Nilipoteza ndugu zangu WA 4,walikuwa wanaenda Mwanza kuuza ndizi,nakumbuka ulikuwa Ni msiba mkubwa Sana pale kijijni.
Machozi hayotonikauka.
Bahati mbaya bado hatukujifunza lolote kutokana na ajali ile.
lkn maombolezo yanaendelea au ni vby
usipaniki kijana!powa basi kaparo
sijapaniki kaka acha uoga ehhhh!!!
imeandikwa wapi ka ni bongo fleva???