Kumbukumbu: Siku Mtandao wa Intaneti ulipokatwa kwa Wiki nzima kisa Matokeo ya Uchaguzi

Kumbukumbu: Siku Mtandao wa Intaneti ulipokatwa kwa Wiki nzima kisa Matokeo ya Uchaguzi

Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Jiwe na Na Chumvi ya Mawe nani Mzuri? ( Mama Tozo )
 
Mbona hata juzi mmezimiwa Internet msisikilize hotuba ya Lisu?au na penyewe ni JPM ndiyo ameamuru?
 
Maisha ya jiwe yalikuwa na mafundo mengi sana kwa viongozi sema sikio la kufa halisikii dawa.
Watapigwa tukio lingine we waache tu aendelee kujitoa ufahamu

I hope sanaa kuonea watu ambao wapo kimya
 
Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
halafu leo hayupo kweli Mungu si Asumanj
 
Back
Top Bottom