Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
😆😁😄😄😃😃🤣😅😆😂😂😂😂😁😄😄Emmanuel Okwi aliwafanya kitu mbaya Uto, lile goli la kwanza uhuru ulipitiliza yaani..!
Hawatakaa waje wasahau mabeki wao..!
😆😁😄😃😀😅Hapa uto watapita kimya.
Asante kwa kumbukumbu murua kabsa hiiTarehe kama ya leo miaka 10 iliyopita, Timu kubwa kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Simba Sports a.k.a Lunyasi walimnyoa Yanga jumla ya magoli 5-0.
Unakumbuka nini kuhusu mechi hii? Karibu sana mwanasimba utukumbushe miaka 10 ya mechi hii...
View attachment 2213824
Kumbe kuna kulipana mdogo wangu? 😎Na mpaka Leo wameshindwa kutulipa😀😀
Hapa uto watapita kimya.
Wamebaki na kelele nyingiiiiNa mpaka Leo wameshindwa kutulipa😀😀
Yess 😀😀sijui mnakwama wapi?Kumbe kuna kulipana mdogo wangu? 😎
Halafu Kaseja na wenzake walimbania tuu Okwi kukamilisha hat trick yakedharau yani mpaka golikipa Juma K Juma alifunga goli?
Wan dei yesi.Yess 😀😀sijui mnakwama wapi?