Kumbukumbu nzuri kwenye maisha yangu(Baba yangu)

Kumbukumbu nzuri kwenye maisha yangu(Baba yangu)

Ubaya gan huo unaweza ku share Kwa faida ya vizazi vijavyo.....
Nadhani fuata hii link utaona nilichoki share hii ni page ya 13 endelea mbele au kama una muda unaweza kusoma page zote 44 ni uzi wenye kufarijiana sana na kukumbushana kwenye haya maisha Kuna up's and down na mambo usiyoyatarajia yanaweza kukupata. Endelea kwenda mbele huenda ukaiona post yangu
 
Chuki ni Uchafu wa moyo hata nikiendelea kumchukia haibadilishi chochote. Ni kusonga mbele tu maana NO MATTER HOW HARDLY YOU DO YOU CAN'T CHANGE THE PAST.
😂😂😂😂 Tumekutana na mambo magumu sana hapa duniani Kuna uzi nilichangia ilikuwa mwaka 2019 jukwaa la Hoja na Habari Mchanganyiko.
Polesana
 
Kwa sisi wakristo mama angu aliwai kuniambia mlezi mkuu ni YESU KRISTO....
Kama ni mtu wa kuharibikiwa mapema Mimi nilienda soma nikawa baba na mama Mimi mwenyewe.............
Mm nilikataa kua mtu wa ovyo ovyo tangu nikiwa mdogo.....

Wizi, marafiki wabaya, umalaya,bangi, pombe, Ngono na uasherati, ugomvi, tamaa, Uongo, kiburi, dharau, matusi, uvivu, ujanja ujanja,utapeli,

Kuna waliopata malezi mazuri wakaharibikiwa na Kuna walio pata malezi mabaya wakaongozwa na roho wa MUNGU wakaja kua watu wazuri & vice versa is true 😌😊😊
Yah ni kweli kabisa kunawakati inakulazimu kujiongoza lakini sio wote wanaweeza Hilo na ukiweza lazima upitie wakat mgumu kupuuzia hisia mbaya Ili ubaki kwenye mstari
 
Mungu akubariki kwa hili ulilofanya kuya-appreciate yale aliyoyafanya mzee wako pia hongera kwa mama kuficha madhaifu yake kwenu nyie watoto,ni kitu wamama wengi wa siku hizi hawafanyi.

Binafsi huwa nayafanya haya kwa wanangu japo siyo kwa 100%,ila umenipa motisha kwamba kumbe pia ipo siku yatakumbukwa so nitazidi kuboresha ili waje nao kunikumbuka kwa mema,ukipata wasaa kwa imani yako usisahau kumuombea huko aliko azidi kuwekwa sehemu salama.
Asante sana
Kumbukumbu za utoto nzuri na huwa zinadumu moyoni wakati wote ukitaka kujua furaha za watu na maumivu Yao wengi walipitia hayo utotoni na huyakumhuka daima
Mungu akuongoze uendelee kuwa baba Bora natumaini kupitia wew wanao nao watakuwa walezi wazuri na utakuwa ukoowako wenye upendo na furaha
 
Natamani watotowangu wapate baba mzuri kama alivokuwa babuyao [emoji3059][emoji3059][emoji3059]


watu wengi sio wanaume kwa wanawake huwa wanafeli kwenye ndoa zao kwasababu ya hiki kipengere.
.
unakuta mtu anaolewa huku akiwa na matamanio ya mumewe awe kama baba yake matokeo yake anayemuoa asipokuwa vile alivyozani basi humo ndani ugomvi unaanza kwa speed ya 5g.
.
kumbe unachotakiwa kufanya unapoa au kuolewa ni kuwa ndoa yako ni ndoa yako na ndoa ya wazazi wako sio kama ndoa yako
 
Natamani watotowangu wapate baba mzuri kama alivokuwa babuyao [emoji3059][emoji3059][emoji3059]


watu wengi sio wanaume kwa wanawake huwa wanafeli kwenye ndoa zao kwasababu ya hiki kipengere.
.
unakuta mtu anaolewa huku akiwa na matamanio ya mumewe awe kama baba yake matokeo yake anayemuoa asipokuwa vile alivyozani basi humo ndani ugomvi unaanza kwa speed ya 5g.
.
kumbe unachotakiwa kufanya unapoa au kuolewa ni kuwa ndoa yako ni ndoa yako na ndoa ya wazazi wako sio kama ndoa yako
Uko sahihi lakini sijazungimzia ndoa nimezungumzia malezi ya watoto mambo ya ndoa hayo ni mengine wapo watu wanaishi hawana upendo lakin wanalea watoto wao vizuri tu kunawengine wametalikiana lakini kilamzazi anawajibika Kwa nafasi yake
Na Kila unachoweza marazote huja so acha niwaze mazuri Kwa wanangu hata wakipata baba mbaya iwe Kwa Mungu kutaka iwehivo sio Kwa uwezowangu

Ulitaka niwaze mabaya tu na wkat sikuyapitia kuna ambae hatamni mazuri?
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Back
Top Bottom