Kumbukumbu nzuri kwenye maisha yangu(Baba yangu)

Binafsi nimekuwa kwenye upendo wa Baba, kuna muda naona kabisa I can't repay him.

God bless loving men[emoji3590]
 
Baba yangu mpenzi kawa babu Sasa!Moyo wangu unayeyuka kila nikimuona anavyozidi kuwa mzee....

Hongera Kwa kupata baba Bora.
 
Happy Father's Day!
 
Umenikumbusha mzee wangu Marehemu mzee SWAI. R.I.P. SWAI, umenifunza mengi nami naamini ni Baba na Mume bora kwa mke na watoto wangu kama ulivyokuwa wewe Baba na Mme bora kwa mkeo na Wanao.

Naendelea kuishi na kukua katika maadili mema uliyonifundisha kwani ulionipa do and donts pia nilijifunza mengi kwenye maisha yako personally.

Appreciate with thanks, kwa jinsi ya kiroho sijawahi umia wala jutia Mauti yako kwani naamini umemaliza kazi iliyokuleta duniani na tutaonana katoka Pambazuko lile na katika kusanyiko la Ibada ya patakatifu pale pia tutashiriki katika harusi ile ya mwanakondoo. Nakumbuka kauli yako ya mwisho, usinililie mimi ila ililie nafsi yako kwani Mi nimeshakufa na nimeshamuona yule mwenye Haki. Very powefull.
 
Hongerasana na apumzike Kwa amani 🙏
 
Naamin wapo wanaume wa namna iyo hivyo MUNGU atakujalia utampata aliye bora....mmojawapo ni mimi sema nishakuwa occupied.kila la heri mkuu
 
Hongerasana dear kuwa na baba bora
Am proud of being her daughter Sehemu zote nzuri ye ndo wa kwanza kunipeleka,chakula kizuri kuanza kula mahotelini ye ndo wa kwanza kuninunulia
Àllah ampe shifaa na mwisho mwema
 
Hongera kwake kwa kukulea vyema kabisa na kutimiza wajibu wake. Vipi hakukupa jina la mama yake?
 
Am proud of being her daughter Sehemu zote nzuri ye ndo wa kwanza kunipeleka,chakula kizuri kuanza kula mahotelini ye ndo wa kwanza kuninunulia
Àllah ampe shifaa na mwisho mwema
Amiin🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…