Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Abebe sasa alikuwa nayo....??? Angekuwa nayo si angekuja nayo ya kutoshaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sema kama ndo maeneo ndizi kuku eldu 5 alizingua...
Yaan kama hakua na hela angekaa kwake, huna hela nguvu ya kualika mtu unaitoa wapi jaman yaan huwa nashangaa sana. Basi tungeenda hata kula ice cream anirudishe zangu kuliko kunipeleka sehem ya misosi na hela hana na hasemi.
 
I bet utakuwa umebalikuwa sana,
Ndo maana huyo bwege alikuwa hatulii yaani haamini Kama ndo yeye yuko na mtoto mzuri.
 
Yaan kama hakua na hela angekaa kwake, huna hela nguvu ya kualika mtu unaitoa wapi jaman yaan huwa nashangaa sana. Basi tungeenda hata kula ice cream anirudishe zangu kuliko kunipeleka sehem ya misosi na hela hana na hasemi.
Ah jamani atakuwa alivutiwa sana na uzuri wako akajilipua
 
Umenikumbusha episode moja ya friends. joey kaenda date na mwanamke, kila mtu kaoda chakula chake sasa wakati wanakula yule demu akataka kuonja chakula cha joey, sii jamaa akamind. Ila huyu wako took it to the extreme
 
Unadhambi wewe🤣🤣🤣
 
Ulipatikana🤣🤣🤣
 
Wanaume wakati mwingine wanapitia magumu sana.
Hapo labda kwa hela aliyokuwa nayo alitegemea ungeagiza kiepe yai na mishikaki miwili. Na yeye angeagiza kavu na mishikaki miwili. Ulivyoagiza kuku akijichek mfukoni ikabidi aseme ameshiba.

Sema huyo kazingua, wenzake wanasemaga wameshiba na wanakaza hadi mwisho hawali. Wakitoka hapo wanaenda moja kwa moja kwa mama wa mihogo na uji[emoji1787][emoji1787]. Sasa huyo kasema kashiba halafu anakula?
 
Kumbe kelsea anapenda kuku choma na ndizi...wacha nijipange.
Ila na nyie wanawake muwe mnaoda vyakula cheap
 
Angeniambia tungetoa hela kwa pamoja tununue chakula cha kututosha wala haikua na shida. Sasa yeye kanipa uhuru wa kuagiza chochote anadai kashiba hapa ndio alipokosea. Kwanza alikuja na gari kaliii eeh kumbe hela ya msosi hakuna alooo 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…