Ivonya-Ngia
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 703
- 383
Swali hili ni kufuatia hali halisi iliyopo CCM, kama watu kama Kingunge Ngombale Mwiru na Juma Mwapachu, wameamua kuachana na CCM, Jee Nyerere angebaki?!.
Pasco
This is an insult,,,,Nyerere kamwe hawezi kulinganishwa na hawa uliowataja hapo. Unless utuletee wakina Hamza Mwapachu ama Oscar Kambona ama Dossa Aziz...hawa wa level hii ndugu.
Halafu yule mzee angelikuwa hai sijui fate ya "mtu wetu huyu" ingelikuwaje by now!!!!!
