Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Ungeagiza kingine hakika kuna kitu angejifunza na ungekuwa umempiga pigo takatifu.Nyie sijui hamsomi mkaelewa, kuna sehemu hapo nimesema nilimuambia aagize chakula chake akagoma akidai kashiba asa ningefanyaje zaidi? Ungekuwa ni wewe ungefanyaje?
😂😂😂😂😂😂 Kelsea kamindDuh umeshikilia hio 'chakula changu' kila post. Huyo jamaa hakuwa na hela ya kutosha na hakuwa na confidence ya kukwambia ungekausha tu chakula sio big deal.
Unadhan ni rahisi kuwa open?hapo anawaza sijui utamkubali mengi yanachanganyikana kichwani😂😂😂 Labda aliazima. Kiukweli hawa kaka zetu wanapitiaga magumu lakini sasa bora wawe wakweli usijikaushe kumbe hali ni mbaya. Unampa mtu uhuru aagize mazaga zaga kumbe mfuko hausomi.
Sasa umeelewa maana yangu.Hivi unamtoaje mtu out halafu huna kitu si mambo ya kutafutiana lawama hayo,kama huna kitu kausha tumia mbinu mbadala.
Hivi unamtoaje mtu out halafu huna kitu si mambo ya kutafutiana lawama hayo,kama huna kitu kausha tumia mbinu mbadala.
Heee hichi ni kiswahili au kingazija??nilimkimbia mjeshi akiwa kambi ya airwing ukonga, nilijuana nae marafiki dot.com, mwembamba sio mzuka kimvuto alinikubali kinoma, nikapiga hesabu mjeda nikaona kwata kwata sitaki square, siku akiniona nahisi atanibaka nilima denda hadi alikojoa, nilimla kipakistan facebook nimemblock, kifungo kinakaribia kuisha nimsahe soon
We acha tu... Sasa nikikaa na mtoto sina maneno. Stories zimekata inabidi nijibizishe tu na kulalamika hawa wahudumu hawajielewi n.k halafu yeye katulia tu kimya...🤣🤣🤣🤣🤣Sipati picha chumvi ingezid kidogo kwenye chakula ungehamia jikoni kabisa kupoteza mda😂😂
Huna hela unamtoaje mtu out? Si utulie kwako.Aagize chakula chake wakati hana hela mfukoni (hela haitoshi)?
Angekua na uhakika gani kama ungekua tayari kumlipia!!
Sisi wanaume tunapitia changamoto sanaAh jamani atakuwa alivutiwa sana na uzuri wako akajilipua
Hiyo ndo mbinu yangu nikiwa sina kitu tutapika wote nitanunua na wine hapo nakuwa nime balance mambo.Unamuita Home mnapika pamoja mnaenjoy eti
Yupo gwarideHeee hichi ni kiswahili au kingazija??
Kabisa kama kidume huna hela kaa ndani ukune pumbuz zako.....raha ya kumtoa demu out ni uwe umejaa mihela kwanza full confidence alafu demu awe huru kuorder kitu chochote.Huna hela unamtoaje mtu out? Si utulie kwako.
Hahahaha [emoji23] ....Hahaha me nilimvusha demu getoo ile nimemvua kila kitu nataka nikutanishe vikojoleo akapandisha mapepo, aisee siwezi sahau ile siku
Haha wanaume tunapitia mengii[emoji23]Mwaka huu tu nlifanikiwa kupata appointment na demu moja zuri sana. Twende Hotel flani. Siku hiyo kiukweli sikuwa vizuri sana mfukoni nina 100,000 but demu nimemuimbisha karibia mwaka mzima. Siku hiyo akanitext kuwa anajisikia hamu ya kuwa nami.
Nikamwambia afumbe macho a imagibe nipo naye. Akanijibu "mi nilifikiri utaniambia njoo sehemu flani tuonane" hapo moyo ukashtuka maana huyu demu alikuwa hataki nimchape nao. Siku hiyo ananiambia hivyo. Nikajua ni suala la kuonana tu... Nikamuuliza sasa tutakutana wapi. Restaurant gani?
Akaniambia hataki sehemu ya nje. Anataka pia alale kidogo.....daaah hapo nakumbuka nilirusha ngumi hewani.... Haraka nikamwambia navaa awe tayari....
Haraka nikatia funguo gari kuanza tafuta kiwanja tulivu. Basi nikaenda mitaa flani Kinyama kuna hotel kule. Nikachukua chumba cha 50,000 ili 50,000 nyingine tupige msosi na vinywaji baridi.
The akaniambia nikamchukue maana hatotumia gari yake na hataki Uber wala Bolt sababu atatota amevaa dela tu bila kitu kingine. Nikazidi changanyikiwa aisee.....
Nikaenda mchukua nikaja naye uwanjani. Nikawa nmemwambia aelekee reception watampeleka room. Mi nikabaki kwanza kwenye gari ili nisiongozane naye ndani. Kumbe kule wakampeleka ile room hakuipenda ipo ground floor na hakupenda kuna kelele karibu na restaurant.
Akawaambia wampeleke sehemu nyingine wakampeleka ghorofani.akasema huko ndo atasettle. Mi nafika naambiwa mgeni wako kaenda floor flan room namba. Kule ulikochukua mwanzo amekataa...nikajibu sawa nataka kuondoka...mhudumu ananiambia inatakiwa niongeze tsh 20,000 kule juu ni tsh 70,000. Moyo ukashtuka. But nikapiga moyo konde. Nikampa nikabakiwa na tsh 30,000.
Nikapanda lift hadi room. Nikamkuta amejilaza ananisubiri. Huwezi amini mwanzoni mashine ilipatwa na mshtuko. Haikusimama. Kama nusu saa hivi imelala tu. Sikuwahi kutana na incedent kama hiyo maishani. Yeye nimemchezea kaloana kinyama.yaani hata kwa kidole tu anamaliza.
Nikamwambia nimepatwa na mfadhaiko aniache akili ikae sawa. Basi tukaanza stories za kawaida na kusahau tukio. Mashine ikasimama kwa hasira zote. Nilimsugua kinyama...bonge la jidada lenye uzito wa 140ks plus nli enjoy lilikuwa na mzuka kinyama. Mpaka namaliza game ya kwanza....linafurahi. njaa sasa inauma na kiu.
Kupiga simu kuuliza nikapewa Menu iliyopo kuliuliza linadada linataka Chips Makange kuku wa Kienyeji nusu. Kuuliza bei. Naambiwa tsh 25,000 za Kitanzania.... Nikashusha pumzi ndani kwa ndani. Nikamuagizia.
Kikaletwa chakula na juice glass tsh 3,000 imagine nimebaki na tsh 2,000 mfukoni. Akaniuliza why sijaagiza chakula....nikamwambia mi nlitaka maini roast na wali ila wanasema maini mpaka wafuate butchan na mchele ndo waanze kuandaa.
Lidada likawa linakula....but halikuwa lichomo maskini. Likawa lianikatia kipande kidogo linanilisha kwa upendo. Nakataa ...hku nikipewa nakula kupoza hasira ya minyoo tumboni. Maana nayo ilichachamaa kinyama.
Hatimaye likamaliza kula...second game nikaingia kufanya mchakato....nikiwa na njaa.... Nikapiga show vizuri kwa kutimia uzoefu sikumaliza. Ila nikajidai nimemaliza.
Imefika saa 12 jioni inabidi kupiga tena show ya kuagana. Kumbuka nina njaa toka nimepata bfast asubuhi. Na ni lidada hasa so inabidi mimi nihangaike mpaka lenyewe likojoe....ile game ya mwisho wallaah nilikojoa upepo tu.... Nlikuwa nimechoka kinyama...miguu inatetemeka najikaza. Lenyewe ndo likalala hapo hapo....hoi... Nikanywa maji mengi sana.
Mpaka tunaondoka...mimi njaa inauma lenyewe lime enjoy linafuraha nami nusu nafurahi kula ule mzigo kabambe nusu nina huzuni kiafya...sipo poa....
Nashukuru bidada alifurahia sana show...nami nlikula mzigo ambao nimeukimbizia muda mrefu sana....sana.
Juzi juzi hapa nikaliambia....maskini mdada alisikitika sana....baadaye akaanza kunicheka na kunitania....ulitaka nifia kifuani we nyau... But angalau na miili nayo husaidia .....maana nami ningekuwa na mwili mdogo....wallah kingenipata kitu.
Daah mkuu ulikaza kweli. Mimi siwezi piga show nzito kama nina njaa, yan mwili psychologically unakataa kabisa hata nifanyaje.Mwaka huu tu nlifanikiwa kupata appointment na demu moja zuri sana. Twende Hotel flani. Siku hiyo kiukweli sikuwa vizuri sana mfukoni nina 100,000 but demu nimemuimbisha karibia mwaka mzima. Siku hiyo akanitext kuwa anajisikia hamu ya kuwa nami.
Nikamwambia afumbe macho a imagibe nipo naye. Akanijibu "mi nilifikiri utaniambia njoo sehemu flani tuonane" hapo moyo ukashtuka maana huyu demu alikuwa hataki nimchape nao. Siku hiyo ananiambia hivyo. Nikajua ni suala la kuonana tu... Nikamuuliza sasa tutakutana wapi. Restaurant gani?
Akaniambia hataki sehemu ya nje. Anataka pia alale kidogo.....daaah hapo nakumbuka nilirusha ngumi hewani.... Haraka nikamwambia navaa awe tayari....
Haraka nikatia funguo gari kuanza tafuta kiwanja tulivu. Basi nikaenda mitaa flani Kinyama kuna hotel kule. Nikachukua chumba cha 50,000 ili 50,000 nyingine tupige msosi na vinywaji baridi.
The akaniambia nikamchukue maana hatotumia gari yake na hataki Uber wala Bolt sababu atatota amevaa dela tu bila kitu kingine. Nikazidi changanyikiwa aisee.....
Nikaenda mchukua nikaja naye uwanjani. Nikawa nmemwambia aelekee reception watampeleka room. Mi nikabaki kwanza kwenye gari ili nisiongozane naye ndani. Kumbe kule wakampeleka ile room hakuipenda ipo ground floor na hakupenda kuna kelele karibu na restaurant.
Akawaambia wampeleke sehemu nyingine wakampeleka ghorofani.akasema huko ndo atasettle. Mi nafika naambiwa mgeni wako kaenda floor flan room namba. Kule ulikochukua mwanzo amekataa...nikajibu sawa nataka kuondoka...mhudumu ananiambia inatakiwa niongeze tsh 20,000 kule juu ni tsh 70,000. Moyo ukashtuka. But nikapiga moyo konde. Nikampa nikabakiwa na tsh 30,000.
Nikapanda lift hadi room. Nikamkuta amejilaza ananisubiri. Huwezi amini mwanzoni mashine ilipatwa na mshtuko. Haikusimama. Kama nusu saa hivi imelala tu. Sikuwahi kutana na incedent kama hiyo maishani. Yeye nimemchezea kaloana kinyama.yaani hata kwa kidole tu anamaliza.
Nikamwambia nimepatwa na mfadhaiko aniache akili ikae sawa. Basi tukaanza stories za kawaida na kusahau tukio. Mashine ikasimama kwa hasira zote. Nilimsugua kinyama...bonge la jidada lenye uzito wa 140ks plus nli enjoy lilikuwa na mzuka kinyama. Mpaka namaliza game ya kwanza....linafurahi. njaa sasa inauma na kiu.
Kupiga simu kuuliza nikapewa Menu iliyopo kuliuliza linadada linataka Chips Makange kuku wa Kienyeji nusu. Kuuliza bei. Naambiwa tsh 25,000 za Kitanzania.... Nikashusha pumzi ndani kwa ndani. Nikamuagizia.
Kikaletwa chakula na juice glass tsh 3,000 imagine nimebaki na tsh 2,000 mfukoni. Akaniuliza why sijaagiza chakula....nikamwambia mi nlitaka maini roast na wali ila wanasema maini mpaka wafuate butchan na mchele ndo waanze kuandaa.
Lidada likawa linakula....but halikuwa lichomo maskini. Likawa lianikatia kipande kidogo linanilisha kwa upendo. Nakataa ...hku nikipewa nakula kupoza hasira ya minyoo tumboni. Maana nayo ilichachamaa kinyama.
Hatimaye likamaliza kula...second game nikaingia kufanya mchakato....nikiwa na njaa.... Nikapiga show vizuri kwa kutimia uzoefu sikumaliza. Ila nikajidai nimemaliza.
Imefika saa 12 jioni inabidi kupiga tena show ya kuagana. Kumbuka nina njaa toka nimepata bfast asubuhi. Na ni lidada hasa so inabidi mimi nihangaike mpaka lenyewe likojoe....ile game ya mwisho wallaah nilikojoa upepo tu.... Nlikuwa nimechoka kinyama...miguu inatetemeka najikaza. Lenyewe ndo likalala hapo hapo....hoi... Nikanywa maji mengi sana.
Mpaka tunaondoka...mimi njaa inauma lenyewe lime enjoy linafuraha nami nusu nafurahi kula ule mzigo kabambe nusu nina huzuni kiafya...sipo poa....
Nashukuru bidada alifurahia sana show...nami nlikula mzigo ambao nimeukimbizia muda mrefu sana....sana.
Juzi juzi hapa nikaliambia....maskini mdada alisikitika sana....baadaye akaanza kunicheka na kunitania....ulitaka nifia kifuani we nyau... But angalau na miili nayo husaidia .....maana nami ningekuwa na mwili mdogo....wallah kingenipata kitu.