Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Font ni ndogo, weka 40
Haiondoi ukweli kuwa unataka kukimbia hoja. Yes '..pants down'

Mzee wa Cambridge, jibu hoja zilizoko mbele yako

Asilimia 98 ya halmashauri kuu ya TANU ilikuwa Waislam(mzee Mwanakijiji). Nini kilitokea asilimia 2 ikashinda asilimia 98?

Kleruu, Nyerere na wana kivukoni walisema 'kuhusu TAA ni vyama vya starehe'
Tukubali kuwa hawakuwa na ushahidi

Turudi upande wa pili, ushahidi wako kwamba vilikuwa vyama vya siasa na katiba uko wapi?

Tuanzie hao. Halafu twende kwenye AA na TAA. Kulikuwa na katiba gani na iliandikwa na nani

Kisha tumalizie kwa TANU. Nani aliandika katiba ya TANU

Mimi ni mwema sana, nilikutahadharisha mapema, kumweka Abdul Sykes na Nyerere katika mizani si jambo jema. Hawa ni watu tofauti waliotusaidia kwa namna tofauti

Abdul anasimama bila Nyerere, na ndivyo Nyerere anasimama bila Abdul

Mzee Said vijana wanafyonza elimu(spike lee), wape vitu vya kunururisha bongo zao
Jibu hoja
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
Unaonekana kukosa raha pale jina ABDUL linapotajwa kabla ya jina NYERERE, japo unauliza maswali ili upate kujua kutoka kwa Mzee Mohamed lakini unaonesha wazi kuwa umejipa upande kunako maelezo ya Mzee Mohamed kunako mjadala huu, na hii itakuchelewesha sana kumuelewa
Miaka nenda rudi nipo katika rekodi nikisema, 'tunaheshimu sana mchango wa wazee wetu kupigania uhuru'

Nimesema mara nyingi huko nyuma na hapa katika uzi huu kuwa Nyerere na Abdul ni watu wawili tofauti wakiwana sifa tofauti. Kumfanya Nyerere dhalili ili Abdul an'gare si sahihi na wala kumfanya Nyerere ni zaidi ya Abdul si sahihi. Hawa watu ni tofauti na wana michango tofauti

Mohamed kasoma mashtaka kuhusu akina Kleruu na Kivukoni. Tumeyapokea
tunamuuliza ushahidi wa mashtaka hayo ni upi?

Jibu: Abdul alisema, Tewa alisema. Huo si ushahidi

Katika kuhakikisha anaondoa mchango wa Nyerere, Mohamed anasema alinukuu katiba ya Nkrumah

Hata juzi Prof apalamagamba alisema tumenukuu baadhi ya sheria za madini kutokana nchi alizotaja

Bunge letu linafuata mfumo wa west mister ambao tumenukuu. Hilo si kosa
Kosa ni Nyerere kuandika katiba kwa kunukuu, kana kwamba alitakiwa aje na kitu kipya duniani

Katiba za dunia zinategemeana hubadilika kutokana na mazingira
Katika kufifisha hoja, Mohamed anasema katiba ilikuwepo kabla ya Nyerere kupitia sub commmittee

Katiba anayosema eti 'ilinyofolewa'

Ndipo tunakuja na maswali, nani aliandika, lini na ilitumika wapi

AA na TAA zilikuwa na katiba ipi, nani aliandika na ilitumika wapi
Kabla ya Nyerere nani mwingine aliandika au kunukuu katiba

Maswali hayo ana majibu yake, tatizo ni kutotaka kusema ukweli
Ukweli kwake ni maneno ya Abdul. Kwa watu wanaotumia vichwa hiyo ni ngano na tamthilia
 
"Mohamed Said, post: 22753614, member: 12431"]''Kasella Bantu ndiyo mtu aliyempeleka Julius Nyerere kwa Abdulwahid kumtambulisha. Hii ilikuwa mwaka wa 1952. Bantu na Nyerere walifahamiana toka huko nyuma walipokuwa wakifundisha Tabora. Chama hakiwezi kupinga ukweli kwamba Kasella Bantu alikuwa miongoni mwa wale wanachama 17 waasisi wa TANU. Hali kadhalika chama hakiwezi, kupinga ule ukweli wa historia kuwa Kasella Bantu alishiriki katika ‘’kuandika’’ ile katiba ya TANU. Kasella Bantu anakerwa sana na kupotoshwa kwa historia. Kila alipopata fursa kuanzia alipokuwa ngíambo uhamishoni na hata baada ya kurudi nyumbani kutoka uhamishoni, Kasella Bantu ameeleza kuhusu mambo haya mawili ya kihistoria, kuwa ‘’aliandika,’’ katiba ya TANU na ni mmoja wa waasisi wa TANU. Bantu kama waanzilishi wengine wengi anahisi kwamba mchango wake katika harakati za uhuru wa Tanganyika haujathaminiwa.''

''Jopo la wana-historia wa Chama Cha Mapinduzi waliopewa jukumu la kutafiti na kuandika historia rasmi ya TANU, hakuna hata sehemu moja waliyotaja jina la Abdulwahid katika kitabu kizima.Dhana inayojaribiwa kuenezwa katika kitabu kile ni kuwa kabla ya kutokea kwa Julius Nyerere mwezi Aprili, 1953, alipochaguliwa kuwa rais wa TAA, chama hicho hakikuwa na mwelekeo wowote wa siasa. Kitu cha ajabu ni kuwa kitabu hicho wala hakielezi huo urais wa TAA, Nyerere aliupataje au aliuchukua kutoka kwa kiongozi gani wa wakati ule. Kitendo hiki kimeondoa hadhi na heshima ya wazalendo wengi waliopigania nchi hii na halikadhalika kimeiondolea TAA heshima ya kuitwa chama cha siasa. Wanahistoria wazalendo pamoja na wanasiasa wa sasa hawataki kabisa kuipa TAA hadhi ya chama cha siasa. Kambona aliiita African Association chama cha majadiliano:

‘’Sasa inakaribia mwaka mmoja toka iundwe Tanganyika African National Union na katika kipindi hiki chama kimekua kikipata nguvu siku hadi siku, wakati mwingine chini ya upinzani mkubwa. Kama mnavyofahamu chama hiki ni badala ya Tanganyika African Union ambayo ilikuwa sawasawa na chama cha majadiliano.’’


Ulotu anaieleza TAA kuwa ilikuwa chama cha ustawi wa jamii. Wengine wameieleza TAA kama taasisi ya jamii: Nyerere (1976), halikadhalika Japhet na Seaton (1966). TAA wakati mwingine inaelezwa kuwa ilikuwa chama cha vuguvugu za upinzani dhidi ya ukoloni, lakini upinzani wake haukuwa dhahiri: Kaniki (1974), Nyerere (1953) aliieleza TAA kama chama cha vuguvugu la siasa lakini si za dhahiri. Julius Nyerere alipohutubia Baraza la Udhamini la Umoja wa Mataifa, New York, tarehe 7 Machi, 1955 alisema:

''Tanganyika African National Union kwa mtazamo mmoja ni chama kipya, lakini kwa mtazamo mwingine ni chama kikongwe. TANU imechukua nafasi ya Tanganyika African Association ambayo ilianzishwa mwaka 1929, kama chama cha kijamii. Tanganyika African National Union, chama kilichochukua nafasi ya African Association miezi kumi iliyopita ni chama kipya kwa maana ni chama cha siasa, wakati TAA ilikuwa chama cha siasa nusunusu.


Wasomi wengine wameishusha TAA kufikia daraja la kuwa klabu: Mwenegoha (1976) anaandika: ëMwaka 1954, baada ya miaka ishirini na tano ya kutoweza kufanya lolote, Nyerere aliigeuza TAA kutola chama cha kijamii kuwa chama cha siasa chenye kuogopwa kilichoitwa Tanganyika African National Unioní.


Abdulwahid ambae alitoa mchango wa pekee katika kuunda TANU alikuwa anaiona TAA kama chama cha siasa (1951). Katika kundi la waandishi na wasomi walioandika kuhusu African Association kisha wakabadili mawazo yao kuhusu nini hasa chama kile kilikuwa, ni Nyerere na Hatch ndiyo waliobadili misimamo yao ya awali. Nyerere alipoandika barua kwa Gavana wa Tanganyika, Edward Twining tarehe 10 Agosti, 1953 alieleza kuwa TAA ni chama cha siasa. Lakini baadae alibadili msimamo na kusema kuwa TAA kilikuwa chama cha starehe. Kauli hii ilitawala hotuba za Nyerere na maandishi yake kwa kipindi kirefu. Katika miaka ya hivi karibuni amesikika akisema kuwa TAA kilikuwa ëchama cha siasa kisichokuwa na katiba ya siasaí. Hatch (1976) ameieleza TAA kama chama cha starehe sehemu moja na chama cha siasa sehemu nyingine. John Kabudi ameieleza African Association kama ëchama cha watu binafsi wananchi kilichokuwa na mwelekeo wa kitaifa.''

Joseph Kimalando kwa Hon. General Secretary, 9 Septemba, 1953. ‘’Government Circular on Membership of Political Associations.’’ Maktaba ya CCM. File 168 Folio 2.

Pacha anayo muhtasari ya ule mkutano mkuu wa Julai, 1954 lakini hakuwa na rasimu ya katiba ambayo haikuweza kupatikana Maktaba ya CCM Dodoma. Bukoba ilipokea rasimu hiyo, angalia barua ya M. Lugazia kwa katibu Tawi la Bukoba DC/ HQ/ LP/ 897 Mei, 1854. Felio 16 TANU 16 lakini rasimu ya katiba iliyotajwa humo haimo ndani ya barua hiyo.

M. Lugazia kwa katibu Tawi la Bukoba DC/HQ/BK/LP/897 May, 1954 (tarehe haikutolewa) TANU folio 16 Party Archives, Dodoma. Rasimu ya katiba iliyotajwa hapo imekosekana.

Uongozi wa TAA haukurasimu katiba mpya. Katiba ya TANU ilinukuliwa neno kwa neno kutoka Convention People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah, kwa kutia TANU mahali pa CPP. Maelezo kutoka kwa Tewa Said Tewa.
Haya ndiyo mashtaka waliyosomewa wahusika na Mohamed Said Salum Muyukwa Semtungo. Tunayapokea mezani na kurudi kwake

Tupe ushahidi wa katiba za AA au TAA na kisha tueleze nani aliandika katiba ya TANU
 
Miaka nenda rudi nipo katika rekodi nikisema, 'tunaheshimu sana mchango wa wazee wetu kupigania uhuru'

Nimesema mara nyingi huko nyuma na hapa katika uzi huu kuwa Nyerere na Abdul ni watu wawili tofauti wakiwana sifa tofauti. Kumfanya Nyerere dhalili ili Abdul an'gare si sahihi na wala kumfanya Nyerere ni zaidi ya Abdul si sahihi. Hawa watu ni tofauti na wana michango tofauti

Mohamed kasoma mashtaka kuhusu akina Kleruu na Kivukoni. Tumeyapokea
tunamuuliza ushahidi wa mashtaka hayo ni upi?

Jibu: Abdul alisema, Tewa alisema. Huo si ushahidi

Katika kuhakikisha anaondoa mchango wa Nyerere, Mohamed anasema alinukuu katiba ya Nkrumah

Hata juzi Prof apalamagamba alisema tumenukuu baadhi ya sheria za madini kutokana nchi alizotaja

Bunge letu linafuata mfumo wa west mister ambao tumenukuu. Hilo si kosa
Kosa ni Nyerere kuandika katiba kwa kunukuu, kana kwamba alitakiwa aje na kitu kipya duniani

Katiba za dunia zinategemeana hubadilika kutokana na mazingira
Katika kufifisha hoja, Mohamed anasema katiba ilikuwepo kabla ya Nyerere kupitia sub commmittee

Katiba anayosema eti 'ilinyofolewa'

Ndipo tunakuja na maswali, nani aliandika, lini na ilitumika wapi

AA na TAA zilikuwa na katiba ipi, nani aliandika na ilitumika wapi
Kabla ya Nyerere nani mwingine aliandika au kunukuu katiba

Maswali hayo ana majibu yake, tatizo ni kutotaka kusema ukweli
Ukweli kwake ni maneno ya Abdul. Kwa watu wanaotumia vichwa hiyo ni ngano na tamthilia
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
Haya ndiyo mashtaka waliyosomewa wahusika na Mohamed Said Salum Muyukwa Semtungo. Tunayapokea mezani na kurudi kwake

Tupe ushahidi wa katiba za AA au TAA na kisha tueleze nani aliandika katiba ya TANU
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
Jackline,
Kuna tofauti kati ya mjadala wa heshima na ufedhuli.

Mtu mwenye hasad katika roho yake huwa hajifichi vile vitu vinavyochoma
moyo wake huwa anavidhihirisha.
Ha ha ha ha, Mkuki!

Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.

Hoja zipo pale pale zinasimama kama zilivyo na jamvi lipo kimyaaa linamsubiri mzee aje atanabahishe

Katiba ya AA au TAA na nani kaandika ya TANU.Period
 
Watu hawaihitaji ngano, tamthilia au ngonjera

Ukumbi upo kimyaa unakusubiri ueleze kwa mujibu wa kitabu chako na tuhuma kwa wengine

1. Wanaosema AA na TAA havikuwa vyama vya siasa rasmi wanakosea wapi?

2. Kabla ya JK Nyerere kuandika katiba, kuna nani mwingine aliwahi kufanya hivyo?

3. Kabla ya Mwalimu, AA na TAA zilitumia katiba gani, iliandikwa na nani na lini

Hapo ndipo umma ulipo, watu wametulia ukumbini,wanakusubiri mhadhiri utoe neno
hapa hawezi kurudi na akija hawezi jibu ataanza ngano zake!
 
hapa hawezi kurudi na akija hawezi jibu ataanza ngano zake!
Bandiko 207 au 264 nimenukuu mashtaka ya Mohamed dhidi ya wenzake halafu nikauliza haya
Mohamed it's simple, jibu hoja tuendelee. Maswali ya kujirudia ni kwasababu hutaki yajirudie, na pili huna majibu ya kutosha na hivyo hutaki kuyasikia

Kabla ya Mwalimu Nyerere ni katiba gani ilikuwepo, na kama haikuwepo wanaosema vyama vilikuwa 'vilabu' ambayo wewe unasema si kweli, wanakosea wapi?

Sina maana wapo sahihi, bali kuna nadharia mbili, wanaosema AA na TAA vilikuwa vilabu vya siasa na wanaosema vilikuwa vyama vya siasa kama wewe

Ili kupata ukweli wa makundi hayo mawili, inatubidi tufante 'test' ya nadharia hizo

1. AA na TAA zilikuwa na wanachama ambao tunawajua viongozi wao na wanachama wao
Hili linatueleza mikusanyiko ya wanachama hao ilikuwa na 'common interest'

Makundi yote mawili yanakubaliana na hilo.

2. Je, mikusanyiko hiyo ya wanachama ilikuwa na viongozi?
Makundi yote mawili yanakubaliana kwasababu alikuwepo Kleist, Abdul n.k. kwa ushahidi

3. Je, viongozi hao walikuwa na miongozo ya jumuiya au mikusanyiko yao?
Hapa ndipo suala la katiba linaingia

Tujiulize,AA au TAA zilikuwa na katiba? Kama zilikuwepo nani aliandika? Kama hazikuandikwa zilinukuliwa na nani na kutoka wapi? Katiba hizo zilitumika wakati gani?

TANU ilikuwa na katiba? Nani aliandika au kunukuu katiba yake? Ilikuwa mwaka gani na chini ya uongozi wa nani?

Kwa mantiki ya maswali hayo ya MSINGI, inabidi turudi kwa mzee wetu wa Cambridge utusaidie kujenga hoja zenye ushahidi na si hadithi au mantiki za kuunganisha

Karibu sana mzee Said
 
Ha ha ha ha, Mkuki!

Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.

Hoja zipo pale pale zinasimama kama zilivyo na jamvi lipo kimyaaa linamsubiri mzee aje atanabahishe

Katiba ya AA au TAA na nani kaandika ya TANU.Period
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
Jackline,
Kuna tofauti kati ya mjadala wa heshima na ufedhuli.

Mtu mwenye hasad katika roho yake huwa hajifichi vile vitu vinavyochoma
moyo wake huwa anavidhihirisha.
Hizi ni jitihada za kufifisha mada ili usikabiliane na ukweli

Unajitahidi sana suala hili liishie, haisaidii

Jibu hoja, yes ...pants down!
 
'...Pants down'' ni msemo si tusi. Wewe ni translator kumbuka?
Unaposema kuna husda ni ''ego'' haina maana ni tusi ndiyo maana sijalalamika kwa hilo

Jibu hoja
1. Nani aliandika katibna ya TANU
2. AA au TAA zilikuwa na katiba ipi, iliandikwa na nani na mwaka gani
3. Kabla ya Nyerere nani aliandika katiba ya chama

Huwezi kuwasomea watu mashtaka ya uongo ukiwa huna ushahidi
Jibu hoja, usikimbie kimbe kama huna kaa kimya

Nilikutahadrisha kuhusu kuweka watu wawili katika mizani, Nyerere na Abdul. Unaona unavyotaabika

Jibu hoja, usisubiri kurasa zisonge hoja zififie. Jibu hoja

Unatuletea picha ukiwa etudi ukidhani tutasahau hoja, no way. Jibu hoja
bravo nguruvi3,mzee wa ngano kakimbia!
ukweli utamuweka huru!
 
bravo nguruvi3,mzee wa ngano kakimbia!
ukweli utamuweka huru!
Mtanganyika,
Hakika nimekimbia ulipokuwa mjadala tumejadili.
Zilipoingia kejeli, hamaki na matusi kama kawaida yangu nimekimbia
kutoka uwanja wa zomea zomea kama zinavyoonekana hapo chini:
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
mzee wa ngano kakimbia!
Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.
 
bravo nguruvi3,mzee wa ngano kakimbia!ukweli utamuweka huru!
Ni mzuri sana wa kubadili hoja.
Akielemewa utasikia anaingiza picha na maelezo mareefu kupoteza wasomaji

Hoja ya kwamba katiba ya TANU iliandikwa anaigeuza
Anasema Nyerere alipokea wapi uongozi ikiwa TAA haikuwa chama cha siasa

Yes inaweza kuwa ni chama cha siasa lakini hakikuwa na muongozo ambao ni katiba
Kuwa na mkusanyiko hakutoshi kuwa chama hata zama hizi. Ni lazima msajili apewe muongozo

Ndio maana wapo waliohoji kama vilikuwa vyama vya siasa kweli.
Ili kupata uthabiti wa nini kilitokea anayewapinga anapaswa kutuonyesha kwa ushahidi ilikuwa abcd

Kutuaminisha tu Abdul alisema, kisha kugeuza kibao na kusema ni Tewa, ni kubabaika
Hatuwezi kuwa na ushahidi wa maneno ya 'alisema'

Kwamba kulikuwa na sub committee iliyofanya kazi ya kuandika katiba ni jitihada za kuonyesha Nyerere si lolote si chochote kama alivyowahi kusema siku za nyuma

Nyerere kupokea uongozi halikuwa kosa, transformation ya chama ilikuwa muhimu sana
 
Mtanganyika,
Hakika nimekimbia ulipokuwa mjadala tumejadili.
Zilipoingia kejeli, hamaki na matusi kama kawaida yangu nimekimbia:
Unadhani unayo haki ya kejeli kuita wenzako mafedhuli, huna haki ya kupewa misemo ya kawaida kabisa katika lugha '...pants down' Hilo si tusi Mfasiri wetu
Ni lugha

Umekimbia hoja rudi hapa vijana wanakusubiri, wametunduwaa !
 
Unadhani unayo haki ya kejeli kuita wenzako mafedhuli, huna haki ya kupewa misemo ya kawaida kabisa katika lugha '...pants down' Hilo si tusi Mfasiri wetu
Ni lugha

Umekimbia hoja rudi hapa vijana wanakusubiri, wametunduwaa !

vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
mzee wa ngano kakimbia!
Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.
Nacheka sana nikifikiria kama vikombe na glasi zipo salama hapo nyumbani.

 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
mzee wa ngano kakimbia!
Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.
Mashallah, 'kisu kimegusa mfupa' imekuchoma kuliko husda uliyosema ninayo
Nacheka sana nikifikiria kama vikombe na glasi zipo salama hapo nyumbani.

Yote ni heri, kilichosimama mbele na ambacho wengi wanataka kusikia majibu ni hiki
Mohamed it's simple, jibu hoja tuendelee. Maswali ya kujirudia ni kwasababu hutaki yajirudie, na pili huna majibu ya kutosha na hivyo hutaki kuyasikia

Kabla ya Mwalimu Nyerere ni katiba gani ilikuwepo, na kama haikuwepo wanaosema vyama vilikuwa 'vilabu' ambayo wewe unasema si kweli, wanakosea wapi?

Sina maana wapo sahihi, bali kuna nadharia mbili, wanaosema AA na TAA vilikuwa vilabu vya siasa na wanaosema vilikuwa vyama vya siasa kama wewe

Ili kupata ukweli wa makundi hayo mawili, inatubidi tufante 'test' ya nadharia hizo

1. AA na TAA zilikuwa na wanachama ambao tunawajua viongozi wao na wanachama wao
Hili linatueleza mikusanyiko ya wanachama hao ilikuwa na 'common interest'

Makundi yote mawili yanakubaliana na hilo.

2. Je, mikusanyiko hiyo ya wanachama ilikuwa na viongozi?
Makundi yote mawili yanakubaliana kwasababu alikuwepo Kleist, Abdul n.k. kwa ushahidi

3. Je, viongozi hao walikuwa na miongozo ya jumuiya au mikusanyiko yao?
Hapa ndipo suala la katiba linaingia

Tujiulize,AA au TAA zilikuwa na katiba? Kama zilikuwepo nani aliandika? Kama hazikuandikwa zilinukuliwa na nani na kutoka wapi? Katiba hizo zilitumika wakati gani?

TANU ilikuwa na katiba? Nani aliandika au kunukuu katiba yake? Ilikuwa mwaka gani na chini ya uongozi wa nani?

Kwa mantiki ya maswali hayo ya MSINGI, inabidi turudi kwa mzee wetu wa Cambridge utusaidie kujenga hoja zenye ushahidi na si hadithi au mantiki za kuunganisha

Karibu sana mzee Said
 
Back
Top Bottom