Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Uzi pendwa kama hizi huwa zinatembea sana kuliko zile za kupinga tozo.

Nawasubiri wazee wa kutunga stori za uongo na kweli waje wavamie huu Uzi. Wanatunga sasa hivi.
@mpwayunguvillage Njoo huku
[emoji23][emoji23][emoji23] wapo chimbo wanatengeneza story hii ndio JF kila mtu anastory umu
 
Niliopoa binti mmoja somewhere. Baada ya wiki mbili tukawa na appointment ya kuchakatana. Wakati tuko mezani tunapata vinywaji, akawa kama vile ana wasiwasi, akapoteza kujiamini kabisa. Nikimuuliza kuwa kama hayuko sawa, anasema nisijali yuko sawa.

Kuingia room no.47 kwa ajili ya mbususu, binti anakuwa mgumu sana kuvuliwa, kama utani nikabahatika kumvua. Nilichokiona sasa, mkuyenge wa kama nchi nne juu ya papuchi ya binti! Niliskika nikisema, "Ah Agh ah Am, ngoja kwanza,Nimesahau tissue nakuja" Suruali nilienda kuivalia kaunta, wakuu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niliopoa binti mmoja somewhere. Baada ya wiki mbili tukawa na appointment ya kuchakatana. Wakati tuko mezani tunapata vinywaji, akawa kama vile ana wasiwasi, akapoteza kujiamini kabisa. Nikimuuliza kuwa kama hayuko sawa, anasema nisijali yuko sawa.

Kuingia room no.47 kwa ajili ya mbususu, binti anakuwa mgumu sana kuvuliwa, kama utani nikabahatika kumvua. Nilichokiona sasa, mkuyenge wa kama nchi nne juu ya papuchi ya binti! Niliskika nikisema, "Ah Agh ah Am, ngoja kwanza,Nimesahau tissue nakuja" Suruali nilienda kuivalia kaunta, wakuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikumbana na kinembe kirefu. Baadhi ya wazazi (akina mama) huwavuta kisimmi watoto wao wa kike kila wanapowaogesha , wanyarwanda wengi wana viharage virefu kwasababu ya kuvutwa tangu utoto. Usipokuwa makini unaweza fikiria ni kajiuboo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
niko na mshkaji wangu kaita demu mahali pa starehe!!
jamaa alikuwa na hela siku hiyo akaona aite dem mkali huyo ili aoshe hapo.
nipo nae pale akanipa warning mapema kwamba bia ninywe za 1500 tu.ili nisimalize ela yke.

muda kidogo wakaingia mapisi mawili makali kinyama.

mi niko mkimya tuu nanyonya kilimanjaro.msela anapiga windok!
manzi wakaagiza savana mbili mbili kila 1.

jamaa kwa amri akaniambia nemda kaweke oda ya kuku pale na chips!

madem wako savana ya 12 jamaa windok3 mi kili3.msosi ukaja.

jamaa akajivunga kula kwamba ameshiba.mi nnajua hajala wala nini ni ile asionekane anapenda kula!hahaha.nikasema huyu leo nitamuoshea subiri.

Hapo nikaanza kula na wale madem huku tunapiga stori wanafurahia stori zng kinoma.jamaa ananiangalia jicho baya.hahaha mi ndo kwanza namenya tuu mapaja ya kuku.

wale mademu waligusa gusa tuu kisupa women ule msosi ukabak mwingi tuu.nikaita muhudumu aje aufunge na foil kisha aweke jikon isipoe.kwba tunakunywa tukiskia njaa tena tunauitisha.

madem wakamaliza savana zao za 16 pale wakaaga wanaenda kitchen then watatuchek mida hivi wakitoka.

wametoka pale tuu nikaita mhudum alete ule msosi.hata sijamaliza kuufungua jamaa akauvutia kwake alipiga ule msosi km katoka somalia vile.

hahahaha
Hahahaaaaa jamaa uzalendo ulimshinda
giphy.gif
 
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu. Akanipa.

Baadaye tukawa tunachat na hatimaye nikamwambia kusudio langu na kumtaka aje tupate dinner jioni tuongee vizuri. Nlijua siku hiyo ngeosha bakora. Nikawa mfukoni nina tsh 40,000 ambayo nilijua ingetosha mlo na vinywaji.

Basi nikaenda eneo husika. Baadaye akaniambia nimwelekeze nimekaa wapi. Heeeehh..... Si kaja na wenzie wengine wawili. Kila mtu akaagiza chips kuku. Ambayo mpaka hao wao tu walikuwa wanatumia 27,000 na vinywaji beer Heineken kila mtu.

Nlianza hisi kizunguzungu.maana ni wazi ile 40,000 ilikuwa inaelekea kutotosha. Mimi nikaagiza chips mishkaki mitatu. Pale mshkaki mmoja tsh 2,000 nikaona hili sasa so.

Ikabidi nifanye kama naenda washroom.nikampigia dereva wa ofisini aniletee tsh 100,000 ntamrudishia kesho. Nikarudi ndani. Baada ya kama dk 20 dereva akapiga simu nikachukue pesa nikatoka nje nikachukua sasa nikiwa na kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya.

Yule dada alifanya uswahili ambao alikuja jutia baadaye. Maana katika wale marafiki zake mmoja alikuwa mkali kuliko yeye. Nikavumilia tu siku ile. Mpaka nlipokuja mla nikaanza kumweka sawa na mwenzie. Nikamla halafu nikakaa kwake. Yule dada alikuja gundua akaumia sana. Nlimwambia ni yeye aliniletea. I hope alijifunza kitu.

2. Hii ilitokea kwa dada mmoja. Nikamweka sawa akanikubalia na kuniambia lakini aliwahi kuzaa. Nikasema haina shida. Siku nimepanga naye appointment jumamosi lunch Mlimani City. Akaniambia atakuja anikute. Kweli nikafika muda muafaka.

Nimetulia akapiga simu niende mchukua. Nikamwelekeza nilipo akadai atapenda nikamchukue. Nikaenda kumbe anataka nimlipie Taxi. Zikanitoka 20,000 za Taxi maana ubaya wa mazingira yale huwezi hata bargain. Anashuka na watoto 4. Nikashtuka. Ila i held my breath. Akawaambia haya muamkieni uncle.

Wakaja nisalimia.... Nilikwazika sana.first appointment anawaleta na akina uncles tena? Tukaenda kaa samaki samaki...yeye amekazana kupiga picha kila tukio. Ndo tumekaa anitambulisha watoto wake. Nikamwambia sawa.vikaagizwa vyakula. Nika piga hesabu kichwani nikaona haya majanga.

Nikamwambia ngoja nikanunue vocha. Sikurudi na namba yake nili block. Niliona ni mambo ya kiswahili.

Dada au Kaka ni appointment gani worse uliwahi kutana nayo huwahi isahau?
Nakumbuka wakati niko chuo first year Jiji la miamba,kuna kamanzi nilikuwa nakasarandia sumbuana wee Mara kakubali tutoke dinner.
Tumefika bar ita mhudumu Mimi nikaagiza grandmalt yule dada kaagiza Kilimanjaro nikajua ni maji kumbe biereee[emoji28].
Mhudumu kaleta nashangaa ni bia 4 kwa mpigo aisee sikumdhania kama anakula ulabu. Tulikunywa na kula baadae nikaaga kwenda chooni nikampigia simu roommate wake kumuelezea ya huku akasema usishangae huwa anamaliza hata bia 10[emoji86][emoji86][emoji86]. Alivyolewa Sasa akaanza kunisumbua niende Kaa dj kumuomba aweke wimbo wa PEKECHAPEKECHA ulioimbwa na band ile ya zamani ilivyokuwa chini ya Christian Bella.
Nilivyomrudisha kwake nikamblock kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimewahi omba date na dem mmoja tukiwa chuo 3rd year.

Akanikubalia...tukapanga location akasema kuna location anaijua ni nzuri na atakua comfortable.

Siku naenda namkuta yupo na mshkaji mmoja, akanitambulisha ni boyfriend wake ...wakaanza kunipa lecture ya Network Marketing.

Niliwaaga naenda washroom, sikugeuka tena
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Nipe iyo chance mimi

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Nimewahi omba date na dem mmoja tukiwa chuo 3rd year.

Akanikubalia...tukapanga location akasema kuna location anaijua ni nzuri na atakua comfortable.

Siku naenda namkuta yupo na mshkaji mmoja, akanitambulisha ni boyfriend wake ...wakaanza kunipa lecture ya Network Marketing.

Niliwaaga naenda washroom, sikugeuka tena
🤣🤣🤣
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Dadeqqqqqq .......Kama ndama!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooo uwiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kipindi nipo Chuo siku hiyo kulikua na vimanyunyu nilitoka kwa mguu toka off-campus mpaka chuoni, mwendo kama dakika 15 hivi kumfuata mrembo na muda wote tunawasiliana na bibie.

Kufika namshtua nimefika anachungulia nje anaona vimanyunyu anasema hataweza kuja kuniona sababu ya mvua nywele zake zitaloa. Najaribu muelewesha lakini haelewi palepale nikamblock na kurudi zangu mdogo mdogo maghettoni, safari ya kurejea ilikua ndefu hiyo njia nzima nasonya na kutukana [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo shangazi alitimba na familia kabisa
 
1. Baada ya kunitafuta sana nikaona nimsikilize hata na hivyo nilikuwa bored! Tukapanga siku ya kuonana, cha kushangaza jamaa anang’ang’ania tuonane kuanzia saa5 usiku maana ndo ana muda (anakuwa katoka kazini) na sio kwamba tunaenda kwake au sehemu ya kificho. Nikasema sawa! Siku ya date nimejiandaa vizuri, baada ya kumuelekeza sana mpaka nilipo, hatimaye kufika na kuniambia yuko nje tayari! Kutoka nakuta kaja na eicher (daladala ya tegeta gerezani nadhani). Mhh nikatamani kutoa sababu ya uongo nirudi ndani ila jamaa akawa kama kitu cha kawaida mbona na amechangamka sana nikasema anyway na kujiandaa kote huku wacha niende tu!
Tukaelekea sehemu ya karibu tu maana sikutaka kwenda mbali na ile daladala! Kufika sehemu na baada ya kukaa huku nikitaka kumuuliza maswali mawili matatu, ghafla ananiambia mbona bado unatafuna big g? Nikamjibu si naweka mdomo fresh tu! Ghafla nashangaa mtu katoa kalamu na karatasi ‘minus 1’ yaani kwenye marks zangu keshapunguza moja! Ndipo nikajua nipo na chizi baada ya hapo nilimlima block[emoji18]
🤣🤣🤣🤣 Huyo alikuwa kiboko.... Akili yake itakuwa iliwahi pata dhoruba... So alikuwa ana ku examine?🤣🤣🤣 Nitachukua hii mbinu yake siku moja.
 
Back
Top Bottom