelewa kwa pamoja na tusipige kelele ikiwezekana kama kuna ushahidi tuweke

4. DICTATOR UCHWARA je udictator wake ni upi? Tuwekane sawa iki tujue kwa undani maana kuna watu ukitaja jina la JPM anaweza kukuzaba kibao
 
Nani kamchafua? Upinzani na JF na twitter zimemkosoa tokea akiwa hai Tena enzi zile kina Sarungi, Kigogo2014, na Mange walikua wanampa nondo za uso kabisa ila hamkusema ni project ya kumchafua.

Kama project ipo basi ni CCM ila upinzani tunachofanya Leo tulifanya tokea 2015 why useme ni mradi au tumelamba asali n.k??
Umeanza sentesi yako na neno NANI KAMCHAFUA.

Jipange unqpokuja kwa GT
 
Umeanza sentesi yako na neno NANI KAMCHAFUA.

Jipange unqpokuja kwa GT
GT? To be honest do you consider yourself a great thinker?? Mere fact that you're arguing in favor of the deceased dictator discredits your objective reasoning let alone minimum threshold to even be considered a so-called Great Thinker!! Lol.

Criticism is never and shall never be considered "image tainting". JPM is criticized for his below average leadership skills, extreme agressiveness, partisanship, economically inept and so on. in fact he's been criticized since 2016 I wonder why you term it as a project 7 years later? Are you in your proper senses? Eti GT Lol 😂😂
 
1. UFISADI/MWIZI nataka kujua JPM alifisadi nini au aliiba nini na je kuna mahali amewekeza hizo pesa alizo fisadi, mwenye uelewa na hili aliweke hapa kwa uzuri kabisa wengine tuelewe
Hakuna Rais anafanya wizi directly ila ufisadi wa JPM ni kwa sababu zifuatazo.
1. Alituondoa kwenye OGI iliyotaka maximum transparency ya serikali kama ukaguzi wa hesabu, ukaguzi mfuko wa Rais, vote 28 na 30 zikaguliwe n.k

2. Alimkataza CAG kukagua manunuzi ya ndege za ATCL. Pia miradi kama JNHEP na SGR walikataza isifanyiwe performance audit!! Je kama ni msafiiii unaficha Nini?

3. Alimuondoa CAG kabla ya wakati wake kisheria (Mahakama imehukumu hivyo) Sasa why upange mtu wa kukukagua Tena kutoka Kanda ya ziwa? Uadilifu utakuwepo kweli?

4. Alikataa utekelezaji wa sheria ya TEITI. Hii sheria inataka mikataba yote ipitiwe bungeni ila JPM alikataa katu katu. Nakumbuka mbunge Jessica Kishoa alipiga kelele kutaka mikataba iletwe bungeni kupitia sheria hiyo. Mind you TEIT inafanya pia ukaguzi ila ripoti zake hazijadiliwi bungeni, Sasa Rais msafi why anakataza ripoti za ukaguzi bungeni? Why alimkataza mikataba kupelekwa bungeni?

5. Kulinda mafisadi..... JPM alituaminisha kuwa Acacia imetuibia trillion 400+ kama malimbikizo na fine ya kukwepa Kodi. Sasa basi makamu wa Rais ACACIA alikamatwa na kupewa kesi ya uhujumu uchumi. Cha kuchekesha alitolewa kwa kulipiwa Billion 2 kwa kesi ya matrilioni?? Cha kushangaza zaidi ni pale JPM alipomteua kuwa mgombea ubunge huko nyanda za juu kusini, inashangaza why mtu anayejiita msafi anaweza msafisha fisadi la trillion 400 na kumpigia kampeni!!

Na sio huyo tu wapo wengine mfano Sabaya, Makonda, Nchambi (huyu alikamatwa na meno ya tembo)

Mifano ni mingi ila naomba ujibu hoja Moja baada ya nyingine kuhusu uadilifu wa JPM kama alivyojinasibu

Cc sukuma gang wote Nyumisi Carlos The Jackal Msanii nyamisi
 
Hakuna Rais anafanya wizi directly ila ufisadi wa JPM ni kwa sababu zifuatazo.
1. Alituondoa kwenye OGI iliyotaka maximum transparency ya serikali kama ukaguzi wa hesabu, ukaguzi mfuko wa Rais, vote 28 na 30 zikaguliwe n.k

2. Alimkataza CAG kukagua manunuzi ya ndege za ATCL. Pia miradi kama JNHEP na SGR walikataza isifanyiwe performance audit!! Je kama ni msafiiii unaficha Nini?

3. Alimuondoa CAG kabla ya wakati wake kisheria (Mahakama imehukumu hivyo) Sasa why upange mtu wa kukukagua Tena kutoka Kanda ya ziwa? Uadilifu utakuwepo kweli?

4. Alikataa utekelezaji wa sheria ya TEITI. Hii sheria inataka mikataba yote ipitiwe bungeni ila JPM alikataa katu katu. Nakumbuka mbunge Jessica Kishoa alipiga kelele kutaka mikataba iletwe bungeni kupitia sheria hiyo. Mind you TEIT inafanya pia ukaguzi ila ripoti zake hazijadiliwi bungeni, Sasa Rais msafi why anakataza ripoti za ukaguzi bungeni? Why alimkataza mikataba kupelekwa bungeni?

5. Kulinda mafisadi..... JPM alituaminisha kuwa Acacia imetuibia trillion 400+ kama malimbikizo na fine ya kukwepa Kodi. Sasa basi makamu wa Rais ACACIA alikamatwa na kupewa kesi ya uhujumu uchumi. Cha kuchekesha alitolewa kwa kulipiwa Billion 2 kwa kesi ya matrilioni?? Cha kushangaza zaidi ni pale JPM alipomteua kuwa mgombea ubunge huko nyanda za juu kusini, inashangaza why mtu anayejiita msafi anaweza msafisha fisadi la trillion 400 na kumpigia kampeni!!

Na sio huyo tu wapo wengine mfano Sabaya, Makonda, Nchambi (huyu alikamatwa na meno ya tembo)

Mifano ni mingi ila naomba ujibu hoja Moja baada ya nyingine kuhusu uadilifu wa JPM kama alivyojinasibu

Cc sukuma gang wote Nyumisi Carlos The Jackal Msanii
Mkuu
Maadam umeweka hoja ni dhati itajibiwa na utaelimishwa ili usiendelee kuishi kwa tetesi.

Nitaupdate hii post yangu nikifika ninapoenda maana nipo mobile muda huu
 
Hakuna Rais anafanya wizi directly ila ufisadi wa JPM ni kwa sababu zifuatazo.
1. Alituondoa kwenye OGI iliyotaka maximum transparency ya serikali kama ukaguzi wa hesabu, ukaguzi mfuko wa Rais, vote 28 na 30 zikaguliwe n.k

2. Alimkataza CAG kukagua manunuzi ya ndege za ATCL. Pia miradi kama JNHEP na SGR walikataza isifanyiwe performance audit!! Je kama ni msafiiii unaficha Nini?

3. Alimuondoa CAG kabla ya wakati wake kisheria (Mahakama imehukumu hivyo) Sasa why upange mtu wa kukukagua Tena kutoka Kanda ya ziwa? Uadilifu utakuwepo kweli?

4. Alikataa utekelezaji wa sheria ya TEITI. Hii sheria inataka mikataba yote ipitiwe bungeni ila JPM alikataa katu katu. Nakumbuka mbunge Jessica Kishoa alipiga kelele kutaka mikataba iletwe bungeni kupitia sheria hiyo. Mind you TEIT inafanya pia ukaguzi ila ripoti zake hazijadiliwi bungeni, Sasa Rais msafi why anakataza ripoti za ukaguzi bungeni? Why alimkataza mikataba kupelekwa bungeni?

5. Kulinda mafisadi..... JPM alituaminisha kuwa Acacia imetuibia trillion 400+ kama malimbikizo na fine ya kukwepa Kodi. Sasa basi makamu wa Rais ACACIA alikamatwa na kupewa kesi ya uhujumu uchumi. Cha kuchekesha alitolewa kwa kulipiwa Billion 2 kwa kesi ya matrilioni?? Cha kushangaza zaidi ni pale JPM alipomteua kuwa mgombea ubunge huko nyanda za juu kusini, inashangaza why mtu anayejiita msafi anaweza msafisha fisadi la trillion 400 na kumpigia kampeni!!

Na sio huyo tu wapo wengine mfano Sabaya, Makonda, Nchambi (huyu alikamatwa na meno ya tembo)

Mifano ni mingi ila naomba ujibu hoja Moja baada ya nyingine kuhusu uadilifu wa JPM kama alivyojinasibu

Cc sukuma gang wote Nyumisi Carlos The Jackal Msanii
Magufuli was a bold leader aliyeamini katika matokeo, na matokeo yalionekana.......hata rais mstaafu Mwinyi kwenye msiba wa Mkapa alistaajabu mambo aliyofanya magufuli ndani ya muda mfupi hasa kusimamia na kutekeleza projects kubwa ambazo hata waliotangulia hawakuwa na ujasiri hata wa kuwaza kufanya.

Approach inaweza kuwa jambo jingine, lakini unaona nia ya dhati ya Magufuli kutaka kufanya transformation kubwa ya nchi. Kuna kipindi unamsikia anasema hataki watu waende ulaya, anaijenga ulaya hapahapa Tanzania na pesa za kuijenga nchi ifanane na nchi za ulaya zipo. Na hili lilionekana, projects zilikuwa zinatekelezwa kila kona ya nchi........

kwa sasa tumerudi kwenye zama za kujipimia kwa kamba na kulamba asali kwa kuwakamua wanyonge kodi na tozo lukuki huku tukijipa kazi za uchawa za kusifia mama kuupiga mwingi, nothing more!​
 
Kuna mdahalo mkali sana unaendelea kuhusu kumbukumbu ya miaka miwili bila JPM.

Kumeshaibuka pande mbili za wanaomkumbuka.Magufuli. upande wa kwanza ni wale wanaomuomboleza wakikumbuka mema yake. Na upande wa pili ni wale ambao wanashangilia kifo chake.

Serikali inayoongozwa na CCM imekaa kimya ikijua karata inazozichesha kwenye sakata la JPM. Ukimya huu wa serikali unaleta jibu muhimu kuwa inafumbia macho harakati za kumchafua marehemu JPM kwa sababu inazozijua...... huenda ikawa inasimama kama kivuli upande wa mashabiki wanaomzomea Hayati.


Jambo la pili ambalo ni muhimu sana. Ni kwamba kadiri nchi inavyosogea kuelekea 2025 ndivyo pande mbili hizi zinazokinzana wanavyopata nguvu na mwangwi wao kusikiwa mbali.

Mpaka sasa serikali imegomea kumuenzi JPM hasa kwa sbababu ni rais aliyefariki akiwa madarakani. Na kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake. Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.

Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la JPM kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawwtaki camera wala media coverage.

Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.

UChaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za JPM. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjhe kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.....
Gone by the wind. Kila kitu na wakati wake.
 
Hahahahha una illusions sio Bure? Chato imejaa wageni Gani wakati Dola nzima ilikuwepo Ikulu.

Acha uongo mbona kwenye ibada hata mabesti wake kina Makonda hawakuwepo ndio sembuse raia wa kawaida hata bando linamshinda ataweza kweli kupata Hela ya nauli Hadi chato?? Mnajidanganya kwa faida ya nani?


Sio kweli.... 2025 ni Samia vs Chadema ambao both ni Hasimu wa JPM so unless sukuma gang waanzishe chama basi hakuna JPM Factor hiyo 2025.

Mfano Lissu akigombea vs Samia Sasa hapo JPM ana karata Gani Ilihali yeyote atakayeshinda ataendeleza kejeli kwake?

Kubalini tu it's over, hawezi fufuka move on
Nyerere na Karume ndo marais tu tunaoadhimisha vifo vyao. Mkapa, JPM vifo vyao vinaadhimishwa na familia zao tu. Period!
 
Back
Top Bottom