Kumbukizi ya miaka 59 toka Said Mwamwindi amuue RC Dkt. Kleruu siku kama ya leo mwaka 1971

Kumbukizi ya miaka 59 toka Said Mwamwindi amuue RC Dkt. Kleruu siku kama ya leo mwaka 1971

Ye aendelee tu kuandaa kitabu, kila siku wasomaji wapya na wenye kutaka kujua kilichotokea kwa kleruu na mwamwindi wanaibuka,

Mfano me mwenyewe bado kuna vitu naamini hatujavijua au kujulishwa vizuri juu ya tukio hilo hivyo kama kutakuja kitabu kipya nitakinunua tu kwani kuna mengi sn ya kujifunza.
Kleruu hakwenda Mwika Moshi kuhesabiwa kwani alipanga Krismas hiyo atoke na mama lakini mwenyemji alikuwepo japo mzee haambiliki akageuza kibao na kuhitimisha chap kabla siri haijavuja.
 
Back
Top Bottom