Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
- Thread starter
- #101
Miaka 19 leo, Mungu alaze roho za marehemu mahali pema peponi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanaodai ilikua kafara ya mkapa ctaki kuamin juu ya hilo
na kumbuka nilimpoteza mjomba Wang Aliamin abubakary kachwamba...mungu amulaze mahali pema peponi.. ameen
Pole sn mkuu. Na pole kwa wahanga wote wa kadhia hii.
Nakumbuka familia ya LutanjukaWapumzike kwa amani marehemu wote,kwakweli ni tukio la kusikitisha hasa kwa watu waliopoteza ndugu na jamaa zao katika ajali hiyo.
JK alisema atawapa meli mpya wamefikia wapi