Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Dah!
Huyo mzee kyaruzi nikikuwa namfahamu sana kabla hajafariki, makazi yake yalikuwa pale maeneo ya uwanja wa ndege manispaa ya bukoba,alikuwa ananipa historia nabaki nimeduwaa!
Mungu amlaze mahari pema.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
= mahali

"Mahari" hutolewa watu wakitaka kuoana.
 
Wala nisingependa uwe tofauti na unavyojitambua

Nina uhakika wanaotusoma kuna kitu kinawashangaza hasa wakiona hoja za 'umanyema'
Kinachowaduwaza ni mahusiano ya Umanyema, Uislam, Uhuru na mada iliyopo

Ipo mantiki ya mambo hayo. Kwanza, Mohamed siku zote anaeleza mchango wa Waislam katika kupigania Uhuru.

Ni kweli mchango huo haupaswi kubezwa au kufutwa katika historia
Hata hivyo Mohamed anakuwa na ''jicho pembe'' kwa kutotambua michango ya wengine

Mohamed ana link Quran , Uislam na Kiswahili kwa makusudi kabisa.
Na hapa asiulize mtu tofauti ya Quran na Uislam, ieleweke ipo dhahiri

Mohamed 'anaukana' Umanyema kwasababu kujinasibisha nao kutaondoa ' uhalali' ;
1. Kwamba ni Wageni tu kama alivyokuwa Nyerere
2. Kwamba Umanyema ukiingia, basi kutakuwa na Udengereko, Uzaramo n.k.

Ukitaka kuandika historia kwa jicho la Udengereko, Uzaramo , Uluguru au Umanyema utakuwa umepunguza nguvu ya hoja ya 'Uislam na Uhuru'.

Ili kujenga hoja hiyo ni lazima 'kuua' hoja za makabila, kwa upande wake Umanyema

Hapo ndipo Mohamed anapata hoja ya kabila la Waswahili lenye mahusiano na lugha ya kiarabu iliyobeba Quran inayotumiwa na ''Waislam'' na iliyofanikisha Uhuru

Ndiyo maana lugha anyoijua ni Kiswahili na Kiarabu

Ni kwa ufupi tu
Mkuu Nguruvi3
Kwani wewe bado ni mgeni na kazi za Mzee Mohamed Said katika Historia ya Uhuru wetu?
Kwanza nikupongeze kwa kukubali kwako kuwa nikweli upo mchango wa baadhi ya Waislamu katika uhuru wetu na bila shaka Mzee Mohamed Said amekusaidia sana katika hili.
Mzee Mohamed Said ameeleza wazi kuwa alichukua jukumu la kuufahamisha umma kuhusu mchango wa Waislamu baada ya kuwa hapakua na popote katika Historia ya Tanu na Uhuru ulipotajwa sasa kwa hili ulitaka awataje na wasiokua Waislamu?
Lakini pia itakua vema kama nawe utakuja na majibu ya kuwa kwanini mchango wa Waisamu umepuuzwa na hata baadhi yao kufikwa na madhila baada ya huo uhuru kupatikana.

Boywise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Nguruvi3
Kwani wewe bado ni mgeni na kazi za Mzee Mohamed Said katika Historia ya Uhuru wetu?
Kwanza nikupongeze kwa kukubali kwako kuwa nikweli upo mchango wa baadhi ya Waislamu katika uhuru wetu na bila shaka Mzee Mohamed Said amekusaidia sana katika hili.
Mzee Mohamed Said ameeleza wazi kuwa alichukua jukumu la kuufahamisha umma kuhusu mchango wa Waislamu baada ya kuwa hapakua na popote katika Historia ya Tanu na Uhuru ulipotajwa sasa kwa hili ulitaka awataje na wasiokua Waislamu?
Lakini pia itakua vema kama nawe utakuja na majibu ya kuwa kwanini mchango wa Waisamu umepuuzwa na hata baadhi yao kufikwa na madhila baada ya huo uhuru kupatikana.

Boywise

Sent using Jamii Forums mobile app
Boyswise,
Ahsante kaka.
Soma kitu hiki kutoka kwa marehemu Ally Sykes akieleza katika mswada
wake wa kitabu, ''Under the Shadow of British Colonialism," harakati zake
dhidi ya Waingereza wapi alipata mafunzo:

''...in Burma I had known Waruhiu Itote popularly known as “General” China with whom I had served in the K.A.R. General China came to be one of the leaders the Mau Mau force fighting the British in the Aberdeen Mountains. At the beginning I did not realise how deep Kariuki was involved in that underground movement and if he had at all taken the Mau Mau oath. The oath I later came to learn was the driving force behind the success of the Mau Mau movement because once taken one was to obey and undertake whatever assignment given. Usually the assignment was to kill white settlers. It was at the Central Hotel that I came to meet Jomo Kenyatta, Bildad Kaggia, Tom Mboya, W.W. Awori and other Kenyan nationalists. I used to talk about my father and his activities in Tanganyika to further many issues of African interests. Mboya was a keen listener and he used to urge me to return home and help in the struggle...''
 
"boywise, post: 22685677, member: 423208"]Mkuu Nguruvi3
Kwani wewe bado ni mgeni na kazi za Mzee Mohamed Said katika Historia ya Uhuru wetu?
Kwanza nikupongeze kwa kukubali kwako kuwa nikweli upo mchango wa baadhi ya Waislamu katika uhuru wetu na bila shaka Mzee Mohamed Said amekusaidia sana katika hili.
Nadhani wewe ni mgeni katika majadiliano baina yetu na Mohamed.
Akitoa toleo la kwanza wengine tulishahoji kitambo sana kuhusu historia iliyokuwepo

2011 tulipoanza kujadili vitabu vyake, sikumbuki mtu aliyekataa mchango wa Waislam
Ni kutokana na ukweli mji mkuu ulikuwa Pwani wakazi wengi Waislam
Haina maana mapambano ya uhuru yalikuwa Pwani peke yake, la hasha.
Kwingine kulikuwa na vugu vugu la kukataa udhalimu.
Huko walipokuwepo bado walitoa mchango mkubwa
Mzee Mohamed Said ameeleza wazi kuwa alichukua jukumu la kuufahamisha umma kuhusu mchango wa Waislamu baada ya kuwa hapakua na popote katika Historia ya Tanu na Uhuru ulipotajwa sasa kwa hili ulitaka awataje na wasiokua Waislamu?
Historia haiandikwi kwa utashi wa mtu, maono au chaguo 'cherry-pick'

Huwezi kuandika historia ya dunia ukamweka Hitler pembeni kisa humpendi
Huwezi kuandika historia ya Tanganyika ukaondoa watu wengine kisa hawahusiki

Ni makosa yale yale uliyosema yaliwaondoa Waislam katika historia kwa kutotajwa ndiyo unapigia upatu wa kuondoa makundi mengine kama afanyavyo Mohamed. Umeona!

Historia ni mtiririko wa matukio kama yalivyotokea na kujidhihiri

Ukiandika historia na kumwacha John Rupia, Cecil Matola, Vedastus Kyaruzi na wengine kwasababu si Waislam historia haikamiliki. Haikamiliki kwasababu kutakuwa na matundu

Ni kwa mantiki hiyo, hakuna kitu kinaitwa historia ya Waislam kupigania uhuru ukiacha wahusika wasio waislam. Kuna Historia ya Tanzania ambayo ndani yapo makundi
Lakini pia itakua vema kama nawe utakuja na majibu ya kuwa kwanini mchango wa Waisamu umepuuzwa na hata baadhi yao kufikwa na madhila baada ya huo uhuru kupatikana.
Kuna vitu viwili unachanganya katika hili.

Kwanza, kuna kupigania uhuru na pili kuna yatakanayo baada ya kupata uhuru.
Uhuru ulipoiganiwa ilikuwa ni suala la kiutu na kibinadamu.

Mohamed Said amenukuu Aabdul Sykes akieleza kuhusu hili.
Hivyo jitihada za ''kujikomboa zililenga kurudisha utu na heshima ya Mwafrika''

Baada ya uhuru kukaja suala la kujitawala.
Hapa tukaondoka katika harakati za utu na ubinadamu tukaingia katika siasa.

Ilikuwa ni dhahiri Waislam walitaka kuchukua haki ya kupigania Uhuru na kuifanya haki ya kisiasa, rejea hotuba ya Rehan Bilal Waikela, moto wa Waislam ukiwaka

Kisiasa hakuna anaye vumilia matishio katika utawala, bila shaka Nyerere hakuwa tofauti.

Lakini pia utambue tulihitaji umoja wa Taifa kwani tulikuwa hatuna Utaifa kwa kuanzia.
Kundi moja linapochukua mapambano ya uhuru na kujimilikisha halikuwa jambo sahihi

Kuna nchi zilijaribu zimeishia katika matatizo makubwa heri yetu sisi tuliojaribu vinginevyo

Historia ni reflection ya yaliyotokea. Dunia ya sasa inazungumzia historia kama kumbu kumbu kwavile asilimia zaidi ya 90 hawakuwepo wakati huo na ni vizazi vya 3 au 4

Tatizo linaljitokeza katika maandishi ya Mohamed, ni kuhamasisha watu kuhusu 'umiliki' wa historia ili kujenga hoja katika msingi wa historia.

Inaweza kuonekana ni jambo jema kwa wakati huu, siku za mbeleni ni jambo lenye athari kubwa kwa jamii ile ile anayoizungumzia

Unapopandikiza fikra kuwa babu au bibi walipigania uhuru na hivyo unapaswa kubebwa na historia ni kujidumaza. Historia itumike katika reflection kwa mambo mazuri

Kwamba kama yupo aliyetoa mali zake kusaidia uhuru, kwanini wasiwepo wanaotoa mali zao kubadilisha hali za jamii kielemu, uchumi au utamaduni? Hiyo ndiyo kazi ya historia

Athari za mantiki iliyotafsiriwa na jamii ni kuwa wapo waliopigania uhuru wanaonewa

Mohamed kajenga historia kwanza, halafu katumbukiza mbegu hizo(rejea takwimu za elimu kuhusu mitihani) na nafasi za kazi kwa mujibu wa mijadala tuliyokuwa nayo

Jamii inaondoa focus kwenye 'real problem' na kudhani suluhisho ni historia.

Huwezi ku qualify kuwa mwandishi mzuri kama Mohamed kwasababu ya historia kama ambavyo huwezi kuwa Eng., Entrepreneur, Mhasibu, Daktari au professor kwa historia

Ikiwa wazee wetu waliji organize wakaondoa tofauti na kupigana na mkoloni, kwanini kiwepo kizazi kinachotaka kusimama katika mabega yao bila kizazi hicho kuweka miguu chini ili kingine kijacho kijifunze kutoka kwao?
 
Sasa kaka zangu,wajomba zangu,baba zangu mliotangulia kufaham historia hizi nzuri na za kuheshimiwa na kitunzwa kwa mustakabali wa nchi yetu TANZANIA
Tumuelewe nani au tuamini nani mkweli kati yenu.. acheni kupingana ninyi kwa ninyi, kesho hamtakuepo na sisi tutakinzana na kutukanana hiv hivi..TAFADHALI HISTORIA NI KWA AJILI YETU SOTE . MTUONGOZE VIZURI JAMANI
 
Nadhani wewe ni mgeni katika majadiliano baina yetu na Mohamed.
Akitoa toleo la kwanza wengine tulishahoji kitambo sana kuhusu historia iliyokuwepo

2011 tulipoanza kujadili vitabu vyake, sikumbuki mtu aliyekataa mchango wa Waislam
Ni kutokana na ukweli mji mkuu ulikuwa Pwani wakazi wengi Waislam
Haina maana mapambano ya uhuru yalikuwa Pwani peke yake, la hasha.
Kwingine kulikuwa na vugu vugu la kukataa udhalimu.
Huko walipokuwepo bado walitoa mchango mkubwa Historia haiandikwi kwa utashi wa mtu, maono au chaguo 'cherry-pick'

Huwezi kuandika historia ya dunia ukamweka Hitler pembeni kisa humpendi
Huwezi kuandika historia ya Tanganyika ukaondoa watu wengine kisa hawahusiki

Ni makosa yale yale uliyosema yaliwaondoa Waislam katika historia kwa kutotajwa ndiyo unapigia upatu wa kuondoa makundi mengine kama afanyavyo Mohamed. Umeona!

Historia ni mtiririko wa matukio kama yalivyotokea na kujidhihiri

Ukiandika historia na kumwacha John Rupia, Cecil Matola, Vedastus Kyaruzi na wengine kwasababu si Waislam historia haikamiliki. Haikamiliki kwasababu kutakuwa na matundu

Ni kwa mantiki hiyo, hakuna kitu kinaitwa historia ya Waislam kupigania uhuru ukiacha wahusika wasio waislam. Kuna Historia ya Tanzania ambayo ndani yapo makundi
Kuna vitu viwili unachanganya katika hili.

Kwanza, kuna kupigania uhuru na pili kuna yatakanayo baada ya kupata uhuru.
Uhuru ulipoiganiwa ilikuwa ni suala la kiutu na kibinadamu.

Mohamed Said amenukuu Aabdul Sykes akieleza kuhusu hili.
Hivyo jitihada za ''kujikomboa zililenga kurudisha utu na heshima ya Mwafrika''

Baada ya uhuru kukaja suala la kujitawala.
Hapa tukaondoka katika harakati za utu na ubinadamu tukaingia katika siasa.

Ilikuwa ni dhahiri Waislam walitaka kuchukua haki ya kupigania Uhuru na kuifanya haki ya kisiasa, rejea hotuba ya Rehan Bilal Waikela, moto wa Waislam ukiwaka

Kisiasa hakuna anaye vumilia matishio katika utawala, bila shaka Nyerere hakuwa tofauti.

Lakini pia utambue tulihitaji umoja wa Taifa kwani tulikuwa hatuna Utaifa kwa kuanzia.
Kundi moja linapochukua mapambano ya uhuru na kujimilikisha halikuwa jambo sahihi

Kuna nchi zilijaribu zimeishia katika matatizo makubwa heri yetu sisi tuliojaribu vinginevyo

Historia ni reflection ya yaliyotokea. Dunia ya sasa inazungumzia historia kama kumbu kumbu kwavile asilimia zaidi ya 90 hawakuwepo wakati huo na ni vizazi vya 3 au 4

Tatizo linaljitokeza katika maandishi ya Mohamed, ni kuhamasisha watu kuhusu 'umiliki' wa historia ili kujenga hoja katika msingi wa historia.

Inaweza kuonekana ni jambo jema kwa wakati huu, siku za mbeleni ni jambo lenye athari kubwa kwa jamii ile ile anayoizungumzia

Unapopandikiza fikra kuwa babu au bibi walipigania uhuru na hivyo unapaswa kubebwa na historia ni kujidumaza. Historia itumike katika reflection kwa mambo mazuri

Kwamba kama yupo aliyetoa mali zake kusaidia uhuru, kwanini wasiwepo wanaotoa mali zao kubadilisha hali za jamii kielemu, uchumi au utamaduni? Hiyo ndiyo kazi ya historia

Athari za mantiki iliyotafsiriwa na jamii ni kuwa wapo waliopigania uhuru wanaonewa

Mohamed kajenga historia kwanza, halafu katumbukiza mbegu hizo(rejea takwimu za elimu kuhusu mitihani) na nafasi za kazi kwa mujibu wa mijadala tuliyokuwa nayo

Jamii inaondoa focus kwenye 'real problem' na kudhani suluhisho ni historia.

Huwezi ku qualify kuwa mwandishi mzuri kama Mohamed kwasababu ya historia kama ambavyo huwezi kuwa Eng., Entrepreneur, Mhasibu, Daktari au professor kwa historia

Ikiwa wazee wetu waliji organize wakaondoa tofauti na kupigana na mkoloni, kwanini kiwepo kizazi kinachotaka kusimama katika mabega yao bila kizazi hicho kuweka miguu chini ili kingine kijacho kijifunze kutoka kwao?
bravo!
 
Nguruvi3 na Mtanganyika,
Tutakuwa tunakwenda na kurudi palepale.
Duara la ''merry go round.''

Kitabu sasa kipo mwaka wa 20 yaani miongo miwili na nakala ya Kiingereza
tuko toleo la pili na la Kiswahili toleo la tatu.

Kitabu kimeingia katika ''reviews,'' ndani ya Cambridge Journal of African
History.

Wote waliokipitia wamesema kitabu kimekuja na habari mpya na imeongeza
ufahamu wa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Kama nilivyosema, ''the untold story...'' hakika historia hii ilikuwa haijaandikwa.

Mkipenda mnaweza kuingia hapo chini kupata ya ndani kuhusu yaliyopitika katika
kuandika historia hii toka Abdul Sykes alipojaribu kufanya hivyo akisaidiana na
Dr. Wilbard Klerru tena kwa kuombwa na Mwalimu Nyerere mwenyewe
miaka ya mwanzo ya uhuru:

Mohamed Said: KUTOKA JF: MAREHEMU HASSAN UPEKA (TANU INTELLIGENCE 1956) NA UANDISHI WA HISTORIA YA TANU
Mohamed Said: KISA CHA ALI MWINYI TAMBWE NA KITWANA SELEMANI KONDO 1950s
Mohamed Said: KUTOKA JF: BAADA YA UHURU KUPATIKANA 1961 KULIKUWAPO NA NJAMA?
 
Boyswise,
Ahsante kaka.
Soma kitu hiki kutoka kwa marehemu Ally Sykes akieleza katika mswada
wake wa kitabu, ''Under the Shadow of British Colonialism," harakati zake
dhidi ya Waingereza wapi alipata mafunzo:

''...in Burma I had known Waruhiu Itote popularly known as “General” China with whom I had served in the K.A.R. General China came to be one of the leaders the Mau Mau force fighting the British in the Aberdeen Mountains. At the beginning I did not realise how deep Kariuki was involved in that underground movement and if he had at all taken the Mau Mau oath. The oath I later came to learn was the driving force behind the success of the Mau Mau movement because once taken one was to obey and undertake whatever assignment given. Usually the assignment was to kill white settlers. It was at the Central Hotel that I came to meet Jomo Kenyatta, Bildad Kaggia, Tom Mboya, W.W. Awori and other Kenyan nationalists. I used to talk about my father and his activities in Tanganyika to further many issues of African interests. Mboya was a keen listener and he used to urge me to return home and help in the struggle...''

Boywise,
Nguruvi3
anasema ati wewe mgeni katika mjadala huu.

Kaguswa na ukweli uliomueleza tena kwa utulivu.

Nataka nikuongezee kitu kutoka hicho kipande ambacho Ally Sykes anamueleza
baba yake Kleist Sykes.

Msome Kleist Sykes kama nilivyomwandika katika Dictionary of African Biography
(DAB):

DSCN1129.JPG


0xtrrpqe4ZGZEEjmkBS8TvWD4P03NkDlZYuPoXf7IIBqguzK1vikEAzE1seEzGArQbgQYBttklZfOUYS-KvwYugzDBli_4YofTsxh7TBAPxvDC3yj1UbG0OE09CR-cjIadscsKqxSH_DVBOsoor5r-JDzQTIt-s9eKEeYLc35DreFIkVzmAJ8mY0POVB4_flZYvtUN7NVkcKfOV8RnweyFDd89fE_lmJUYX6I0KUK1RCZSrrab_RQ-KZm2rs6g_HIuFmZVaC6dw8EOUu0rZtpQyGsKgpxUoC1fpsgfRo6NFv0QmEB8ZLJ04Gl0w_9ltJoK8xn0VrRb6TDyh3URjNiuIFM6LrqcAg0eOrMBjtWh0TcKwPm279v7GfVEBczFCpgEWVBZZBpoVF2v1LAXJwvEuQvwTyX7MxrEhDUxhEcMWhjkv6dR4yKQ2hLDd-sBrnpTxxaRqhEtYOfYG_Q3g6zkIK7QMaFwWV2BmJr4e5tXheVW_nTm9CRJii3Q7tXirS5RMI7xqOd9bCMO-CBLN8-rhcjFE3wpH84x1qedcPessRR4KT23n89NJooRscr6TsSXHEyqPHdW9UNV4K7GCWEGXmOWS518mw5VpL-_g2cYo-oLqYldOM3g=w814-h629-no


Sss-s0dSPIf7DSONMKPVSy4zHpkk84alXChRn6tcmlv2aIZ3bgVisF3aSwenZubmJPdXyXx0FkHMB0f_17jetxGZ5MPYcvjjMQy_9z5EV3X2BeCERFP5E_nIvhSgNp4ygfUoiu8K9JQAbF6UhMTvGuDjJ-Px3Fwt5-lvIIgdUK9ZNO2oUkNgozT-iCD11mxhaNKSE4Ykmj00D46RFA5EmPEuabJBhm9NSTfevkS8jCTToRvvRQXCiEO18EIgI8FrjwQ_hVAId4nTW97xA-uH3cccFEvNwO7K2mNilO26FW1K3KDqv1ve7GbdbXXIv3BSaSseoOQpcNTJQkwDKofxyTnoJNUVkaB3IaG87F-0vnutgtAYuq0gwKik9ZZ5ffOAJoF8G8m4sPyNR4EnK7VqpIGp6J4Ac4WDtncTwjLbIJXz6K-fxj3hHjUqlO31joKmMhShMDXjkbFeujqCb_vI2aNamJokGGbA197F7xCI-ziY4FK8ATMzFBCaSHYAVrwVpfTenG6kNofI_Nmob85cpyzuz4ZX9G-zV2KWQ_VgTzz6CVmZMyY2cyb_PSiJ8tmICvFaXdEMdQIbLjeetQk8vlL22uLrDL-X3fdqR7DpPK0uLSjEHzUc2A=w433-h630-no


8XDgVUBX7D8cYwIozmW6-LQuJi0rtd0D7Vm8qi0xRgQ2JPzGnbtc6vvCpaBYeew2r1o0407w2BYohIAWkMKsvAqzNK0OCtF44Pd2elOx2Ewvll6uKYolbc0IWpeXn9LzEiugLUq24VhoyfzOe6XxpoHRHsJbp7IiGLCPk28A8WktvB6whYwDaoI9aQlO3UTvhbzxgUl6KwxVTxSHrY4FXMw68sUFrD-d-ex45scr8Wq83efbRyoSH8n-SDkCAz2AoWyYxaj-HudqEKaWAYovsVVjVON0D_YYOScvQUpMqoNMZHst-wHEvetJDfId_VKwjWWURMr5zvk36cAV-yQQqj0OpakMynK9_VjHJaN_DCzv4JIZEW6N_j2zAnU4idPyu3z_BS9SeSIC-2fftug7bpb7NFzB1g6D6Xdc7XnZ5rC-CQI1AZmrT6GQ6tbwRQtzCxfHgntl0M66KaaUE1efggTuwoXWPKxpzJqeqaXnqSh6oxILlSCmLh_Gomn3SFI_HPkmpgEUJmamoAiIXnXbywA1lNB7pErpAODowJEN9GdCOg8pEnA9BYNNaNBJZmGBeGNCO0l2V88qCnXGz_8Tx7UJblzRo-4mCtg24HP2x_vi4aa0bi50Mg=w575-h629-no


OPSFPEngC8FDKqsCP5AIiFB_tCSDF-9go7KD1YAS1BgZrYvbmw10B11Da6z3GUFS4U79Hq1BZ_5QiqgYKMWw-LCKmgLFe5v8Wme_GdJlLnxScoNYWnp1qsyU5maloRnKqGJSBWB1bZYu9iSoDjq8eSPezTAWjctZpeQvYTB_48xx2hjYrO_kA94rd_LWpmlEujIfOld-WGqHKFR5E5U0TJYS--Vr8om0KPjA_z4jGm7Ed-0igdm_aRSVhpe1VbrQa1_pYmK_4zaCN6T5WVrzFcFgbHZP7nFVOBYcV_qCgfvYoueUNkD3uD0uR8q-co1duUgl22aZJP-mn19bxeuyoxEGozgfSkLXtRcGPqbTe6EW0prhC9sQUXzjTNhguGxGVSxCshZWx58X2IrrK3ZyFLRrBHHiXtlFoDrB5gXuSZM8nW7k1UOGleCTB2-dSmV5eoBUkY2ZsXABvon5ezsij_wBDjkI2TBKfQ--MqUzz232o0PguOYfo5-BGM67Bm6GOVGzTcfqt82l2pyOC3GbYEhL06WX5UOre5r3OpXaqnscCaBfIRAAK4jLPqeYqvnJAFC4w8BT5mXV4TNJckFwTkNyIHvPhf-qu6QmDqrycgh5X00erRGJfA=w352-h480-no

Kleist na wanawe watatu wote walishiriki katika siasa za uhuru wa Tanganyika na kuunda TANU
 
Boywise,
Nguruvi3
anasema ati wewe mgeni katika mjadala huu.

Kaguswa na ukweli uliomueleza tena kwa utulivu.

Nataka nikuongezee kitu kutoka hicho kipande ambacho Ally Sykes anamueleza
baba yake Kleist Sykes.

Msome Kleist Sykes kama nilivyomwandika katika Dictionary of African Biography
(DAB):

DSCN1129.JPG


0xtrrpqe4ZGZEEjmkBS8TvWD4P03NkDlZYuPoXf7IIBqguzK1vikEAzE1seEzGArQbgQYBttklZfOUYS-KvwYugzDBli_4YofTsxh7TBAPxvDC3yj1UbG0OE09CR-cjIadscsKqxSH_DVBOsoor5r-JDzQTIt-s9eKEeYLc35DreFIkVzmAJ8mY0POVB4_flZYvtUN7NVkcKfOV8RnweyFDd89fE_lmJUYX6I0KUK1RCZSrrab_RQ-KZm2rs6g_HIuFmZVaC6dw8EOUu0rZtpQyGsKgpxUoC1fpsgfRo6NFv0QmEB8ZLJ04Gl0w_9ltJoK8xn0VrRb6TDyh3URjNiuIFM6LrqcAg0eOrMBjtWh0TcKwPm279v7GfVEBczFCpgEWVBZZBpoVF2v1LAXJwvEuQvwTyX7MxrEhDUxhEcMWhjkv6dR4yKQ2hLDd-sBrnpTxxaRqhEtYOfYG_Q3g6zkIK7QMaFwWV2BmJr4e5tXheVW_nTm9CRJii3Q7tXirS5RMI7xqOd9bCMO-CBLN8-rhcjFE3wpH84x1qedcPessRR4KT23n89NJooRscr6TsSXHEyqPHdW9UNV4K7GCWEGXmOWS518mw5VpL-_g2cYo-oLqYldOM3g=w814-h629-no


Sss-s0dSPIf7DSONMKPVSy4zHpkk84alXChRn6tcmlv2aIZ3bgVisF3aSwenZubmJPdXyXx0FkHMB0f_17jetxGZ5MPYcvjjMQy_9z5EV3X2BeCERFP5E_nIvhSgNp4ygfUoiu8K9JQAbF6UhMTvGuDjJ-Px3Fwt5-lvIIgdUK9ZNO2oUkNgozT-iCD11mxhaNKSE4Ykmj00D46RFA5EmPEuabJBhm9NSTfevkS8jCTToRvvRQXCiEO18EIgI8FrjwQ_hVAId4nTW97xA-uH3cccFEvNwO7K2mNilO26FW1K3KDqv1ve7GbdbXXIv3BSaSseoOQpcNTJQkwDKofxyTnoJNUVkaB3IaG87F-0vnutgtAYuq0gwKik9ZZ5ffOAJoF8G8m4sPyNR4EnK7VqpIGp6J4Ac4WDtncTwjLbIJXz6K-fxj3hHjUqlO31joKmMhShMDXjkbFeujqCb_vI2aNamJokGGbA197F7xCI-ziY4FK8ATMzFBCaSHYAVrwVpfTenG6kNofI_Nmob85cpyzuz4ZX9G-zV2KWQ_VgTzz6CVmZMyY2cyb_PSiJ8tmICvFaXdEMdQIbLjeetQk8vlL22uLrDL-X3fdqR7DpPK0uLSjEHzUc2A=w433-h630-no


8XDgVUBX7D8cYwIozmW6-LQuJi0rtd0D7Vm8qi0xRgQ2JPzGnbtc6vvCpaBYeew2r1o0407w2BYohIAWkMKsvAqzNK0OCtF44Pd2elOx2Ewvll6uKYolbc0IWpeXn9LzEiugLUq24VhoyfzOe6XxpoHRHsJbp7IiGLCPk28A8WktvB6whYwDaoI9aQlO3UTvhbzxgUl6KwxVTxSHrY4FXMw68sUFrD-d-ex45scr8Wq83efbRyoSH8n-SDkCAz2AoWyYxaj-HudqEKaWAYovsVVjVON0D_YYOScvQUpMqoNMZHst-wHEvetJDfId_VKwjWWURMr5zvk36cAV-yQQqj0OpakMynK9_VjHJaN_DCzv4JIZEW6N_j2zAnU4idPyu3z_BS9SeSIC-2fftug7bpb7NFzB1g6D6Xdc7XnZ5rC-CQI1AZmrT6GQ6tbwRQtzCxfHgntl0M66KaaUE1efggTuwoXWPKxpzJqeqaXnqSh6oxILlSCmLh_Gomn3SFI_HPkmpgEUJmamoAiIXnXbywA1lNB7pErpAODowJEN9GdCOg8pEnA9BYNNaNBJZmGBeGNCO0l2V88qCnXGz_8Tx7UJblzRo-4mCtg24HP2x_vi4aa0bi50Mg=w575-h629-no


OPSFPEngC8FDKqsCP5AIiFB_tCSDF-9go7KD1YAS1BgZrYvbmw10B11Da6z3GUFS4U79Hq1BZ_5QiqgYKMWw-LCKmgLFe5v8Wme_GdJlLnxScoNYWnp1qsyU5maloRnKqGJSBWB1bZYu9iSoDjq8eSPezTAWjctZpeQvYTB_48xx2hjYrO_kA94rd_LWpmlEujIfOld-WGqHKFR5E5U0TJYS--Vr8om0KPjA_z4jGm7Ed-0igdm_aRSVhpe1VbrQa1_pYmK_4zaCN6T5WVrzFcFgbHZP7nFVOBYcV_qCgfvYoueUNkD3uD0uR8q-co1duUgl22aZJP-mn19bxeuyoxEGozgfSkLXtRcGPqbTe6EW0prhC9sQUXzjTNhguGxGVSxCshZWx58X2IrrK3ZyFLRrBHHiXtlFoDrB5gXuSZM8nW7k1UOGleCTB2-dSmV5eoBUkY2ZsXABvon5ezsij_wBDjkI2TBKfQ--MqUzz232o0PguOYfo5-BGM67Bm6GOVGzTcfqt82l2pyOC3GbYEhL06WX5UOre5r3OpXaqnscCaBfIRAAK4jLPqeYqvnJAFC4w8BT5mXV4TNJckFwTkNyIHvPhf-qu6QmDqrycgh5X00erRGJfA=w352-h480-no

Kleist na wanawe watatu wote walishiriki katika siasa za uhuru wa Tanganyika na kuunda TANU
Mzee Mohamed Said
Ahsante sana nimeongeza kitu katika ufahamu na ni kweli hii ni historia iliyofichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguruvi3
Nashukuru kwa maelezo yako marefu ya kiualimu
Nikupongeze kwa kuwa kwako mkongwe katika majadiliano baina yenu na Mzee Mohamed kwani mnavuna mengi sana kutoka kwake kunako Harakati za Waislamu dhidi ya ukoloni wa Waingereza ktk Tanganyika, japo bado nashangaa kuona ni kwa namna gani "ukongwe" wako haujaweza kukusaidia kutambua kuwa Mzee Mohamed amewatoa hofu wale waliokuwa wakidhani kuwa kuandika historia inayopingana na "historia rasmi" au historia iliyokuwepo ni kukosa uzalendo na mapenzi kwa nchi yao.
Na ndio maana mimi nimekuuliza ili nijue ufahamu wako kuhusu kazi za nguli huyu wa historia ili nijue ikiwa umesalimika na tanbihi hii aloiweka Mzee Mohamed katika kazi zake.

Unapaswa pia kuelewa kuwa Waislamu hawa anaowa zungumzia Mzee Mohamed hawakupatikana Pwani pekee
Dodoma alikuwepo Ali Ponda na Hassan Suleimani
Lindi alikuwepo Suleimani Masudi Mnonji na Mohamed Wazir
Tabora walikuwepo Hamisi Simbe, Ramadhan Nasibu, M.K.Hemed, Chamng'anda Usingizi, Fimbo Mtwana na Rashidi Mussa. Hapo nimekuonesha majimbo matatu yaani jimbo la kati, kusini na magharibi

Nikubaliane nawe kuwa historia haiandikwi kwa utashi wa mtu lakini bado mimi nipo palepale kuwa, mathalani naandika historia ya watu wema waliopita katika dunia hii, sina haja ya kumtaja Hitler kwakuwa hausiki

Hayo makosa yaliyowaondoa Waislamu katika historia ungenifafanulia kwanza niyajue nami sijayataja popote kwani bado nina kiu ya kuyafahamu

Ikiwa maandishi ya Mzee Mohamed ni kuhamasisha watu kuhusu 'umiliki' wa historia vipi kuhusu maandishi ya Dr. John C. Sivalon M.M katika kitabu Kanisa katoliki na siasa ya Tanzania bara(1953-1985) yalihamasisha watu kuhusu nini???

Umeniacha midomo haikutani u anaposema 'Jamii inaondoa focus mwenye 'real problem' na kudhani suluhisho ni historia' mimi nakwambia kuwa ikiwa huijui historia huwezi kujua 'real problem' sikwambii kutatua

Boywise




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguruvi3
Nashukuru kwa maelezo yako marefu ya kiualimu
Nikupongeze kwa kuwa kwako mkongwe katika majadiliano baina yenu na Mzee Mohamed kwani mnavuna mengi sana kutoka kwake kunako Harakati za Waislamu dhidi ya ukoloni wa Waingereza ktk Tanganyika, japo bado nashangaa kuona ni kwa namna gani "ukongwe" wako haujaweza kukusaidia kutambua kuwa Mzee Mohamed amewatoa hofu wale waliokuwa wakidhani kuwa kuandika historia inayopingana na "historia rasmi" au historia iliyokuwepo ni kukosa uzalendo na mapenzi kwa nchi yao.
Na ndio maana mimi nimekuuliza ili nijue ufahamu wako kuhusu kazi za nguli huyu wa historia ili nijue ikiwa umesalimika na tanbihi hii aloiweka Mzee Mohamed katika kazi zake.

Unapaswa pia kuelewa kuwa Waislamu hawa anaowa zungumzia Mzee Mohamed hawakupatikana Pwani pekee
Dodoma alikuwepo Ali Ponda na Hassan Suleimani
Lindi alikuwepo Suleimani Masudi Mnonji na Mohamed Wazir
Tabora walikuwepo Hamisi Simbe, Ramadhan Nasibu, M.K.Hemed, Chamng'anda Usingizi, Fimbo Mtwana na Rashidi Mussa. Hapo nimekuonesha majimbo matatu yaani jimbo la kati, kusini na magharibi

Nikubaliane nawe kuwa historia haiandikwi kwa utashi wa mtu lakini bado mimi nipo palepale kuwa, mathalani naandika historia ya watu wema waliopita katika dunia hii, sina haja ya kumtaja Hitler kwakuwa hausiki

Hayo makosa yaliyowaondoa Waislamu katika historia ungenifafanulia kwanza niyajue nami sijayataja popote kwani bado nina kiu ya kuyafahamu

Ikiwa maandishi ya Mzee Mohamed ni kuhamasisha watu kuhusu 'umiliki' wa historia vipi kuhusu maandishi ya Dr. John C. Sivalon M.M katika kitabu Kanisa katoliki na siasa ya Tanzania bara(1953-1985) yalihamasisha watu kuhusu nini???

Umeniacha midomo haikutani u anaposema 'Jamii inaondoa focus mwenye 'real problem' na kudhani suluhisho ni historia' mimi nakwambia kuwa ikiwa huijui historia huwezi kujua 'real problem' sikwambii kutatua

Boywise




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye huu mjadala
Yeriko ni mdini na nguruvuvi pia maana hawajibu hasa kwa nini hostoria ya waislamu ilifichwa na sababu gani ilifanywa historia yao ifichwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Xungura na Boywise,
Kuna mengi ya kusikitisha jinsi historia hii ilivyopigwa vita.
Angalia hapa chini mkasa uliomfika mama wa Kiingereza Paula Park.

Huyu mama aliandika makala, ''An Unsung Hero?’ Africa Events, London,
November 1986 p.48:

''Mwaka a 1986, miaka miwili kabla, baada ya takriban miaka ishirini na tano ya ukimya, Ally Sykes alikubali kufanya majadiliano na mwandishi wa Kiingereza kutoka Africa Events, Paula Park. Park akachapisha majadiliano aliyofanya na Ally Sykes kuhusu ukoo wa Sykes na mchango wao katika historia ya uhuru wa Tanganyika. Makala ile iliposomwa Ally Sykes akawa anapata simu kutoka kwa marafiki zake na kwa wafanyabiashara wenzake wakitaka uhakika kama yale yaliyoandikwa katika gazeti lile kweli yeye ameyasema. Haukupita muda mrefu, maofisa wa Idara ya Uhamiaji walimtembeleaPark na kumuomba aondoke nchini.''
Kutoka kitabu cha ''Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...''

Sasa hebu unganisha hii ilipate mtiririko anza na historia ilipotaka
kuandikwa na Abdul Sykes na Wilbert Klerruu, kisha njoo na kisa
cha Hassan Upeka alipolipa jopo la Kivukoni College ''notes'' za Abdul
Sykes
kuhusu TAA na TANU na huu mkasa wa Paula Park.

Hapa sijaweka makala yangu, ‘In Praise of Ancestors’ Africa Events, London,
March/April 1988, pp. 37-41, makala iliyosababisha toleo zima likusanywe
lisisomwe.

Kisa nini?
Jibu nawaachia Nguruvi3 na Yericko Nyerere.

Kuna mengine ingieni hapa:
Mohamed Said: UPINZANI DHIDI YA HISTORIA YA KWELI YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA 4
 
Kwenye huu mjadala
Yeriko ni mdini na nguruvuvi pia maana hawajibu hasa kwa nini hostoria ya waislamu ilifichwa na sababu gani ilifanywa historia yao ifichwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza kuwa ni kweli sisi ni wadini,

Kwamba tujibu historia ya waislamu ilifichwa?

Swali moja tu, historia ya waislamu inaandikwa na waislamu au inaandikwa na wanahistoria ya Tanganyika?


Kwa ufafanuzi mfupi, uislamu nikweli ulikuwako mkubwa katika pwani la Tanganyika kipindi cha harakati za uhuru na hata sasa, lakini kamwe, uhuru wa Tanganyika haukutafutwa kwa misingi ya kidini au kikabila, bali utu wa mtanganyika uwe uhuru...

Hivyo historia inayoweza kuwa ilitupwa ni historia ya baadhi ya wapigania uhuru, sio ya waislamu... Ukishaleta historia ya waislamu katika uhuru, uwe yayari kuipokea historia ya kanisa katoliki katika kuongoza kwalo kuleta uhuru Tanganyika...
 
Yericko,
Ikiwa ipo historia nyingine inayopita hii niliyoandika na iandikwe hakuna shida.

Miaka inakwenda hakuna hata mtu mmoja aliyethubutu kuandika historia nyingine kupinga kitabu cha Abdul Sykes.

Kilichowezekana ni kukusanya magazeti yakatiwa kibiriti na kumfukuza nchini Paula Park lakini si kuja na historia nyingine.

Uwanja huu umewashinda.

Mimi nimetoa ushahidi mwingi tu kuwa kulikuwapo na njama ya kufifilisha historia ya mchango wa Waislam katika TANU na katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika kuanzia akina Sultani Abdulrauf Songea Mbano hadi kufika kwa Sheikh Hassan bin Amir.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilicho kiona kwenye mjadara huu yerickot anataka kushindama na Mohammed said ndilo tatizo lake na ukiona mtu hataki kukosolewa ujue ana matatizo je kitabu kitakuaje kama muandishi hataki kuelekezwa kitabu kitakuwa mapungufu mengi kitasomwa na watu mbugira mbugira alimradi wao ni kusoma bila kujua wanasoma nini hongera mzee wetu Muhammad saidi kwa kazi unayo ifanya mungu atakulipa ingawa unaitwa mdini usihuzunike kwa kuwa history iko hivyo inaonyesha waislam ni asilimia kubwa ndio walianzisha vugu vugu la kudai uhuru sasa ukisema kweli baadhi ya wakristo wenzangu hawapendi wewe tuelimishe dini yako baki nayo wewe sisi tupe history ili watoto wetu tuje kuwafundisha history ya kweli ya tanganyika nakupenda sana mzee wetu kwa elimu unayo tupatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom