Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na usikute wewe ndiye ulimpa hiyo hela ya salon 🤣🤣🤣Kipindi nipo Chuo siku hiyo kulikua na vimanyunyu nilitoka kwa mguu toka off-campus mpaka chuoni mwendo kama dakika 15 hivi kumfuata mrembo muda wote tunawasiliana na bibie.
Kufika namshtua nimefika anachungulia nje anaona vimanyunyu anasema hataweza kuja kuniona sababu ya mvua nywele zake zitaloa. Najaribu muelewesha lakini haelewi palepale nikamblock na kurudi zangu mdogo mdogo maghettoni, safari ya kurejea ilikua ndefu hiyo njia nzima nasonya na kutukana 😂😂😂
Mtoto akija kufanikiwa ndio utataka uwe baba au sio?Mwaka 2009 wakati nipo kikazi Visiwani Zanzibar kuna mdada nilikutana nae yule dada bhana ni wa zenji ni swala tano haswa,kuna siku nipanga tukutane kwenye kamgahawa furani hivi aisee alikuja kavaa ijabu na nikabu juuu alafu ilikuwa night kiukweli nilikwazika mno tulivyoachana,
Nikamweleza sikupenda ulivyovaa wakati tuna date akaniomba nimsamehe date ya pilu ilifanyikia gest kiukweli siku hii nilimsaliti mke wangu na mwanamke wa kipemba kilichofanya nisiendelee nae tena yani tumetoka kudate faragha na nilikuwa nikipiga na withdraw ila cha kushangaza anasema ana mimba nilimblock pale pale mpaka leo hata sijuaigi yuko wapi yule binti.
Mimi tatizo huwa linalonikumba ni mawazo tu ya pesa nilizotumia kwenye date yaani kesho yake huwa nakosa raha sana!,ndio nikapata mbadala wake kwamba dating zote ziwe ghetto kwangu kuepuka gharama
Simulia tu date yetu usicheke😂😂😂😂😂
Mi nilikuwa nadhani ni demu sikuzoteAisee kwa comment hi leo ndio nimeamini wew Ni janaume aise chii
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂 Ya kwetu inatisha mno kusimulia usiku huu subiri kukuche kwanza🤣🤣Simulia tu date yetu usicheke
Security Guards😂😂Mi nilichogundua, sometime Hawa mademu huja na wenzao kwenye first date Ili kukwepa wasisukumiwe square pipe tu
[emoji3][emoji3][emoji3] et mambo mengine vipHahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.
Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.
Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.
Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.
Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.
Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23]kunawatu wanatafuna kama manyani[emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana,inshort you have made my day.Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.
Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.
Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.
Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.
Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.
Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Hawa viumbe kama hajakuelewa wana vitimbi sanaNa usikute wewe ndiye ulimpa hiyo hela ya salon 🤣🤣🤣
Mambo mengine vipi lakini mtoto mzuri?[emoji2][emoji2]Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.
Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.
Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.
Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.
Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.
Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Duh, mbona date zako za kiswahili sana. Mara upunguziwe maksi, mara keki nusu. Unawatoa wapi hao jamaa?2. Siku ya birthday yangu! Tumeenda date sehemu akaniletea cake! Kufungua keki tayari imekatwa nusu, kuumuuliza akasema nyumbani kwao wamekata! Nikasema sio case, tukakata pale kidogo na kuendelea kula chakula kingine! Muda wa kuondoka nashangaa anaibeba keki yote! Vipi???? Eti anawapelekea ofisini kwake!!!! Eeh kwakweli kuna vitu vinashangaza, nae alikula block
3. Huyu alikuwa kawaida tu! Siku tunatembea ‘evening walk’ kuna watoto wakawa wanacheza wakikimbizana huku na huku na kule! Wakawa kama wanatusumbua lakini si ni watoto who cares??? Eeh mwenzangu uvumilivu ukamshinda akampiga mtoto mmoja kwenzi zito sana. Mimi na watoto wengine ikabidi tumshangae, huku aliyepigwa akilia! Jamaa hana habari. Kwakweli baada ya tathmini baadae nikaona nimblock tu.
Duh, mbona date zako za kiswahili sana. Mara uounguziwe maksi, mara keki nusu. Unawatoa wapi hao jamaa?