Kumbukumbu ya Hayati Magufuli isiwe sikukuu ya kitaifa, ifanywe na CCM

Kumbukumbu ya Hayati Magufuli isiwe sikukuu ya kitaifa, ifanywe na CCM

Tatizo sio kuweka makumbusho hata Mkapa ana Mkapa foundation na kila mwaka huwa legacy yake inafanyika tena sio Tanzania bali Afrika yote but hakuna cha public holiday..

Sembuse huyo zero brain ndio afanyiwe public holiday kwa kipi hasa? Umjengee kumbukumbu mwizi

Nasema hivi Rais akija mwingine atafutilia mbali huu upuuzi 👇
Hayupo mtu wakufutilia mbali... unajidanganya tu wewe fisadi mkubwa!
 
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume , tujifunze kudumisha Uafrika wetu na Utanzania wetu wa heshima kwa marehemu wetu!, marehemu hasemwi vibaya!. Mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa taarifa yenu, kuna vitu wengi hamjui kumhusu JPM ,, saa hizi yuko na Baba yake kule kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Maadam alikuwa ni kiongozi wa taifa, ikianuliwa na yeye aenziwe kwa kutengewa siku yake, then itakuwa ni siku ya kitaifa, ila tufanye kwa wote, tuanze na Mwinyi Day, Mkapa Day, Kikwete Day, tuje Magufuli Day na muda wa Samia ukiisha pia tunakuwa na Samia Day na maadhimisho ya siku hizo sio lazima ziwe ni public holiday!.
P
Pascal Mayalla nasikitika unahubiri tuwe wafuasi wa unafiki. Mimi sio muumini wa imani hiyo sababu kujipendekeza sio hulka yangu.

Ulijitahidi kumpamba kwa kila rangi alipokuwa hai ili upate wasaa wa kuteuliwa, lakini akaendelea kukuchinjia baharini.

Weee mwenzangu unasifu na kuabudu ili upate uteuzi serikalini, nafsini mwako kamwe huwezi kuwa mfuasi wa kweli na haki kwani nafsi yako inaongozwa na tamaa.

Magufuli ana mema yake, lakini hayafuniki ubaya wake. Magufuli aendelee kuenziwa na chama chake, hakuacha alama yoyote kwenye siasa za kiushindani.

Aliwazima na kuwafunga mdomo hata watu wa ndani ya chama chake. Je ana nini cha kutufundisha kuhusu demokrasia?
 
Pascal Mayalla nasikitika unahubiri tuwe wafuasi wa unafiki. Mimi sio muumini wa imani hiyo sababu kujipendekeza sio hulka yangu.

Ulijitahidi kumpamba kwa kila rangi alipokuwa hai ili upate wasaa wa kuteuliwa, lakini akaendelea kukuchinjia baharini.

Weee mwenzangu unasifu na kuabudu ili upate uteuzi serikalini, nafsini mwako kamwe huwezi kuwa mfuasi wa kweli na haki kwani nafsi yako inaongozwa na tamaa.

Magufuli ana mema yake, lakini hayafuniki ubaya wake. Magufuli aendelee kuenziwa na chama chake, hakuacha alama yoyote kwenye siasa za kiushindani.

Aliwazima na kuwafunga mdomo hata watu wa ndani ya chama chake. Je ana nini cha kutufundisha kuhusu demokrasia?
Kwani wewe una nini cha kuwafundisha watz kumzidi Magufuli anayekubalika na zaidi ya 90% ya Watanzania?
 
CCM IWEKE KUMBUKUMBU YA JPM NA SIO TAIFA!!!

Kuna wito unatolewa na wabunge na makada wa ccm kuwa Rais mwendazake John P. Magufuli atengewe sikukuu ya kitaifa kuenzi mchango wake kwa taifa,hoja ikiwa kwamba amefanya mambo mengi sana mazuri kiasi cha kumuwekea siku maalum ya kumkumbuka ambayo itakua sikukuu ya kitaifa Kama ilivyo siku ya Karume ama JK Nyerere,hili linapaswa kufanywa zaidi na ccm kuliko taifa zima, nitaeleza!!!

Ukiuangalia uongozi wa Magufuli unamuona mtu aliyetafuta kujijenga yeye zaidi kiutawala na kujenga zaidi chama chake (ccm) kuliko kujenga taifa, taifa sio tu nchi,taifa ni watu,nchi na vyote vilivyomo na labda unaweza kusema angeenda Mbali zaidi kujenga nchi kuliko taifa, ni falsafa pana!

Mtu anayejijenga yeye kiutawala huhakikisha anarundika madaraka mengi mikononi mwake ama kikatiba ama kwa kuvunja Katiba,huzima sauti zote mbadala ambazo zitampinga kufanikisha hilo', huzima bunge, hudhibiti mahakama,huzuia uhuru wa vyombo vya habari na kufunga midomo ya vyama pinzani na wapinzani, miaka mitano ya utawala wa JPM haya yote yakifanyika kwa ufanisi mkubwa.

JPM alijikita katika kuhakikisha ccm inakua haina mpinzani,aliapa kwa kauli zake jukwaani,alitekeleza kwa vitendo, chaguzi za serikali ya mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 ulidhihirisha kuwa hakua akitania alipojiapiza kuwa ifikapo 2020 Tanzania itakua haina chama cha upinzani, na kufuta siasa za vyama vingi Tanzania haikua agenda ya kitaifa,ilikua agenda yake binafsi, ikiinufaisha zaidi ccm kuliko kujenga utangamano wa kitaifa

JPM alikua mtetezi na mpigania ccm zaidi kuliko kuwa mjenzi wa taifa,hivyo ccm ndio waweke siku maalum ya kumkumbuka Kama wanavoikumbuka February 5 ya kila mwaka siku chama hicho kilipoundwa!!!

Kama taifa ni nchi,Watu na vyote vilivyomo basi Watu hao ni pamoja na wapinzani, Freeman Mbowe,Zitto Kabwe na wengineo.

Watu ni pamoja na wananchi wa kimara mbezi ambao nyumba zao zilibomolewa bila fidia,mamia wakiachwa bila makazi,Watu ni pamoja na wakulima wa korosho kule kusini ambao soko la zao lao tegemezi liliharibiwa baada ya JPM kuamuru korosho yote ichukuliwe na serikali,watu hao ni wakazi wa Kagera waliopata janga la tetemeko la ardhi wakaachwa bila msaada hata walipochangiwa fedha,fedha hizo zilichukuliwa na serikali ya JPM.

Vipi kuhusu wafanyabiashara ambao fedha zao zilichukuliwa kwa Nguvu benki hata waziri mteule wa fedha Mwigulu Nchemba amelazimika kushawishi Watu kurejesha imani ya kuhifadhi fedha benki,mifano ni mingi,Watu wote hawa sidhani Kama kwao JPM ni shujaa,kuulazimisha ushujaa wa JPM kwao ni kuwaonea na kuutusi ufahamu wao!

Hakuna wakati taifa limepata mpasuko na sintofaham ya kutojua kesho itakuaje Kama wakati wa JPM, hakuna wakati Tanzania imesemwa vibaya kwa ukiukwaji wa haki za kiraia katika vyombo vya kimataifa kushinda watangulizi wote kuliko wakati wa JPM.

Wale wanaotaka tuweke kumbukumbu ya kudumu juu yake nje ya kumbukumbu za jumla za kihistoria,nashauri wafanye hivyo kupitia chama tawala CCM ,chama chake alichokipigania sana,Au waanzishe klabu za kumbukumbu mitandaoni na kwingineko,wamkumbuke huko kwa furaha zao,lakini wengine tuachwe kuwakumbuka Mzee Abeid Amani Karume na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,waasisi wa taifa letu!!!
Hata huko CCM atakumbukwa na wachache. Wengi wanamwona kama mtu aliyeleta udikteta wa ajabu ndani ya chama.

Ni huyu Magufuli ndiye ambaye mwaka 2020 alikata robo tatu ya majina yote yaliyopendekezwa na wajumbe ili wawe wagombea wa ubunge kupitia CCM. Akawapachika watu ambao aliwataka yeye, mara nyingi aliwapenda watu wanafiki au wenye upeo na akili kidogo ambao hawawezi kuhoji chochote anachokifanya, hata kiwe cha hovyo kiasi gani.

Kule Nyanda za Juu Kusini ambako alisababisha mahindi na mbao vikose, watu wakaunguza mitaji yao, hata kufikia gunia la mahindi la kilo 100 kuuzwa kwa sh 20,000, alikuwa na ushujaa gani?

Ushujaa ule wa kuteka watu, kuua na kuwapoteza wasiotaka kumsifu? Wengi wanaomwona alikuwa shujaa ni wale ambao au ni wanafiki, waliiba na kufaidika naye au wana upeo na akili iliyo chini ya wastani.
 
CCM IWEKE KUMBUKUMBU YA JPM NA SIO TAIFA!!!

Kuna wito unatolewa na wabunge na makada wa ccm kuwa Rais mwendazake John P. Magufuli atengewe sikukuu ya kitaifa kuenzi mchango wake kwa taifa,hoja ikiwa kwamba amefanya mambo mengi sana mazuri kiasi cha kumuwekea siku maalum ya kumkumbuka ambayo itakua sikukuu ya kitaifa Kama ilivyo siku ya Karume ama JK Nyerere,hili linapaswa kufanywa zaidi na ccm kuliko taifa zima, nitaeleza!!!

Ukiuangalia uongozi wa Magufuli unamuona mtu aliyetafuta kujijenga yeye zaidi kiutawala na kujenga zaidi chama chake (ccm) kuliko kujenga taifa, taifa sio tu nchi,taifa ni watu,nchi na vyote vilivyomo na labda unaweza kusema angeenda Mbali zaidi kujenga nchi kuliko taifa, ni falsafa pana!

Mtu anayejijenga yeye kiutawala huhakikisha anarundika madaraka mengi mikononi mwake ama kikatiba ama kwa kuvunja Katiba,huzima sauti zote mbadala ambazo zitampinga kufanikisha hilo', huzima bunge, hudhibiti mahakama,huzuia uhuru wa vyombo vya habari na kufunga midomo ya vyama pinzani na wapinzani, miaka mitano ya utawala wa JPM haya yote yakifanyika kwa ufanisi mkubwa.

JPM alijikita katika kuhakikisha ccm inakua haina mpinzani,aliapa kwa kauli zake jukwaani,alitekeleza kwa vitendo, chaguzi za serikali ya mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 ulidhihirisha kuwa hakua akitania alipojiapiza kuwa ifikapo 2020 Tanzania itakua haina chama cha upinzani, na kufuta siasa za vyama vingi Tanzania haikua agenda ya kitaifa,ilikua agenda yake binafsi, ikiinufaisha zaidi ccm kuliko kujenga utangamano wa kitaifa

JPM alikua mtetezi na mpigania ccm zaidi kuliko kuwa mjenzi wa taifa,hivyo ccm ndio waweke siku maalum ya kumkumbuka Kama wanavoikumbuka February 5 ya kila mwaka siku chama hicho kilipoundwa!!!

Kama taifa ni nchi,Watu na vyote vilivyomo basi Watu hao ni pamoja na wapinzani, Freeman Mbowe,Zitto Kabwe na wengineo.

Watu ni pamoja na wananchi wa kimara mbezi ambao nyumba zao zilibomolewa bila fidia,mamia wakiachwa bila makazi,Watu ni pamoja na wakulima wa korosho kule kusini ambao soko la zao lao tegemezi liliharibiwa baada ya JPM kuamuru korosho yote ichukuliwe na serikali,watu hao ni wakazi wa Kagera waliopata janga la tetemeko la ardhi wakaachwa bila msaada hata walipochangiwa fedha,fedha hizo zilichukuliwa na serikali ya JPM.

Vipi kuhusu wafanyabiashara ambao fedha zao zilichukuliwa kwa Nguvu benki hata waziri mteule wa fedha Mwigulu Nchemba amelazimika kushawishi Watu kurejesha imani ya kuhifadhi fedha benki,mifano ni mingi,Watu wote hawa sidhani Kama kwao JPM ni shujaa,kuulazimisha ushujaa wa JPM kwao ni kuwaonea na kuutusi ufahamu wao!

Hakuna wakati taifa limepata mpasuko na sintofaham ya kutojua kesho itakuaje Kama wakati wa JPM, hakuna wakati Tanzania imesemwa vibaya kwa ukiukwaji wa haki za kiraia katika vyombo vya kimataifa kushinda watangulizi wote kuliko wakati wa JPM.

Wale wanaotaka tuweke kumbukumbu ya kudumu juu yake nje ya kumbukumbu za jumla za kihistoria,nashauri wafanye hivyo kupitia chama tawala CCM ,chama chake alichokipigania sana,Au waanzishe klabu za kumbukumbu mitandaoni na kwingineko,wamkumbuke huko kwa furaha zao,lakini wengine tuachwe kuwakumbuka Mzee Abeid Amani Karume na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,waasisi wa taifa letu!!!

Mkuu pole sana kwa msongo wa mawazo! Walio hai wasiteswe na waliokufa
 
CCM IWEKE KUMBUKUMBU YA JPM NA SIO TAIFA!!!

Kuna wito unatolewa na wabunge na makada wa ccm kuwa Rais mwendazake John P. Magufuli atengewe sikukuu ya kitaifa kuenzi mchango wake kwa taifa,hoja ikiwa kwamba amefanya mambo mengi sana mazuri kiasi cha kumuwekea siku maalum ya kumkumbuka ambayo itakua sikukuu ya kitaifa Kama ilivyo siku ya Karume ama JK Nyerere,hili linapaswa kufanywa zaidi na ccm kuliko taifa zima, nitaeleza!!!

Ukiuangalia uongozi wa Magufuli unamuona mtu aliyetafuta kujijenga yeye zaidi kiutawala na kujenga zaidi chama chake (ccm) kuliko kujenga taifa, taifa sio tu nchi,taifa ni watu,nchi na vyote vilivyomo na labda unaweza kusema angeenda Mbali zaidi kujenga nchi kuliko taifa, ni falsafa pana!

Mtu anayejijenga yeye kiutawala huhakikisha anarundika madaraka mengi mikononi mwake ama kikatiba ama kwa kuvunja Katiba,huzima sauti zote mbadala ambazo zitampinga kufanikisha hilo', huzima bunge, hudhibiti mahakama,huzuia uhuru wa vyombo vya habari na kufunga midomo ya vyama pinzani na wapinzani, miaka mitano ya utawala wa JPM haya yote yakifanyika kwa ufanisi mkubwa.

JPM alijikita katika kuhakikisha ccm inakua haina mpinzani,aliapa kwa kauli zake jukwaani,alitekeleza kwa vitendo, chaguzi za serikali ya mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 ulidhihirisha kuwa hakua akitania alipojiapiza kuwa ifikapo 2020 Tanzania itakua haina chama cha upinzani, na kufuta siasa za vyama vingi Tanzania haikua agenda ya kitaifa,ilikua agenda yake binafsi, ikiinufaisha zaidi ccm kuliko kujenga utangamano wa kitaifa

JPM alikua mtetezi na mpigania ccm zaidi kuliko kuwa mjenzi wa taifa,hivyo ccm ndio waweke siku maalum ya kumkumbuka Kama wanavoikumbuka February 5 ya kila mwaka siku chama hicho kilipoundwa!!!

Kama taifa ni nchi,Watu na vyote vilivyomo basi Watu hao ni pamoja na wapinzani, Freeman Mbowe,Zitto Kabwe na wengineo.

Watu ni pamoja na wananchi wa kimara mbezi ambao nyumba zao zilibomolewa bila fidia,mamia wakiachwa bila makazi,Watu ni pamoja na wakulima wa korosho kule kusini ambao soko la zao lao tegemezi liliharibiwa baada ya JPM kuamuru korosho yote ichukuliwe na serikali,watu hao ni wakazi wa Kagera waliopata janga la tetemeko la ardhi wakaachwa bila msaada hata walipochangiwa fedha,fedha hizo zilichukuliwa na serikali ya JPM.

Vipi kuhusu wafanyabiashara ambao fedha zao zilichukuliwa kwa Nguvu benki hata waziri mteule wa fedha Mwigulu Nchemba amelazimika kushawishi Watu kurejesha imani ya kuhifadhi fedha benki,mifano ni mingi,Watu wote hawa sidhani Kama kwao JPM ni shujaa,kuulazimisha ushujaa wa JPM kwao ni kuwaonea na kuutusi ufahamu wao!

Hakuna wakati taifa limepata mpasuko na sintofaham ya kutojua kesho itakuaje Kama wakati wa JPM, hakuna wakati Tanzania imesemwa vibaya kwa ukiukwaji wa haki za kiraia katika vyombo vya kimataifa kushinda watangulizi wote kuliko wakati wa JPM.

Wale wanaotaka tuweke kumbukumbu ya kudumu juu yake nje ya kumbukumbu za jumla za kihistoria,nashauri wafanye hivyo kupitia chama tawala CCM ,chama chake alichokipigania sana,Au waanzishe klabu za kumbukumbu mitandaoni na kwingineko,wamkumbuke huko kwa furaha zao,lakini wengine tuachwe kuwakumbuka Mzee Abeid Amani Karume na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,waasisi wa taifa letu!!!
mkuu umeandika facts tupu hatuitaj kufat hisia za watu kwny inshu za kitaifa tunatakiwa kutumia akil kwny inshu za kitaifa
 
Wakifanya huu ujinga Rais Mwingine wa upinzani aje azifutilie mbali huu upuuzi..

Kuna siku ya mashujaa ilishaga puuzwa na maccm na Wala sio public holiday ila ujinga kama huu ndio wanataka uwe public holiday?

Mkuu pole sana tuzidi kuwaombea walio hai wasiteswe na wafu
 
Hebu tueleze 1.5 trilion zilienda wapi , yule aliweza kudanganya wajinga wajinga tu kama wewe

Iwekwe siku ya kuwakumbuka viongozi wa hovyo, waliowahi kutikisa utengamano wa Taifa.

Siku hiyo iwe siku ya kuweka msisitizo wa nchi kuwa na mifumo mizuri ambayo haitaruhusu viongozi wabaya kama Magufuli kupenya kwenye nafasi za uongozi.
 
Mbona Iddi Amin bado mnamsema vibaya?
Au kuna ubaguzi wa marehemu?
Mkuu Bujibuji Simba Nyamaume , tujifunze kudumisha Uafrika wetu na Utanzania wetu wa heshima kwa marehemu wetu!, marehemu hasemwi vibaya!. Mwacheni JPM apumzike kwa amani, na kwa taarifa yenu, kuna vitu wengi hamjui kumhusu JPM ,, saa hizi yuko na Baba yake kule kwa Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Maadam alikuwa ni kiongozi wa taifa, ikianuliwa na yeye aenziwe kwa kutengewa siku yake, then itakuwa ni siku ya kitaifa, ila tufanye kwa wote, tuanze na Mwinyi Day, Mkapa Day, Kikwete Day, tuje Magufuli Day na muda wa Samia ukiisha pia tunakuwa na Samia Day na maadhimisho ya siku hizo sio lazima ziwe ni public holiday!.
P
 
Ukweli kuhusu wizi, udikteta, uonevu, chuki, mauaji na upendeleo wa awamu ya tano na Magufuli mwenyewe umewekwa wazi kwa kiwango kidogo tu kwa vile wengi wa washirika wake bado wako madarakani.
Iko siku yote yatawekwa wazi na ndio hapo sio kufikiria siku ya kitaifa tuu kutaisha bali hata vyote mlivyo vipa majina yake mtafuta na kurudisha majina asili kama ilivyo Ujerumani hakuna kitu kinaitwa Hitler ingawa alisimamia miradi mingi, Sadam kule Iraq au Mobutu hapo DRC nk

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom