Kumbukizi ya miaka 20 ya Moses Nnauye imetegua vitendawili vingi


Hii mbombo si mchezo 😁😁
 
hata hapa wapo, Mwinyi- Mwinyi; Karume-Karume nk. Hatukatai utawala wa namna hii, hoja yetu ni kuwa taratibu sahihi za kuingia madarakani zimefuatwa? Ukiangalia Bush walivyoingia - sawa kabisa; je Kenyatta ilikuwaje? Tunayataka hayo?
 
Sioni tatizo kwa wao kuwa na muunganiko na uhusiano wa karibu. Ni utamadauni wa kawaida wa mwafrika hasa Tanzania kuwa na undugu. Sisi sote ni ndugu.
 
Unafahamu wagombea urais wa Marekani hawapatikani kwa watu kuja kamati kuu na majina yao mfukoni?
Umewahi kujua mtoto mmojawapo wa Bush alishindwa vibaya na Trump kwa KURA ZA WANACHAMA?
Tafsiri ya jina la mfukoni linakuwa tafauti kwa kutegemea nchi. Hata la Bush junior lilikuwa la mfukoni ndiyo likaenda kwenye kamati zao za chama. Na hata huko USA unategemea magodfather wako wa kwenye chama kukusupport kwa uzito wa maneno yao na fedha zao. Na akifanikiwa lazima alipe hisani.
 
Tatizo waTz wanafukia vichwa mchangani kiwiliwili kinabaki juu halafu wanasema wamejificha!
Mambo yapo wazi kama hatutaamua kuforce mabadiriko yajayo yameshajulikana mbona!
 
Mkuu hata sauti za JK Zilinaswa sema tu jpm aliamua kumwachia mungu wamseme tu ndiyo maana alikuwa kila siku anasema wamuombee
 
Unayajua mambo! Ona Nape na Undumila kuwili! Si huyu JK aliyesitisha ufadhili wake pale chuo cha Diplomasia? Si Malecela aliyemtoa jalalani wakati huo hta kumtafutia gari Landcruiser la kufanya kampeni nchi nzima ili apambane na Nchimbi?
 
Sisi Sukuma Gang hatutakubali kabisa lazima turudi ulingoni tena, afe beki afe kipa,ujinga wakati wa kwenda tu,tumeshajua kila kitu walichofanya hawa Msoga Gang.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hii Mada sukuma GANG inawasorokota tumboni na kupanda kichwani, na vile hawajuhi walitendalo, watapata uchizi na kupuyana uchi .
 
Nami nimejiuliza. Ila wasomali wana ambitions za kibiashara zaidi na kutembea duniani. Ila naona connection ya Bashe katika coalition
Umesahau jinsi tembo wetu walivyong'olewa meno na huyo jangili Kinana?
 
Dr Mwinyi
 
Yale mazindiko na kafara za watu unafikiri mchezo!!

Akili za watu zinafungwa tunabaki mazuzu tu!!!
 
Aiseh!tukubali yaishe!sema hawa jamaa huwa wanatujali walau kidogo!!!Kikwete na Mwinyi senior wametujali angalau!!
 
Ni kweli Brig. Nnauye alikufa bila nyumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…