Kumbukizi ya miaka 2 bila Hayati Magufuli inazidi kuchangamsha 2025

Kumbukizi ya miaka 2 bila Hayati Magufuli inazidi kuchangamsha 2025

Sasa unalia nini? Gazeti lote hilo la kazi gani kama una uhakika hakuna kitu tunaweza kufanya?
Nani kalia? Wapinzani tunachekelea Toka huyo shetani azikwe husikii mabomu Wala risasi kufyatuliwa kisa siasa.

Mnaolialia ni nyie sukuma gang maana huo Mzoga wenu hamna aliyekua na time nao siku ya maadhimisho.

Na hiyo 2025 masalia wote mtaondolewa kwenye position za kisiasa na hamna kitu mtafanya.

Embicile
 
Uzuri wake kaburi lake watazuru watu wenye mapenzi mema nae no unafiki kitu ambacho ni kizuri sana

Mtu kama Kardinali Pengo anabebea udhamani wa watu kama elfu 10 ni mzito kuliko hata viongozi wa serikali
Mbona Bashiru au Polepole hakuwepo? Mlikua mnajazana upepo sijui JPM maarufu hta akiwa kaburini, sijui ataamua uchaguzi wa 2025!! Miaka 2 keshasapotezewa na sukuma gang wenzie ndio sembuse 2025.
 
Waliomuua JPM walijidanganya. Wameshtuka kuona walivyodhani wamemaliza kazi kumbe ndio wamejipa kazi. 2025 ije, wallah halitosalia jiwe juu ya jiwe. Wenye mioyo myepesi watafute sehemu pakukimbilia mapema. Narudia tena, yule alikua Rais wa nchi na raia namba moja, hawezi kufa tu kama kuku. Liwalo na liwe, wao si wamemwaga mboga?
Ndoto za mchana hizi. Tupambanie katiba mpya na tume huru. Hizi huruma hazitusaidii
 
Hawawezi kukuelewa. Wenye akili wanajua something is cooking, ndiyo maana kuna genge limepewa asali ili kupambana na marehemu. Kila wakisimama jukwaani ni kuhangaika na marehemu. Unabaki unajiuliza kwani marehemu ana mpango wa kugombea urais 2025😄😄😄?
Matendo yake ndio yanamhukumu....reaping what he saw.
 
Why Magufuli?? Ukiwa na rais asietaka masihara na mali ya taifa inapelekea kuchukiwa kiasi hiki?? Mbona kulikuwa na marais mafisadi na wana jilimbikia mali na familia zao. Hawa tupo kimya sana juu yao Hakika hakuna mkamilifu kwenye kutekeleza majukumu yake
Kwasababu ya uovu wake, mbona mkapa hasemwi
 
Hawawezi kukuelewa. Wenye akili wanajua something is cooking, ndiyo maana kuna genge limepewa asali ili kupambana na marehemu. Kila wakisimama jukwaani ni kuhangaika na marehemu. Unabaki unajiuliza kwani marehemu ana mpango wa kugombea urais 2025[emoji1][emoji1][emoji1]?
Simple sana kulielewa hili, uovu alioutenda kwa Watanzania ndiyo chanzo
 
Waliomuua JPM walijidanganya. Wameshtuka kuona walivyodhani wamemaliza kazi kumbe ndio wamejipa kazi. 2025 ije, wallah halitosalia jiwe juu ya jiwe. Wenye mioyo myepesi watafute sehemu pakukimbilia mapema. Narudia tena, yule alikua Rais wa nchi na raia namba moja, hawezi kufa tu kama kuku. Liwalo na liwe, wao si wamemwaga mboga?
Sasa wewe Sukuma gang utafanya nini?
 
Kuna mdahalo mkali sana unaendelea kuhusu kumbukumbu ya miaka miwili bila JPM.

Kumeshaibuka pande mbili za wanaomkumbuka.Magufuli. upande wa kwanza ni wale wanaomuomboleza wakikumbuka mema yake. Na upande wa pili ni wale ambao wanashangilia kifo chake.

Serikali inayoongozwa na CCM imekaa kimya ikijua karata inazozichesha kwenye sakata la JPM. Ukimya huu wa serikali unaleta jibu muhimu kuwa inafumbia macho harakati za kumchafua marehemu JPM kwa sababu inazozijua...... huenda ikawa inasimama kama kivuli upande wa mashabiki wanaomzomea Hayati.


Jambo la pili ambalo ni muhimu sana. Ni kwamba kadiri nchi inavyosogea kuelekea 2025 ndivyo pande mbili hizi zinazokinzana wanavyopata nguvu na mwangwi wao kusikiwa mbali.

Mpaka sasa serikali imegomea kumuenzi JPM hasa kwa sbababu ni rais aliyefariki akiwa madarakani. Na kama tunavyofahamu mashujaa wanaofia vitani wanaenziwa sana na kumbukumbu zao kuwekwa vizazi na vizazi. Aliyefariki alikuwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye alikuwa anaongoza mapambano ya kiuchumi kwa taifa lake. Hivyo as Nation inayojinasibu kupiga vita ubaguzi inapaswa kusimama kwenye kauli na msimamo wake kuhusu shujaa aliyefia vitani.

Kinachoendelea sasa ni kuongezeka wimbi la mahujaji wanaoenda kuzuru kaburi la JPM kule Chato tena wanaenda kimyakimya hawwtaki camera wala media coverage.

Siku ya leo Chato imejaa wageni na haitopita mida kutskuwa na ongezeko la watalii wa ndani na nje kufika Chato kimyakimya na kuondoka.

UChaguzi 2025 utakuwa ni pande mbili za JPM. Hivyo mnapoona Upinzani unaunganisha nguvu na mbogamboga fc ndo mjhe kuwa imani ya walio jikoni imetetereka.....
Kwani ni katiba ndio inasema lazima kuwe na kumbukizi ya jpm?sio lazima kufanya hivyo na hiyo 25 unayosema sijui pande mbili hakuna kitu Kama hicho kutokea ndani ya CCM kwaza kaa ukijua Sasa hivi Wana CCM wengi na hasa wabunge hawawazi kuhusu urais wanawaza hatma ya ubunge wao na matumbo yao itakuwaje maana hatma yao anayo mwenyekiti wa chama.upo hapo
 
Kila anayechukizwa na hayati JPM afahamu kuwa anapambana na kivuli Cha



mpendwa wetu Daktari mahiri, mwanamageuzi, mwana wa Africa, jabali la Africa, mtetezi wa wanyonge, mwanamapinduzi, mpigania haki na uchumi wa Africa Rais wa awamu ya 5 John Pombe Joseph Magufuli!. Pumzika kwa amani baba. Daima tutakumbuka na kukuenzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajilisha upepo, eti tuta, wewe na nani mtamkumbuka huyo muovu?
 
Kwasababu ya uovu wake, mbona mkapa hasemwi
Chini ya Mkapa ndo yalitokea mauaji ya mwembechai na Zanzibar..wazanzibari wakakimbilia mombasa bt hakuna analisema hili.
Chini ya JK:
1. Mwandishi wa habari Mwangosi alipigwa bomu iringa na kufariki kwenye vurugu za polisi na cdm.

2. Kijana Arusha apigwa risasi na polisi na siku ya maziko PM akiwa bungeni akaagiza wapigwe tu hakuna namna, mke wa Slaa akachezea kichapo huku viongozi wa cdm wakilala mbele...

3.Kiongozi wa madaktari alitekwa na kung'olewa kucha, na kutupwa ajifie mabwepande.

4. Kubebenea alimwagiwa tindikali till today anavaa miwani

5.Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom kibanda alitekwa na wasiojulikana na kupewa kichapo nusu mauti

6.Chini ya JK magari ya deraya ya JWTZ yalienda mtwara kuzuia maandamano ya kupinga gas kusafirishwa

7. Chini ya JK Checha alipindua matokeo ZnZ

Bt hakuna anawasema hawa ni madikteta.

Tofauti yao ni moja tu. wakati haya yanafayika watu walikua wameachwa walambe asali so hakukua na kampeni km tunayoiona kipindi cha JPM, i bet JPM angekubali ku compromise hizi kelele tunazoziskia sasa zisingekuepo and probably angekua hai.
Note: Penye uzia tia rupia.
Mama katia udhia hakuna anehangaika kuwatafta wala kupaza sauti kwa wale vijana wa5 waliopotea, or kuzungumzia issue ya mtu aliokotwa karibuni ikiwa kwenye kiroba huko dodoma.
 
Chini ya Mkapa ndo yalitokea mauaji ya mwembechai na Zanzibar..wazanzibari wakakimbilia mombasa bt hakuna analisema hili.
Chini ya JK:
1. Mwandishi wa habari Mwangosi alipigwa bomu iringa na kufariki kwenye vurugu za polisi na cdm.

2. Kijana Arusha apigwa risasi na polisi na siku ya maziko PM akiwa bungeni akaagiza wapigwe tu hakuna namna, mke wa Slaa akachezea kichapo huku viongozi wa cdm wakilala mbele...

3.Kiongozi wa madaktari alitekwa na kung'olewa kucha, na kutupwa ajifie mabwepande.

4. Kubebenea alimwagiwa tindikali till today anavaa miwani

5.Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom kibanda alitekwa na wasiojulikana na kupewa kichapo nusu mauti

6.Chini ya JK magari ya deraya ya JWTZ yalienda mtwara kuzuia maandamano ya kupinga gas kusafirishwa

7. Chini ya JK Checha alipindua matokeo ZnZ

Bt hakuna anawasema hawa ni madikteta.

Tofauti yao ni moja tu. wakati haya yanafayika watu walikua wameachwa walambe asali so hakukua na kampeni km tunayoiona kipindi cha JPM, i bet JPM angekubali ku compromise hizi kelele tunazoziskia sasa zisingekuepo and probably angekua hai.
Note: Penye uzia tia rupia.
Mama katia udhia hakuna anehangaika kuwatafta wala kupaza sauti kwa wale vijana wa5 waliopotea, or kuzungumzia issue ya mtu aliokotwa karibuni ikiwa kwenye kiroba huko dodoma.
Uovu wa mkapa ni kama mwingi uligusa individuals na raia wengi hawakujua, ila Jiwe kabomoa nyumba za watu, kala pesa za watu za tetemeko, piga watu risasi, kuwa na watu kama Makonda, sabaya na wengineo, fukuza kazi viongozi hadhalani, mambo ya ukanda, nunua wabunge yaani mambo yake huwezi yamaliza
 
Roho wa Mungu akufumbue ufahamu wako unaposoma Neno hili


1 Wafalme 22:7
Lakini Yehoshafati akasema, Je! Hayupo hapa nabii wa BWANA tena, ili tumwulize yeye?

1 Wafalme 22:8
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Yupo mtu mmoja, ambaye tungeweza kumwuliza BWANA kwa yeye, yaani Mikaya mwana wa Imla; lakini namchukia; kwa sababu hanibashirii mema, ila mabaya. Yehoshafati akasema, La! Mfalme asiseme hivi.

1 Wafalme 22:9
Ndipo mfalme wa Israeli akamwita akida, akamwambia, mlete hima Mikaya mwana wa Imla.

1 Wafalme 22:10
Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wakikaa kila mtu katika kiti chake cha enzi, wamevaa mavazi yao, katika sakafu langoni pa Samaria; na manabii wote wakafanya unabii mbele yao.

1 Wafalme 22:11
Na Zedekia mwana wa Kenaana akajifanyia pembe za chuma, akasema, BWANA asema hivi, Kwa hizo utawasukuma Washami, hata waharibike.

1 Wafalme 22:12
Na manabii wote wakasema hivyo kwa unabii, wakisema, Kwea Ramoth-Gileadi, ukafanikiwe; kwa kuwa BWANA atautia mkononi mwa mfalme.

1 Wafalme 22:13
Na yule mjumbe, aliyekwenda kumwita Mikaya, akamwambia, akasema, Angalia sasa, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja husema mema kwa mfalme; neno lako na liwe, nakusihi, kama neno la mmojawapo wao, ukaseme mema.

1 Wafalme 22:14
Mikaya akasema, Kama BWANA aishivyo, neno lile BWANA aniambialo, ndilo nitakalolinena.

1 Wafalme 22:15
Na alipokuja kwa mfalme, mfalme alimwambia, Je! Mikaya, tuende Ramoth-Gileadi kupiga vita, au tunyamaze? Akamwambia, Kwea, ufanikiwe; kwa kuwa BWANA atautia mkononi mwa mfalme.

1 Wafalme 22:16
Mfalme akamwambia, Mara ngapi nikuapishe usiniambie neno ila yaliyo kweli, kwa jina la BWANA?

1 Wafalme 22:17
Akasema, Naliwaona Waisraeli wote wametawanyika milimani, kama kondoo wasio na mchungaji. BWANA akasema, Hawa hawana bwana; na warudi kila mtu nyumbani kwake kwa amani.

1 Wafalme 22:18
Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Je! Sikukuambia, hatanibashiria mema, ila mabaya?

1 Wafalme 22:19
Mikaya akasema, Sikia basi neno la BWANA; Nalimwona BWANA ameketi katika kiti chake cha enzi, na jeshi lote la mbinguni wamesimama upande wa mkono wake wa kuume na wa kushoto.

1 Wafalme 22:20
BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.

1 Wafalme 22:21
Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya.

1 Wafalme 22:22
BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo.

1 Wafalme 22:23
Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako.

1 Wafalme 22:24
Ndipo akakaribia Zedekia, mwana wa Kenaana, akampiga Mikaya kofi la shavu, akasema, Roho ya BWANA alitokaje kwangu ili aseme na wewe?

1 Wafalme 22:25
Mikaya akamwambia, Angalia, utaona siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani ili ujifiche.

1 Wafalme 22:26
Mfalme wa Israeli akasema, Mchukueni Mikaya, mkamrudishe kwa Amoni mkuu wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme;

1 Wafalme 22:27
mkaseme, Mfalme asema hivi, Mtieni mtu huyu gerezani, mkamlishe kwa chakula cha shida, na maji ya shida, hata nitakaporudi kwa amani.

1 Wafalme 22:28
Mikaya akasema, Ukirudi kabisa kwa amani, BWANA hakusema kwa mimi. Akasema, Sikieni, enyi watu wote.

1 Wafalme 22:33
Ikawa, wakuu wa magari walipoona ya kuwa siye mfalme wa Israeli, wakageuka nyuma wasimfuate.

1 Wafalme 22:34
Mtu mmoja akavuta upinde kwa kubahatisha, akampiga mfalme wa Israeli mahali pa kuungana mavazi yake ya chuma; kwa hiyo akamwambia mwendesha gari lake, Geuza mkono wako, unichukue kutoka katika majeshi; kwa kuwa nimejeruhiwa sana.

1 Wafalme 22:35
Pigano likazidi siku ile; mfalme akategemezwa garini mwake, kinyume cha Washami, hata jioni akafa; damu ikatoka katika jeraha yake ndani ya gari.

BARIKIWA SANA
Amen.
 
Uovu wa mkapa ni kama mwingi uligusa individuals na raia wengi hawakujua, ila Jiwe kabomoa nyumba za watu, kala pesa za watu za tetemeko, piga watu risasi, kuwa na watu kama Makonda, sabaya na wengineo, fukuza kazi viongozi hadhalani, mambo ya ukanda, nunua wabunge yaani mambo yake huwezi yamaliza
1. Unajua familia ngapi zilikimbia zanzibar hadi useme ilikua indivuduals?

2. Unajua watu wangapi walikufa na kupata vilema Mwembechai?

3. Unajua watu wangapi walibomolewa nyumba kipande cha Ubungo-Kimara enzi za mkapa kupisha upanuzi wa barabara?I bet u mtoto sana kujua hii habari...

4. Unajua Familia ngapi zilihamishwa kwa nguvu North Mara kupisha Mgodi?

5. Unajua ni watu wangapi walihamishwa, kufukiwa & kufa Blyanhulu shinyang kuwahamisha wanainchi kupisha mwekezaji?

6. Unajua Familia ngapi zilichomewa moto nyumba Serengeti mkuu wa wilaya akiwa baba yake Sabaya

7. Unajua watu wangapi walipoteza kazi kwa kupunguzwa na viwanda kuuzwa kwa bei ya kutupa?

8.Unajua enzi za Mkapa Yona, Mramba na Kigoda walikua hawashikiki?Mramba aliwahi kuliambia bunge Nyasi tutakula ila Ndege tutanunua? Tukapigwa mabilioni mpaka waliotuibia wakaona noma wakaturudishia some amount of money

10.Unaona pesa za tetemeko ambazo hazizidi ht 10b zilizo tumika kuwajengea shule ya kisasa ni pesa nyingi kuliko Mabilioni tuliopigwa kwenye Meremeta na Expo..angalau hao hawakupewa pesa ila walijengewa shule, hizi za meremeta na expo zilijenga nn?

11. Uliza Amrani kombe alikua nani na alipigwa risasi kipindi gani...

12. Una mengi sana ya kujifunza kijana, wenzio tumezishuhudia awamu za kutosha kujua zipi pumba upi mchele.
 
Chini ya Mkapa ndo yalitokea mauaji ya mwembechai na Zanzibar..wazanzibari wakakimbilia mombasa bt hakuna analisema hili.
Chini ya JK:
1. Mwandishi wa habari Mwangosi alipigwa bomu iringa na kufariki kwenye vurugu za polisi na cdm.

2. Kijana Arusha apigwa risasi na polisi na siku ya maziko PM akiwa bungeni akaagiza wapigwe tu hakuna namna, mke wa Slaa akachezea kichapo huku viongozi wa cdm wakilala mbele...

3.Kiongozi wa madaktari alitekwa na kung'olewa kucha, na kutupwa ajifie mabwepande.

4. Kubebenea alimwagiwa tindikali till today anavaa miwani

5.Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom kibanda alitekwa na wasiojulikana na kupewa kichapo nusu mauti

6.Chini ya JK magari ya deraya ya JWTZ yalienda mtwara kuzuia maandamano ya kupinga gas kusafirishwa

7. Chini ya JK Checha alipindua matokeo ZnZ

Bt hakuna anawasema hawa ni madikteta.

Tofauti yao ni moja tu. wakati haya yanafayika watu walikua wameachwa walambe asali so hakukua na kampeni km tunayoiona kipindi cha JPM, i bet JPM angekubali ku compromise hizi kelele tunazoziskia sasa zisingekuepo and probably angekua hai.
Note: Penye uzia tia rupia.
Mama katia udhia hakuna anehangaika kuwatafta wala kupaza sauti kwa wale vijana wa5 waliopotea, or kuzungumzia issue ya mtu aliokotwa karibuni ikiwa kwenye kiroba huko dodoma.
Nyuki wa mama zitto junior pitia hapa usome.kwa kituo.....

Is not over until is over
 
1. Unajua familia ngapi zilikimbia zanzibar hadi useme ilikua indivuduals?

2. Unajua watu wangapi walikufa na kupata vilema Mwembechai?

3. Unajua watu wangapi walibomolewa nyumba kipande cha Ubungo-Kimara enzi za mkapa kupisha upanuzi wa barabara?I bet u mtoto sana kujua hii habari...

4. Unajua Familia ngapi zilihamishwa kwa nguvu North Mara kupisha Mgodi?

5. Unajua ni watu wangapi walihamishwa, kufukiwa & kufa Blyanhulu shinyang kuwahamisha wanainchi kupisha mwekezaji?

6. Unajua Familia ngapi zilichomewa moto nyumba Serengeti mkuu wa wilaya akiwa baba yake Sabaya

7. Unajua watu wangapi walipoteza kazi kwa kupunguzwa na viwanda kuuzwa kwa bei ya kutupa?

8.Unajua enzi za Mkapa Yona, Mramba na Kigoda walikua hawashikiki?Mramba aliwahi kuliambia bunge Nyasi tutakula ila Ndege tutanunua? Tukapigwa mabilioni mpaka waliotuibia wakaona noma wakaturudishia some amount of money

10.Unaona pesa za tetemeko ambazo hazizidi ht 10b zilizo tumika kuwajengea shule ya kisasa ni pesa nyingi kuliko Mabilioni tuliopigwa kwenye Meremeta na Expo..angalau hao hawakupewa pesa ila walijengewa shule, hizi za meremeta na expo zilijenga nn?

11. Uliza Amrani kombe alikua nani na alipigwa risasi kipindi gani...

12. Una mengi sana ya kujifunza kijana, wenzio tumezishuhudia awamu za kutosha kujua zipi pumba upi mchele.
Halafu kuna wale Watanzania walifukiwa migodini kwa amri ya serikali ya.......


NIkisikia Lissu anamlaumu JPM huwa sina neno la kusema kwa sababu naelewa anachokipitia Lissu hususan alivyoshambuliwa. Na mpaka leo hakuna jibu nani alitekeleza uovu ule.


Lakini JPM hakuwa mnyama kiasi cha kulazimishiwa watu waamini kwamba ni shetani. Wahuni na majizi ndo wanaoendesha kampeni za kumtukana. Na wahuni wamesogezwa patakatifu hivyo hakuna wa kuwaambia washike adabu zao
 
Nyuki wa mama zitto junior pitia hapa usome.kwa kituo.....

Is not over until is over
Mkapa kaitwa dikteta sana tu
JK tulimuita fisadi na haijabadilika
JPM ni dikteta tumemuita hivo akiwa hai na akiwa amekufa.

Sasa kwanini mjifichie kwenye makosa ya wengine kuhalalisha uhuni wake.
 
Na mpaka leo hakuna jibu nani alitekeleza uovu ule
Aliyetekeleza humjui? We jaribu kumuibia waziri hata notebook tu uone kama hujadakwa siku hiyo hiyo. Ndio sembuse mauaji!!
Lakini JPM hakuwa mnyama kiasi cha kulazimishiwa watu waamini kwamba ni shetani
Alikua kiasi hiko, nakumbuka alitoa order kwa bunge kuwatimua wapinzani Ili wakitoka "awashughulikie".

Aliwahi tukana wahaya baada ya tetemeko na kusema rambi rambi ni za serikali Ili kurekebisha miundombinu na sio kumpa Hela mwananchi mmoja mmoja ilihali watu walikua hawana hata pa kulala Wala kula!!

Nyie msifieni kwa kujenga madaraja na Barabara ila kiuongozi alikua katili kuliko kawaida.
 
Mkapa kaitwa dikteta sana tu
JK tulimuita fisadi na haijabadilika
JPM ni dikteta tumemuita hivo akiwa hai na akiwa amekufa.

Sasa kwanini mjifichie kwenye makosa ya wengine kuhalalisha uhuni wake.
Mimi narudia kusema kuwa suala hilo la udikteta na rekodi za haki za binadamu na demokrasia ninampa JPM alama sifuri.

Lakini nyie kwenye project yenu mnaasisi kuwa alikuwa ni shetani na nchi iliklsea kuwa na mkuu wa nchi kama yeye. Mnafikia mahala mnajipa umungu kuwa bora kafa. Hayo ndiyo mnayoyafanya kwa sababu hamjawahi kukanusha na hamjawahi kuwaasa wafuasi wenu kuhusu kutweza marehemu.

Kwa nini basi msifanye hamasa kuitaka serikali ifute kumbukumbu zake zote? Tuvunje fylovers tuweke minara ya msoga.
Tuuze terrible teens zote tukanunue msosi.
Tuuze meli kule victoria tununue mitumbwi ya kuvulia samaki.
Tuvunje ama kubadili kituo cha mabasi JPM kuwa soko au ziwe ofisi za manispaa
Mnaonaje hii project mkaifanya pia? Maanq hana jema yule
 
Back
Top Bottom