Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kuna kaka nilikutana nae kitaan wakati nasoma kipindi hicho akaniomba tutoke siku, nikakubali .Siku imefika kanifata hao tukaondoka picha linaanza tumefika sehemu kuna vinywaji na chakula akaniambia niagize chakula haya nikajiagizia ndizi na kuku choma. Sasa nikawa nashangaa mbona yeye haagizi akaniambia yupo fresh hana njaa anakunywa tu soda.

Chakula kimekuja nimekula kiasi nashangaa mzee baba nae kasogea anakula chakula changu yaani sahani moja ila mtu mbili khaaa nikamuuliza vipi tena? Ananiambia nakula kidogo tu [emoji47] jamani. Nikamuambia basi tuagize kingine akaniambia hamna anakula kidogo tu. Nilikula kiasi tu nikaacha yeye akamalizia chote. Nilipotoka pale akawa anapiga piga simu tutoke tena nikamuambia nipo busy sina nafasi khaaa tabia gani ile.

Au ile unatoka na mtu unashangaa anakuagizia kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23] bor aaseme kuwa tuagize tutakuka wote inatosha
Ila pia inaweza kuwa hakuwa na pesa mngeshea kulipa ukaagiza nusu nyingine mle wote sio mbaya
 
Wala ila sikupendezwa kula chakula changu ili hali angeweza kuagiza chake na nilimuuliza mbona haagizi akadai hana njaa hapa ndio alinikera, hajaagiza chakula chake anakuja kula chakula changu.

Watu wengi wana tabia hiyo wachache sana
Hakuna raha kama unaenda sehem unaagiza unachotaka na kunywa unakuwa free [emoji23][emoji23] sasa wanaume wa hivyo wachache [emoji23][emoji23]
 
Au ile unatoka na mtu unashangaa anakuagizia kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23] bor aaseme kuwa tuagize tutakuka wote inatosha
Ila pia inaweza kuwa hakuwa na pesa mngeshea kulipa ukaagiza nusu nyingine mle wote sio mbaya
Angenieleza basi mapema kama hela ndogo tujue tunafanyaje, lkn mambo ya kuniambia hana njaa afu anakula chakula changu alinikwaza sana 😒
 
Mwaka 2009 wakati nipo kikazi Visiwani Zanzibar kuna mdada nilikutana nae yule dada bhana ni wa zenji ni swala tano haswa,kuna siku nipanga tukutane kwenye kamgahawa furani hivi aisee alikuja kavaa ijabu na nikabu juuu alafu ilikuwa night kiukweli nilikwazika mno tulivyoachana,

Nikamweleza sikupenda ulivyovaa wakati tuna date akaniomba nimsamehe date ya pilu ilifanyikia gest kiukweli siku hii nilimsaliti mke wangu na mwanamke wa kipemba kilichofanya nisiendelee nae tena yani tumetoka kudate faragha na nilikuwa nikipiga na withdraw ila cha kushangaza anasema ana mimba nilimblock pale pale mpaka leo hata sijuaigi yuko wapi yule binti.
Nani alikudanganya uki withdraw hutungishi mimba?
 
Acha Roho Mbaya we mmama. Mama aliona ni sehemu ya kuwatoa out watoto wake. Sema kwa kuwa jamaa alikuwa na muelekeo wa kutaka ngono ila kama ni mimi, ningeendelea nao na kufanya kama natoa sadaka hizo gharama nitakazotumia na hao watoto wa huyo mwanamke
Kweli kabisa
 
Kuna kaka nilikutana nae kitaan wakati nasoma kipindi hicho akaniomba tutoke siku, nikakubali .Siku imefika kanifata hao tukaondoka picha linaanza tumefika sehemu kuna vinywaji na chakula akaniambia niagize chakula haya nikajiagizia ndizi na kuku choma. Sasa nikawa nashangaa mbona yeye haagizi akaniambia yupo fresh hana njaa anakunywa tu soda.

Chakula kimekuja nimekula kiasi nashangaa mzee baba nae kasogea anakula chakula changu yaani sahani moja ila mtu mbili khaaa nikamuuliza vipi tena? Ananiambia nakula kidogo tu [emoji47] jamani. Nikamuambia basi tuagize kingine akaniambia hamna anakula kidogo tu. Nilikula kiasi tu nikaacha yeye akamalizia chote. Nilipotoka pale akawa anapiga piga simu tutoke tena nikamuambia nipo busy sina nafasi khaaa tabia gani ile.
Sharing is caring acha uchoyo. Kifupi alikuwa Hana hela ya kutosha kuagiza chakula cha watu wawili.
 
Sharing is caring acha uchoyo. Kifupi alikuwa Hana hela ya kutosha kuagiza chakula cha watu wawili.
Sidhani kama umenielewa. Hivi kwa mfano kama ni wewe umeamua kumtoa mtu out kwa nini usibebe pesa ya kutosha? Kama ni suala la hela kuniambia mapema aliona shida gan ? Nilichoboreka alisema kashiba hakuagiza chakula chake ila akaja kula cha kwangu yaan maana yake ni nini ata ungekuwa wewe ungefurahia?
 
Kuna kaka nilikutana nae kitaan wakati nasoma kipindi hicho akaniomba tutoke siku, nikakubali .Siku imefika kanifata hao tukaondoka picha linaanza tumefika sehemu kuna vinywaji na chakula akaniambia niagize chakula haya nikajiagizia ndizi na kuku choma. Sasa nikawa nashangaa mbona yeye haagizi akaniambia yupo fresh hana njaa anakunywa tu soda.

Chakula kimekuja nimekula kiasi nashangaa mzee baba nae kasogea anakula chakula changu yaani sahani moja ila mtu mbili khaaa nikamuuliza vipi tena? Ananiambia nakula kidogo tu [emoji47] jamani. Nikamuambia basi tuagize kingine akaniambia hamna anakula kidogo tu. Nilikula kiasi tu nikaacha yeye akamalizia chote. Nilipotoka pale akawa anapiga piga simu tutoke tena nikamuambia nipo busy sina nafasi khaaa tabia gani ile.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa kama hana helaa ulitaka afanyaje
 
Sidhani kama umenielewa. Hivi kwa mfano kama ni wewe umeamua kumtoa mtu out kwa nini usibebe pesa ya kutosha? Kama ni suala la hela kuniambia mapema aliona shida gan ? Nilichoboreka alisema kashiba hakuagiza chakula chake ila akaja kula cha kwangu yaan maana yake ni nini ata ungekuwa wewe ungefurahia?
Abebe sasa alikuwa nayo....??? Angekuwa nayo si angekuja nayo ya kutoshaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sema kama ndo maeneo ndizi kuku eldu 5 alizingua...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa kama hana helaa ulitaka afanyaje
Angekituliza , Wee Riki unajijua kabisa huna hela unalazimisha upeleke mtoto samak samaki kumbe hata hela ya juice huna huu ni uwendawazimu.
 
Back
Top Bottom