Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ila ikitokea kwenye Derby za kufungana bao nyingi zinazungumziwa hizo eti.kumbe ni sunderland!
Hiyo hata mahakamani nakana kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ikitokea kwenye Derby za kufungana bao nyingi zinazungumziwa hizo eti.kumbe ni sunderland!
Hiyo hata mahakamani nakana kabisa.
Jitahidini🤣 Ndo mana nikasema mna nguvu sababu zenu ni za karibuni.
Ila tutazilipa hizo.
Leo ndo umelijua hilo mkuu? Mkifungwa nyie mnasema ndivyo mpira ulivyo. Akifungwa simba unakuwa wimboMbona ni jambo la kawaida sana!zinapasuliwa timu kubwa mfano Aston villa walimpasua Liverpool bao 6.Nyie mabinti wa Mwamedi mnaona jambo geni sana eenh!!
Rekodi pekee Simba SC kuifunga Yanga mabao 6-0 Kibadeni akipiga mabao matatu (hat-trick)Huko nyuma mbona na sie tushawafunga goli nyingi pia.
Hapa mna nguvu tu sababu nyie ndo wa mwisho kufunga hizo goli.
Mechi ndiyo ilikuwa derby ya kwanza kwa Jonas Gerald Mkude kuicheza aliingia dakika ya 80 nafikiri.Tarehe kama ya leo miaka 10 iliyopita, Timu kubwa kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Simba Sports a.k.a Lunyasi walimnyoa Yanga jumla ya magoli 5-0.
Unakumbuka nini kuhusu mechi hii? Karibu sana mwanasimba utukumbushe miaka 10 ya mechi hii...
View attachment 2213824
Utopolo hawataweza kulipiza icho kipigo kamwe.Halafu Kaseja na wenzake walimbania tuu Okwi kukamilisha hat trick yake
Kwa timu ipi ?[emoji1787] Ndo mana nikasema mna nguvu sababu zenu ni za karibuni.
Ila soon tutazilipa hizo.
Acha kabisaUngekuwa sehemu ya historia ya mashabiki walioshuhudia mauaji ya sharubela
Dah..masikini weeeee mashabiki wengi wa simba mmekuja kipindi hiki cha Mo hamuijui vzr timu yenu deni ambalo tunalo kwa faida ya wengi ni deni la 6 bila hzo 5 mlikuwa mnalipa deni sisi ndio wa kwanza kuwafunga 5 bila sina haja ya kukutafunia kila kitu gugo utaonaNa mpaka Leo wameshindwa kutulipa[emoji3][emoji3]
Mo 2012 alikuwepo? Lipeni tuone nyie si mnajifanya Wana historyDah..masikini weeeee mashabiki wengi wa simba mmekuja kipindi hiki cha Mo hamuijui vzr timu yenu deni ambalo tunalo kwa faida ya wengi ni deni la 6 bila hzo 5 mlikuwa mnalipa deni sisi ndio wa kwanza kuwafunga 5 bila sina haja ya kukutafunia kila kitu gugo utaona
Hakuna mtu wa kupoteza muda wake kwenda kutafutiliza / ku gugo eti Yanga alimfunga simba goli 5 lini kwa kitu ambacho hakipo. Hizo stori zenu za kutunga zitawaozea kwenye magunia. Rekodi ilishawekwa hiyo wala haiwezi kuvunjwa na timu nyingine zaidi ya simba kuongeza rekodi.Dah..masikini weeeee mashabiki wengi wa simba mmekuja kipindi hiki cha Mo hamuijui vzr timu yenu deni ambalo tunalo kwa faida ya wengi ni deni la 6 bila hzo 5 mlikuwa mnalipa deni sisi ndio wa kwanza kuwafunga 5 bila sina haja ya kukutafunia kila kitu gugo utaona
kuna rekodi iliwekwa kule Congo na Misri timu kufungwa dabo Khamsa! Nayo tujikumbushe!!Hakuna mtu wa kupoteza muda wake kwenda kutafutiliza / ku gugo eti Yanga alimfunga simba goli 5 lini kwa kitu ambacho hakipo. Hizo stori zenu za kutunga zitawaozea kwenye magunia. Rekodi ilishawekwa hiyo wala haiwezi kuvunjwa na timu nyingine zaidi ya simba kuongeza rekodi.
Tena mkileta ubishi ipo siku tutawapasua 7+
Haina shida mkuu. Vilevile tujikumbushe na ile ya Raja casablanca 6 , Yanga 0 kule morocco 1998.kuna rekodi iliwekwa kule Congo na Misri timu kufungwa dabo Khamsa! Nayo tujikumbushe!!
Redondo na Mafisango hawakuwahi kucheza pamoja Simba kama unakumbuka vizuri, Mafisango alinadilishana na Chombo kutoka Azam kwenda SimbaMechi ndiyo ilikuwa derby ya kwanza kwa Jonas Gerald Mkude kuicheza aliingia dakika ya 80 nafikiri.
From there the rest is history.
Kipindi hicho front three ya Simba yupo Emanuel Okwi Felix Sunzu na Boban.
Nyuma yao yupo Patrick Mtesa Mafisango, Ramadhani Chombo Redondo na Amri, Rashid Gumbo.
Kocha Milovan Cirkovic
Mtani Shadeeya nadhani ulikuwa mpenzi wa somo la historia shuleni.Tarehe kama ya leo miaka 10 iliyopita, Timu kubwa kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Simba Sports a.k.a Lunyasi walimnyoa Yanga jumla ya magoli 5-0.
Unakumbuka nini kuhusu mechi hii? Karibu sana mwanasimba utukumbushe miaka 10 ya mechi hii...
View attachment 2213824
Lete kumbukumbu hiyo mtani maana mimi najua tulishawafunga 6.😂Huko nyuma mbona na sie tushawafunga goli nyingi pia.
Hapa mna nguvu tu sababu nyie ndo wa mwisho kufunga hizo goli.