Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Hii ajali na ile ya treni kule dodoma nadhani bado zinashikilia rekodi za juu hapa Tz.
Tena zote hizi zilisababishwa na uzembe.
Kwa bahati mbaya tangu niwe hai sijawahi kupanda treni wala meli sijui nitapata hisia gani nikija kupanda hivi vyombo😕:A S cry:
labda Tanganyika na siyo Tanzania..