Mkuu kwa wale wasio amini haya mambo una neno gani kwao?Naendelea sasa..kafara la kumfunga mtu njia naneView attachment 3149723
kuhusu hilo, utajua wewe.Duuuh! Kuna kulipia ama ni bure?
Binadamu ni kiumbe wa ajabu na mkatili sana aiseeKulogewa ulemavu wa miguu na miguu kuwaka motoView attachment 3149713
Mkuu kama unaweza nifungulie PM nikupe kisa kimoja halafu utulie usome mwanzo hadi mwisho then ujue unanisaidiaje. Fungua tu PM niweze kukutumia ujumbeSio zuri sana. Labda ujue funguo zilipoView attachment 3149761
VoodooKwa mahitaji na matumizi mbali mbali
Kuharibu
Kutengeneza
Kukinga
Kulinda
Kufungwa
Mvuta nk
View attachment 3149680
Namwona mpaka Bikira Marium mama wa Yesu hapo jiraniKwa mahitaji na matumizi mbali mbali
Kuharibu
Kutengeneza
Kukinga
Kulinda
Kufungwa
Mvuta nk
View attachment 3149680
Umenikumbusha mbali sana miaka ya nyuma kuna jamaa tulikuwaga tunavuta naye bange kijiwe flani hivi nyuma ya chuo maarufu hapa Dodoma sasa huyu jamaa tulikuja kuzoeana sana nikaja kugundua alikuwa mgeni Dom alitokea mkoa flani ambako alikuwa na kesi ya mauaji Yaani alifumania mkewe anapigwa mboo chumbani kwake akawachoma visu wote kisha akajisalimisha police sasa Inaonekana kuna mchongo alicheza na askari akafanikiwa kutoroka kabla hajafikishwa mahakamani.View attachment 3149681
Hii ni kwa ajili ya kinga mbali mbali
🤣🤣🤣🤣 Yaan we Kuna muda una vituko kweli 🙌Hiyo sina sister labda hii ya kafaraView attachment 3149702
hata Mimi nimeona hapo kwenye picha ni santerism ....Hii itakuwa santeria, kilinge cha msata tungeona kichuguu, vyungu na matambala meusi na mekundu.
Huyu mganga inaonesha na bangi imo kwenye vifaa vyake