Kumbukumbu: Siku Mtandao wa Intaneti ulipokatwa kwa Wiki nzima kisa Matokeo ya Uchaguzi

Kumbukumbu: Siku Mtandao wa Intaneti ulipokatwa kwa Wiki nzima kisa Matokeo ya Uchaguzi

Manofu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
1,317
Reaction score
2,020
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
 
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Watu walimwona Jiwe mbabe lakini yeye mwenyewe alijijua ni mwoga wa kupitiliza...
 
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Ibilisi yule
 
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Vibaka walikuwa kazini.Leo hii wamevuna hitaji la mioyo yao.Full aibu na kusimangana!😂😂😂😂
 
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Maisha ya jiwe yalikuwa na mafundo mengi sana kwa viongozi sema sikio la kufa halisikii dawa.
 
Bado kuna mbweha walisema ule uchaguzi ulikuwa wa haki. Kimsingi hata uwepo wa mama ikulu ni batili basi tu watz ni wavumilivu wastamilivu wasahaulifu na wanyenyekevu plus ujinga.
 
Jiwe alikua mbabe Kwa waoga ila wale majasiri walioweza kumpa makavu face to face alikua anawaogopa na kuwapa heshima zote na alikua akibanwa Kwa hoja anakua mdogo Kama pirton,
Kama unakumbuka kwenye kampeni Tundu Lissu alikua anampiga spana amaizing mpaka akaanza kupiga magoti kuomba kura maana sehemu alizopita TL kabla anawajaza sumu wanyonge mpaka wanazinduka akili akipita yeye wazee wa intelligence wanampa hints kuwa Hali mbaya wananchi hawamuelewi!
😁😁😁😁😁
 
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Tanzania tangu iundwe mwaka 1964 haijawahi kupata Rais muoga kama hayati John Pombe Magufuli. Vile vitisho tisho vyake kwa sisi watu wa saikolojia tulikuwa tunajua ilikuwa ni namna yake ya kutaka kuogopwa na ku force heshima fake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Halafu pamoja na ushenzi wote huu mtu anakuja kusema fyoko fyoko sijui chato, pumbavu
 
Back
Top Bottom