Kumbukumbu nzuri kwenye maisha yangu(Baba yangu)

Kumbukumbu nzuri kwenye maisha yangu(Baba yangu)

Nawasalimu natumaini tukopoa na wagonjwa Mungu atujaalie afyazetu ziimarikemnisamehe Kam sitakuwa na mtiririko mzuri
Leo imekuwa sikunnzuri ya kumbukumbu nzuri maishani mwangu
Kama kitu nilibahatika ni kuwa mtotowake
Mama aliwahi kunambia kabla ya kuzaliwa kwangu babayangu alikuwa asiejali Kabisa kuhusu future yake ila baada ya mama kushika ujauzitowangu alibadilika sana
Nilivozaliwa na kuanza kupata akili sijawahi kumuona babaang akigombana na mama Wala kumrushia kibao marazote Huwa anarudi kazini mapema hata akichelewa Huwa lazima ale chakula Cha usiku na sisi

Nikiwa na miak 6 Nakumbuka nilipata ajali ya kukatwa na chupa mguuni nikicheza kwenye mvua niliumia vibaya alinibeba mgongon kutoka Kwa mfipa had tumbi hakuona aibu Wala hakujali watu watamuonaje na alihakikisha napata matibabu tukarudi wote akiwa kanibeba hivohivo 🥰
Kipind hiki Cha ugonjwa sikuweza kutembea alikuwa anamsaidia mama kuniogesha akirudi kazin jioni na kunifundisha maana sikuwa naenda shule kabisa

Ilikuwa lazima Kila mwisho wa mwez arudi na vinywaji na nyama nyingi nyumbani
Alikuwa Mpenz wa supu na nyama choma hivo sikuhiyo tunabaki mm na yeye jikoni ananifundisha kuchoma nyama tunapika na ugali mama tunamuita aje kula tu 😍

Licha ya kuwa mkali(jeshi) na kuwa na hasira lakini alikuwa hatoi adhabu Zaid yafimbo Kwa watoto,alikuwa anahakikisha mnaenda shule smart kufua kilasiku na kupiga pasi Ilikuwa ni lazima na akiona unazubaa anakupigia pas mwenyew

nakumbuka alishindwa kula sababu sikuonekana nyumbni Kwa mud nilopangiwa nilicheza kupitiliza alinitafuta sanaile siku na alivonipata hakuongea chochote Zaid y kunambia nikalale

Kiukweli maishayngu na babayngu yamenifanya niwe positive kilasiku Kwa wanaume naona nina bahat kulelewa na babayule pia nilikuwa naona namna anavopambana kuhakikisha tunaishi vizuri

Alipata ulemavu wa vidole viwili akiwa kazini ila nilielewa ni katika kuhakikisha tunakuwa katika mazingira safi
Sijawahi msikia mamayangu akimsema vibaya hata baada ya kifo chake
Matukio ni mengi sitaki niwachoshe ❤️
Kiukweli Nina bahat sana
Natamani watotowangu wapate baba mzuri kama alivokuwa babuyao 🥰🥰🥰
Na Mungu awalinde wanaume mnaolea vizuri watoto wenu
Nimegundua namna tunavolea watoto Ndio matokeo ya mienendo na tabia zawatoto zinavyopatikana

I didn’t have to go searching for a role model when I grew up, I’ve always had one since the day I was born–my hero dad is my first and only role model.”❤️❤️❤️
Asante kwa kushare nasi. Hongera kwa kuwa na Baba ambaye amekuwa ni role model wako na vile vile umesema kweli kabisa matokeo ya tabia za sisi Vijana wa leo ni hali ya malezi tuliopewa na Wazazi wetu. Allah akujalie mtazamo chanya kwenye hii Dunia ya Sasa 😊
 
Nachotambua watoto wa Kike waliopata malezi ya baba zao ndo kizazi kizuri Cha kuolewa na kugumu kwenye ndoa. Ongera sana nakuombea sana Mungu akupatia baba ambaye mume Bora
 
Baba yangu ni adui yangu namba moja.
Kama umetazama series ya Brigerton, chuki aliyonayo huyo mtu aliyopo kwenye avatar yangu kwa baba yake. Namimi ni hivo hivo.

No love from my daddy, 'cause the coward wasn't there
He went away and I didn't cry, 'cause my anger
Wouldn't let me feel for a stranger
-Dear Mama, 2Pac
Baba zetu wa kiafrika ni jau sana. Kwa upande wangu naweza kusema Baba hakuwa mtu mzuri kwangu hata kidogo lakini pamoja na ubaya wake kwangu kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu nimeimarika sana Kihisia, Kimtazamo, Kiimani na Kiakili na ninashukuru Ubaya wake kwangu umenifanya niwe mtu Bora.😊
 
Nawasalimu natumaini tukopoa na wagonjwa Mungu atujaalie afyazetu ziimarikemnisamehe Kam sitakuwa na mtiririko mzuri
Leo imekuwa sikunnzuri ya kumbukumbu nzuri maishani mwangu
Kama kitu nilibahatika ni kuwa mtotowake
Mama aliwahi kunambia kabla ya kuzaliwa kwangu babayangu alikuwa asiejali Kabisa kuhusu future yake ila baada ya mama kushika ujauzitowangu alibadilika sana
Nilivozaliwa na kuanza kupata akili sijawahi kumuona babaang akigombana na mama Wala kumrushia kibao marazote Huwa anarudi kazini mapema hata akichelewa Huwa lazima ale chakula Cha usiku na sisi

Nikiwa na miak 6 Nakumbuka nilipata ajali ya kukatwa na chupa mguuni nikicheza kwenye mvua niliumia vibaya alinibeba mgongon kutoka Kwa mfipa had tumbi hakuona aibu Wala hakujali watu watamuonaje na alihakikisha napata matibabu tukarudi wote akiwa kanibeba hivohivo 🥰
Kipind hiki Cha ugonjwa sikuweza kutembea alikuwa anamsaidia mama kuniogesha akirudi kazin jioni na kunifundisha maana sikuwa naenda shule kabisa

Ilikuwa lazima Kila mwisho wa mwez arudi na vinywaji na nyama nyingi nyumbani
Alikuwa Mpenz wa supu na nyama choma hivo sikuhiyo tunabaki mm na yeye jikoni ananifundisha kuchoma nyama tunapika na ugali mama tunamuita aje kula tu 😍

Licha ya kuwa mkali(jeshi) na kuwa na hasira lakini alikuwa hatoi adhabu Zaid yafimbo Kwa watoto,alikuwa anahakikisha mnaenda shule smart kufua kilasiku na kupiga pasi Ilikuwa ni lazima na akiona unazubaa anakupigia pas mwenyew

nakumbuka alishindwa kula sababu sikuonekana nyumbni Kwa mud nilopangiwa nilicheza kupitiliza alinitafuta sanaile siku na alivonipata hakuongea chochote Zaid y kunambia nikalale

Kiukweli maishayngu na babayngu yamenifanya niwe positive kilasiku Kwa wanaume naona nina bahat kulelewa na babayule pia nilikuwa naona namna anavopambana kuhakikisha tunaishi vizuri

Alipata ulemavu wa vidole viwili akiwa kazini ila nilielewa ni katika kuhakikisha tunakuwa katika mazingira safi
Sijawahi msikia mamayangu akimsema vibaya hata baada ya kifo chake
Matukio ni mengi sitaki niwachoshe ❤️
Kiukweli Nina bahat sana
Natamani watotowangu wapate baba mzuri kama alivokuwa babuyao 🥰🥰🥰
Na Mungu awalinde wanaume mnaolea vizuri watoto wenu
Nimegundua namna tunavolea watoto Ndio matokeo ya mienendo na tabia zawatoto zinavyopatikana

I didn’t have to go searching for a role model when I grew up, I’ve always had one since the day I was born–my hero dad is my first and only role model.”❤️❤️❤️
Jirani yangu baba ako kweli alikuwa mwema sana, nakumbuka ulivokuwa safi shule nzima
 
Asante kwa kushare nasi. Hongera kwa kuwa na Baba ambaye amekuwa ni role model wako na vile vile umesema kweli kabisa matokeo ya tabia za sisi Vijana wa leo ni hali ya malezi tuliopewa na Wazazi wetu. Allah akujalie mtazamo chanya kwenye hii Dunia ya Sasa 😊
Jirani yangu baba ako kweli alikuwa mwema sana, nakumbuka ulivokuwa safi shule nzima
🤣🤣🤣🤣Dah
 
Baba zetu wa kiafrika ni jau sana. Kwa upande wangu naweza kusema Baba hakuwa mtu mzuri kwangu hata kidogo lakini pamoja na ubaya wake kwangu kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu nimeimarika sana Kihisia, Kimtazamo, Kiimani na Kiakili na ninashukuru Ubaya wake kwangu umenifanya niwe mtu Bora.😊
Hongera wachache wanaoweza kubadili ubaya kuwa wema
 
Asante kwa kushare nasi. Hongera kwa kuwa na Baba ambaye amekuwa ni role model wako na vile vile umesema kweli kabisa matokeo ya tabia za sisi Vijana wa leo ni hali ya malezi tuliopewa na Wazazi wetu. Allah akujalie mtazamo chanya kwenye hii Dunia ya Sasa 😊
Shukrani nawe
Kwakweli malezi ya watoto wazazi ndio wahusika wakuu ukiyumba hapo mambo Huwa tofauti Kabisa labda upate mtoto mwenye uwezo binafs WA kuchagua baya na zuri bila kuambiwa
 
Hongera wachache wanaoweza kubadili ubaya kuwa wema
Chuki ni Uchafu wa moyo hata nikiendelea kumchukia haibadilishi chochote. Ni kusonga mbele tu maana NO MATTER HOW HARDLY YOU DO YOU CAN'T CHANGE THE PAST.
😂😂😂😂 Tumekutana na mambo magumu sana hapa duniani Kuna uzi nilichangia ilikuwa mwaka 2019 jukwaa la Hoja na Habari Mchanganyiko.
 
Baba zetu wa kiafrika ni jau sana. Kwa upande wangu naweza kusema Baba hakuwa mtu mzuri kwangu hata kidogo lakini pamoja na ubaya wake kwangu kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu nimeimarika sana Kihisia, Kimtazamo, Kiimani na Kiakili na ninashukuru Ubaya wake kwangu umenifanya niwe mtu Bora.😊
Ubaya gan huo unaweza ku share Kwa faida ya vizazi vijavyo.....
 
Shukrani nawe
Kwakweli malezi ya watoto wazazi ndio wahusika wakuu ukiyumba hapo mambo Huwa tofauti Kabisa labda upate mtoto mwenye uwezo binafs WA kuchagua baya na zuri bila kuambiwa
Ni kudra za Allah tu Miss Aaliyyah . Malezi ya Wazazi wote ni bora sana kwa watoto lakini familia zetu za Kiafrika kuna changamoto sana kwenye ishu ya malezi
 
Mungu akubariki kwa hili ulilofanya kuya-appreciate yale aliyoyafanya mzee wako pia hongera kwa mama kuficha madhaifu yake kwenu nyie watoto,ni kitu wamama wengi wa siku hizi hawafanyi.

Binafsi huwa nayafanya haya kwa wanangu japo siyo kwa 100%,ila umenipa motisha kwamba kumbe pia ipo siku yatakumbukwa so nitazidi kuboresha ili waje nao kunikumbuka kwa mema,ukipata wasaa kwa imani yako usisahau kumuombea huko aliko azidi kuwekwa sehemu salama.
 
Shukrani nawe
Kwakweli malezi ya watoto wazazi ndio wahusika wakuu ukiyumba hapo mambo Huwa tofauti Kabisa labda upate mtoto mwenye uwezo binafs WA kuchagua baya na zuri bila kuambiwa
Kwa sisi wakristo mama angu aliwai kuniambia mlezi mkuu ni YESU KRISTO....
Kama ni mtu wa kuharibikiwa mapema Mimi nilienda soma nikawa baba na mama Mimi mwenyewe.............
Mm nilikataa kua mtu wa ovyo ovyo tangu nikiwa mdogo.....

Wizi, marafiki wabaya, umalaya,bangi, pombe, Ngono na uasherati, ugomvi, tamaa, Uongo, kiburi, dharau, matusi, uvivu, ujanja ujanja,utapeli,

Kuna waliopata malezi mazuri wakaharibikiwa na Kuna walio pata malezi mabaya wakaongozwa na roho wa MUNGU wakaja kua watu wazuri & vice versa is true 😌😊😊
 
Baba yangu ni adui yangu namba moja.
Kama umetazama series ya Brigerton, chuki aliyonayo huyo mtu aliyopo kwenye avatar yangu kwa baba yake. Namimi ni hivo hivo.

No love from my daddy, 'cause the coward wasn't there
He went away and I didn't cry, 'cause my anger
Wouldn't let me feel for a stranger
-Dear Mama, 2Pac
Una-type hapa kutokana na yeye kukutoa kwenye kiuno chake vyovyote alivyo muombee mema hata wewe una madhaifu yako yanayoonekana kwa jamii kama wewe unavyoyaona hayo ya mzee wako.

Hakuna aliye mkamilifu.
 
Back
Top Bottom