Said Shabani Kondo
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 312
- 196
Jiwe na Na Chumvi ya Mawe nani Mzuri? ( Mama Tozo )Nakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.
Madikiteta huwa hawaozi, dikiteta Adolf Hitler mpaka leo anazungumziwa kama vile yupo hai! John F. Kennedy ukarimu na upole wake amesahaulika uwepo wake duniani.πππππππππ
Watapigwa tukio lingine we waache tu aendelee kujitoa ufahamuMaisha ya jiwe yalikuwa na mafundo mengi sana kwa viongozi sema sikio la kufa halisikii dawa.
halafu leo hayupo kweli Mungu si AsumanjNakumbuka nilikuwa kijijini baada ya UCHAGUZI wa mwaka jana na kura kuanza kuhesabiwa ghafla siku ya kwanza yakuhesabu kura mtandao wa internet ukawa haupatikani nikaona labda itakuwa nitatizo la kiufundi. Aisee tumeenda siku ya pili mpaka wiki inapita no internet. Kuja kushtuka jiwe kaisha hapishwa. Ila jiwe kwa kweli utokaa unitoke kichwani.