Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,019
Mkuu iko hivi;
Ukawa watakuwa kwenye kampeni kama kawaida yao na wata-play zile clip za Mwal. Walizoedit kitoka kwenye hotuba zake...
Mfano;
"" watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata..wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm""
"" ccm sio Baba yangu"
"Mpinzani wa kweli atatoka ndani ya ccm""
"" chama kitakacho puuza maamudhi ya wananchi kitalia kilio na kikakosa mtu wa kukipangusa machozi ""
Zile clip za RUSHWA na UDINI hazitaguswa.....
Vice versa yake Ccm wanazigusa?