Kumbukizi za Kilingeni Msata: Aina mbalimbali za hirizi na makafara

Duh seriously?
Kabisa and he phoned me this morning, kuna friend wangu alikuwa na tatizo la kuugua visigino, kumbe Walozi walichukua soksi za friend wangu wakazifanyia science ya giza halafu wakazifunga na kufuli la Solex. Wakati jamaaa yangu anamuagua alilivuta kufuri lilikuwa limezikwa makaburini Singida huko. Kufuri likaja likiwa limeifunga soksi. But there was no key to unlock the padlock, akafanya mambo ikavutwa ile funguo ikaja ni ile padlock ikawa unlocked. Friend wangu kapona kabisa visigino sasa.
 
...Nguzo ya maisha ni nguzo ya imani,siku zote kuwa kuwa chanya na kuwa na imani thabiti...

Ushirikina una mwisho mmbaya.....njaa tu inapelekea watu kufanya huo uchafu.

Stuka huo ni mtego....kuna watu watanasa
Acha watu waishi kwenye science yao na kila kitu kina negative na positive impacts, Kama hayajakukuta we kausha tu. Kuna watu humu wanatibiwa na kupona mambo yaliyoshindikana kwa Manabii feki. Kama una mgonjwa wa aina yoyote iwe Kansa, Ukimwi, Presha au ugonjwa wowote nicheki. Kuna mtu humu Wazazi wake walikuwa na HIV na wanaendelea vizuri na baada ya mwezi wameambiwa wakapime
 
Umenikumbusha huko Mahenge vijijini wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro kuna mganga mmoja, wanawake wa mjini Daslamu na Unguja wanamtumia sana kupora waume za watu. Mganga mwenyewe ni wale waganga ambao wanaua kabisa yani jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa..

Wapemba wa Kariakoo huwa wanaenda sana kwake kuzindika nyumba na biashara, mwizi akienda kuvamia haoni nyumba inapotea
 
Mzee wa kilinge hivi hizi mbanga, mtu anaweza akampiga pin mtu asiyehusika na zikamdhuru? (Let say unamtuhumu mtu kwa utapeli ila kiuhalisia hakufanya utapeli)
Ni kama kubambikiwa kesi tu na ukahukumiwa kifungo au faini... Sometimes kuna bahati mbaya zinawatokea watu wakakanyaga madude yasiyowahusu ama kupigwa na kipapai kilichopanchiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…