Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana njia nzuri kuufanya moyowako kuwa na amani ni kuwa bababora Kwa wanaoHongera sana mkuu kwa kuwa na baba bora Mungu aendelee kumpumzisha pahala pema. Sisi wengine malezi ya Baba tunayasikia tu kwa watu but sitotaka mtoto wangu apitie hayo maisha namuomba Mungu sana
Kwahyo hapo inategemeana na bond iliyopo ya mshure na mtot?Ni Kweli lakin Kuna ambao hawakupata nafas kulelewa Kwa sababu za kibinadamu au mpango wa Mungu
Nina mdogo wangu Kwa mama Mkubwa nine years hajamuona Wala kwenda kumsalimia babayake na baba Hana time na mtoto na hawakai mbali sana nauli ni kmaa elf 20 tu
Chuki ni mzigo mzito kwa anaye ubeba...hizo childhood traumas unaweza kuziachia mkuu.. ni rahisi mnoo,naweza kukusaidia.Baba yangu ni adui yangu namba moja.
Kama umetazama series ya Brigerton, chuki aliyonayo huyo mtu aliyopo kwenye avatar yangu kwa baba yake. Namimi ni hivo hivo.
No love from my daddy, 'cause the coward wasn't there
He went away and I didn't cry, 'cause my anger
Wouldn't let me feel for a stranger
-Dear Mama, 2Pac
Allah aendelee kumpa kauli thabiti , mwanaume mwenzetu hakika alituwakilisha vizuri mnoNawasalimu natumaini tukopoa na wagonjwa Mungu atujaalie afyazetu ziimarikemnisamehe Kam sitakuwa na mtiririko mzuri
Leo imekuwa sikunnzuri ya kumbukumbu nzuri maishani mwangu
Kama kitu nilibahatika ni kuwa mtotowake
Mama aliwahi kunambia kabla ya kuzaliwa kwangu babayangu alikuwa asiejali Kabisa kuhusu future yake ila baada ya mama kushika ujauzitowangu alibadilika sana
Nilivozaliwa na kuanza kupata akili sijawahi kumuona babaang akigombana na mama Wala kumrushia kibao marazote Huwa anarudi kazini mapema hata akichelewa Huwa lazima ale chakula Cha usiku na sisi
Nikiwa na miak 6 Nakumbuka nilipata ajali ya kukatwa na chupa mguuni nikicheza kwenye mvua niliumia vibaya alinibeba mgongon kutoka Kwa mfipa had tumbi hakuona aibu Wala hakujali watu watamuonaje na alihakikisha napata matibabu tukarudi wote akiwa kanibeba hivohivo [emoji3059]
Kipind hiki Cha ugonjwa sikuweza kutembea alikuwa anamsaidia mama kuniogesha akirudi kazin jioni na kunifundisha maana sikuwa naenda shule kabisa
Ilikuwa lazima Kila mwisho wa mwez arudi na vinywaji na nyama nyingi nyumbani
Alikuwa Mpenz wa supu na nyama choma hivo sikuhiyo tunabaki mm na yeye jikoni ananifundisha kuchoma nyama tunapika na ugali mama tunamuita aje kula tu [emoji7]
Licha ya kuwa mkali(jeshi) na kuwa na hasira lakini alikuwa hatoi adhabu Zaid yafimbo Kwa watoto,alikuwa anahakikisha mnaenda shule smart kufua kilasiku na kupiga pasi Ilikuwa ni lazima na akiona unazubaa anakupigia pas mwenyew
nakumbuka alishindwa kula sababu sikuonekana nyumbni Kwa mud nilopangiwa nilicheza kupitiliza alinitafuta sanaile siku na alivonipata hakuongea chochote Zaid y kunambia nikalale
Kiukweli maishayngu na babayngu yamenifanya niwe positive kilasiku Kwa wanaume naona nina bahat kulelewa na babayule pia nilikuwa naona namna anavopambana kuhakikisha tunaishi vizuri
Alipata ulemavu wa vidole viwili akiwa kazini ila nilielewa ni katika kuhakikisha tunakuwa katika mazingira safi
Sijawahi msikia mamayangu akimsema vibaya hata baada ya kifo chake
Matukio ni mengi sitaki niwachoshe [emoji3590]
Kiukweli Nina bahat sana
Natamani watotowangu wapate baba mzuri kama alivokuwa babuyao [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Na Mungu awalinde wanaume mnaolea vizuri watoto wenu
Nimegundua namna tunavolea watoto Ndio matokeo ya mienendo na tabia zawatoto zinavyopatikana
I didnāt have to go searching for a role model when I grew up, Iāve always had one since the day I was bornāmy hero dad is my first and only role model.ā[emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Nafikir ni malezi sababu hakumleaKwahyo hapo inategemeana na bond iliyopo ya mshure na mtot?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Wanaume tuna bahati mbaya sana kwenye hii sayari.....wengi tunakufa kabla hata hatujaona matunda ya juhudi zetu hapa duniani.hata baada ya kifo chake
Eti baba inabidi muda wote ndani umekunja sura [emoji16][emoji3]Mikwara uchwara ipi Tena
Kifo ni haki ya Kila mmoja mkuu usisikitike Kuna wanaokufa baada ya kuzaliwa tuWanaume tuna bahati mbaya sana kwenye hii sayari.....wengi tunakufa kabla hata hatujaona matunda ya juhudi zetu hapa duniani.
Hii inakatisha tamaa sana!
š¤£š¤£š¤£NimechekaEti baba inabidi muda wote ndani umekunja sura [emoji16]
Eti baba mkipika nyama yeye ale kubwa kuliko wengine wakati ni wajibu kuwalisha watu wake yeye iwe badae
Eti ili uwe baba basi uwe mkali mkali
Shukrani mkuu ujumbe mzuri sananimeattach nyimbo hiyo kula chumaView attachment 2660165
Ndiyo hivyo sikatai kuwa sura nyingi za wababa ndiyo hutumika kumtisha mtoto alale ila ni wajibu kuwafanya watoto watuone marafiki regardless of our face[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka
Au ukitak kumtisha mtoto utasikia ngoja baba aje uone[emoji1787][emoji1787]