Hiyo lugha siku zote hutumia pale penye challengeMohamed Said tunapata elimu hapa lakini"mmejaa hasad na wivu katika nyoyo zenu,mnataka hata kisicho chenu" hii ni lugha ya mipasho waachie watu wa vijiweni
Well anataka nijibu yatokanayo na historia ya Kivukoni, sasa nitamjibu nini ikiwa sikuwahi kushiriki kuandika historia hiyo? Kama huna uwezo ni wewe, unaposema hatuna , na akina nani?Mzee Mohamed
Vijana tunasoma endelea kutufundisha na tunapokuuliza maswali tambua wazi ni katika kutaka kujua
,,, maana hatuna uwezo wa kukujibu
Jackline,Mohamed Said tunapata elimu hapa lakini"mmejaa hasad na wivu katika nyoyo zenu,mnataka hata kisicho chenu" hii ni lugha ya mipasho waachie watu wa vijiweni
Nguruvi3.Hiyo lugha siku zote hutumia pale penye challenge
Hatakoikabisa kupata challenge, anachotaka ni watu kusoma tuu kama riwaya!!
'Hasad na wivu katika nyoyo zenu'' wivu wa kitu gani wakati ni historia
'Mnataka kisicho chenu' akina nani na wanataka nini ikiwa ni historia ya nchi
Halafu anasema alikuwa Cambridge, sijui huko huwa hawana hoja au hawafanyi 'critique'
Isk,Nilicho kiona kwenye mjadara huu yerickot anataka kushindama na Mohammed said ndilo tatizo lake na ukiona mtu hataki kukosolewa ujue ana matatizo je kitabu kitakuaje kama muandishi hataki kuelekezwa kitabu kitakuwa mapungufu mengi kitasomwa na watu mbugira mbugira alimradi wao ni kusoma bila kujua wanasoma nini hongera mzee wetu Muhammad saidi kwa kazi unayo ifanya mungu atakulipa ingawa unaitwa mdini usihuzunike kwa kuwa history iko hivyo inaonyesha waislam ni asilimia kubwa ndio walianzisha vugu vugu la kudai uhuru sasa ukisema kweli baadhi ya wakristo wenzangu hawapendi wewe tuelimishe dini yako baki nayo wewe sisi tupe history ili watoto wetu tuje kuwafundisha history ya kweli ya tanganyika nakupenda sana mzee wetu kwa elimu unayo tupatia
Sent using Jamii Forums mobile app
''Kasella Bantu ndiyo mtu aliyempeleka Julius Nyerere kwa Abdulwahid kumtambulisha. Hii ilikuwa mwaka wa 1952. Bantu na Nyerere walifahamiana toka huko nyuma walipokuwa wakifundisha Tabora. Chama hakiwezi kupinga ukweli kwamba Kasella Bantu alikuwa miongoni mwa wale wanachama 17 waasisi wa TANU. Hali kadhalika chama hakiwezi, kupinga ule ukweli wa historia kuwa Kasella Bantu alishiriki katika ‘’kuandika’’ ile katiba ya TANU. Kasella Bantu anakerwa sana na kupotoshwa kwa historia. Kila alipopata fursa kuanzia alipokuwa ngíambo uhamishoni na hata baada ya kurudi nyumbani kutoka uhamishoni, Kasella Bantu ameeleza kuhusu mambo haya mawili ya kihistoria, kuwa ‘’aliandika,’’ katiba ya TANU na ni mmoja wa waasisi wa TANU. Bantu kama waanzilishi wengine wengi anahisi kwamba mchango wake katika harakati za uhuru wa Tanganyika haujathaminiwa.''Well anataka nijibu yatokanayo na historia ya Kivukoni, sasa nitamjibu nini ikiwa sikuwahi kushiriki kuandika historia hiyo? Kama huna uwezo ni wewe, unaposema hatuna , na akina nani?
Hizo sentensi nilizonukuu hapo ni muhimu sana na nashkuru umeziletaMohamed Said, post: 22753614, member: 12431"]' Hali kadhalika chama hakiwezi, kupinga ule ukweli wa historia kuwa Kasella Bantu alishiriki katika ‘’kuandika’’ ile katiba ya TANU.
Dhana inayojaribiwa kuenezwa katika kitabu kile ni kuwa kabla ya kutokea kwa Julius Nyerere mwezi Aprili, 1953, alipochaguliwa kuwa rais wa TAA, chama hicho hakikuwa na mwelekeo wowote wa siasa.
Kitu cha ajabu ni kuwa kitabu hicho wala hakielezi huo urais wa TAA, Nyerere aliupataje au aliuchukua kutoka kwa kiongozi gani wa wakati ule.
Wanahistoria wazalendo pamoja na wanasiasa wa sasa hawataki kabisa kuipa TAA hadhi ya chama cha siasa. Kambona aliiita African Association chama cha majadiliano:
Ulotu anaieleza TAA kuwa ilikuwa chama cha ustawi wa jamii.
Wengine wameieleza TAA kama taasisi ya jamii: Nyerere (1976), halikadhalika Japhet na Seaton (1966).
TAA wakati mwingine inaelezwa kuwa ilikuwa chama cha vuguvugu za upinzani dhidi ya ukoloni, lakini upinzani wake haukuwa dhahiri: Kaniki (1974), Nyerere (1953) aliieleza TAA kama chama cha vuguvugu la siasa lakini si za dhahiri.
Julius Nyerere alipohutubia Baraza la Udhamini la Umoja wa Mataifa, New York, tarehe 7 Machi, 1955 alisema:
TANU imechukua nafasi ya Tanganyika African Association ambayo ilianzishwa mwaka 1929, kama chama cha kijamii. Tanganyika African National Union, chama kilichochukua nafasi ya African Association miezi kumi iliyopita ni chama kipya kwa maana ni chama cha siasa, wakati TAA ilikuwa chama cha siasa nusunusu.
Wasomi wengine wameishusha TAA kufikia daraja la kuwa klabu: Mwenegoha (1976) anaandika: ëMwaka 1954, baada ya miaka ishirini na tano ya kutoweza kufanya lolote, Nyerere aliigeuza TAA kutola chama cha kijamii kuwa chama cha siasa chenye kuogopwa kilichoitwa Tanganyika African National Unioní.
Abdul Wahid kuona TAA kama chama cha siasa si lazima iwe hivyoAbdulwahid ambae alitoa mchango wa pekee katika kuunda TANU alikuwa anaiona TAA kama chama cha siasa (1951).
Swali lipo pale pale, kabla ya Nyerere ni nani mwingine aliyekuwa na mawazo japo ya kunukuu neno kwa neno ili aandike katiba na ni lini.Uongozi wa TAA haukurasimu katiba mpya. Katiba ya TANU ilinukuliwa neno kwa neno kutoka Convention People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah, kwa kutia TANU mahali pa CPP. Maelezo kutoka kwa Tewa Said Tewa.
Maelezo yote haya hayajajibu swali la msingiNi rahisi kumwamsha aliyelala kuliko yule anaejifanya kalala.
Andika kitabu ndugu yangu mimi na wewe tuko mbali mbali sana.
Andika jinsi Baba wa Taifa alivyounda TANU.
Huu utakuwa mchango mkubwa kutoka kwako.
Hii kila kukicha tunakirejea kitabu kilichoandikwa miongo miwili iliyopita unajichosha pasi na sababu ya maana.
Mimi nimeandika vitabu kadhaa na paper nyingi tu wewe unaandika JF.
Hivi ni viwanja viwili tofauti.
Huku kwangu ziko adabu zake.
Hapa JF ni mpata mpatae.
Mohamed, naogopa akina Hadija Kopa wasijetushtaki kwa kuiba kazi zao"Mohamed Said, post: 22755546, member: 12431"]Kifua kimejaa joto.
Joto linapofusha.Unaruka huku na huku mfereji umeuweka kati.
Hutaki.Basi andika wewe kitabu chako.Huna uwezo huu mwaka wa sita nakusihi.
Ati mie niungane na watu kukukabili wewe.Kwa ujanja upi uliokuwanao?
Ati anaandika neno la Kiingereza ananiwekea maelezo ilhali kitabu kizima nimeandika kwa lugha hiyo.Roho inakuuma kwa husda.Roho inakwenda mbiyo kwa wivu.
Zidisha hasad na kejeli.Ufungue macho na Mohamed Said.
Mimi ndiyo mwenye ufunguo uliofungua historia ya TANU inayokuchoma roho.
Andika kitabu ujanja ujanja utaishia humu humu unajitekenya na kujichekesha mwenyewe.
Huwezi jua huenda wanafuatilia na kugundua walichokuwa hawakioni.Bookseller mmoja kanipigia simu ananiuliza mbona ghafla upya kitabu kinanunuliwa kama maandazi ya moto?
Tewa 'kasema' si Abdul tena! unanikumbusha kitu kinaitwa pendulum .Tewa keshatuambia kuwa walinakili katiba ya Nkrumah.
Ukisema Tewa kasema, Abdul kasema si ndio kubabisha kwenyewe? au!Unadhani nababaisha?
Kiingereza changu ni cha Darsa la VB ukiona naweka maneno ujue najitutumua. Ahsante kwa mradi unaofanya, Watanzania tunajivunia manguli kama weweNiko kwenye mradi wa Oxford University Press wa kufundisha lugha ya Kiingereza katika shule za Afrika ya Mashariki na nimeandika vitabu viwili kimoja ni Anthology nimejimuika na waandishi wengine kutoka nchi mbalimbali za Afrika.
Mashallah, jambo jema hongera sana.Mwezi wa Ramadhani nimemaliza translation ya kazi kubwa sijapatapo kupewa maishani.
Hee !unadokeza kwa kuogopa nini, eleza kwa ufasaha kuhusu katiba.Nakudokeza kitu kuhusu hiyo katiba unayodhani itanikomoa.
Ahaa! lakini Abdul hakuwa mwanasheria kutokana na urafiki na mwanasheriaUnamjua mwanasheria Earle Seaton?Unajua kuwa alikuwa rafiki yake Abdul Sykes?
Kabla ya hapo kulikuwa na katiba gani.Seaton ndipo palipotoka mengi pamoja na hiyo katiba ya CCP na mapendekezo ya Constitutional Development Committee iliyopelekwa kwa Gavana Twining?
Aliyechukua arudishe, ingawa haituelezi kuanzia 1950 kurudi nyuma katiba gani ilitumika, nani aliandika na kwa utaratibu gani.Unajua kama hili document halionekani na aliyelichukua kutoka Secretariat hajulikani?
Nyaraka hizo zitatueleza kabla ya Nyerere katiba gani ilitumika?Au hukuona nyaraka zilizokuwa zimenyofolewa katika mafaili ya TANU?
Ndiyo yananisaidia kuelewa bahti mbaya yanapandisha presha!We bakia na maswali yako ya msingi.
Una mambo ya kutosha kuandika kitabu kaka.Mkubwa, vuta subra kidogo. Pata funda la maji kaa kitako ujitulize
Joto na wahka umekupanda najisikia mnyonge! Nisamehe Mohamed, lakini siombi radhi kwa hoja. Dawa chungu lakini tufanyeje, ndio utabibu wenyewe. Tuliza joto Mohamed, naogopa akina Hadija Kopa wasijetushtaki kwa kuiba kazi zao
Una hati miliki weye! Mimi sina!
Tukirudi kwenye mada hadi hapo juu hujaeleza umma, katiba ya AA au TAA iliandikwa na nani, mwaka gani na ilitumiwa wakti gani. Hili ndilo swali Huwezi jua huenda wanafuatilia na kugundua walichokuwa hawakioni.
Yaweza kuwa ni watu wa taarabu wamevutiwa na mashairi . Yote kheri kama kitabu kinauzika Tewa 'kasema' si Abdul tena! unanikumbusha kitu kinaitwa pendulum .
Je ilikuwa nukuu kutoka wapi na nani alinukuu. Kabla ya hapo kulikuwa na katiba gani ambayo AA au TAA ilitumiaUkisema Tewa kasema, Abdul kasema si ndio kubabisha kwenyewe? au! Kiingereza changu ni cha Darsa la VB ukiona naweka maneno ujue najitutumua. Ahsante kwa mradi unaofanya, Watanzania tunajivunia manguli kama wewe
Je, haya ndiyo majibu ya nani aliandika au alinukuu katiba ?
Na kabla ya Nyerere nani mwingine alinukuu au kuandika katiba na kuiweka hadharani?
Tafadhali usije niambia Abdul alisema! Mashallah, jambo jema hongera sana. Hee !unadokeza kwa kuogopa nini, eleza kwa ufasaha kuhusu katiba.
Hilo si kosa la madai au jinai ndiyo starehe ya mnakasha na elimu.
Ukidokeza utawanyima vijana wako faida, elezaAhaa! lakini Abdul hakuwa mwanasheria kutokana na urafiki na mwanasheriaKabla ya hapo kulikuwa na katiba gani.
Kumbuka hayo ni mapendekezo ya mwaka 1950 Aliyechukua arudishe, ingawa haituelezi kuanzia 1950 kurudi nyuma katiba gani ilitumika, nani aliandika na kwa utaratibu gani.Nyaraka hizo zitatueleza kabla ya Nyerere katiba gani ilitumika? Ndiyo yananisaidia kuelewa bahti mbaya yanapandisha presha!
Nani alinukuu katiba ya kwanza ya TANU? Kabla ya hapo katiba gani ilitumiwa na AA au TAA?
Hapo ndipo tulipo, makabrasha yamenyofolewa, yameibiwa fulani alisema ni irrelevant the least to say!
Mohamed it's simple, jibu hoja tuendelee. Maswali ya kujirudia ni kwasababu hutaki yajirudie, na pili huna majibu ya kutosha na hivyo hutaki kuyasikiaUna mambo ya kutosha kuandika kitabu kaka.
Andika kitabu.
Hicho ndicho kipimo si hizi kejeli za joto la hasad
na maswali ya kurudiarudia ukitaka majibu ya kukupendeza.
Mimi nilipoona historia ya TANU siyo niliandika sikuenda Kivukoni
kufanya ugomvi wala sikupita CCM.
Kitabu hiki kipo na hakiwezi kuondoka kwa kuwa hakijakufurahisha.
mzee wa ujanja ujanja naona povu linakutokaNdugu yangu unanitafuta nini kaka?
Hasad inakula moyo wa binadamu na kwako imejitokeza wazi.
Cambridge inakuchoma sana na inakula na kukukata maini.
Wewe ni wa kuepukwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
pale anayejiita nguli wa historia ya tanganyika anapokimbia maswali![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndugu yangu unanitafuta nini kaka?
Hasad inakula moyo wa binadamu na kwako imejitokeza wazi.
Cambridge inakuchoma sana na inakula na kukukata maini.
Wewe ni wa kuepukwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana umebanwa kwenye corner unataka kutupa taulo nyeupe??? sikutegemea hii turn of eventsMtanganyika siwezi kukimbia maswali ila nakimbia uadui naona hii tena imefurtu ada.
Heri nusu shari kaka...
Sent using Jamii Forums mobile app