Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Unajua tunafeli pale tunaposhindwa kuongea unapopanga kukutana na mtu unayehitaji jambo na yeye muulize utakuja mwenyewe au na wenzako Majibu yake yatakupa uwanja wa wewe kukubali aje nao au umkatalie ila vijana wengi wanaona kama kuuliza ni kujiweka daraja la chini.

Nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa nipo chuo nilipanga kukutana na mwanamke mmoja na nilimuuliza kama atakuwa mwenyewe au na wenzake na akanijibu atakuwa mwenyewe nikamwambia sawa, basi kesho yake nikafika sehem ya makutano nikaendelea kupiga vinywaji alipofika alikuwa mwenyewe ila baada ya muda akaita rafiki zake wawili nikawakaribisha vizuri sikuwa vibaya mfukoni nikawahudumia wote vinywaji na chakula wakati tunaendelea kupata chakula stor za hapa na pale nikamgeuzia kibao nkamwambia mbele ya rafiki zake kulikua na maana gani ya mm kupanga kukutana na ww tuwe wawili alaf uite rafiki zako hakuwa na majibu ila kuna rafiki yake anaonekana ana akili sana akaniambia shemeji samahani hatukujua kama mliplan kuwa wawili maana hajatuambia na yeye ndio katuita akiwa njiani mm nkawaelezea mazingira yote jinsi tulivyopanga kukutana na wale rafiki zake wakamwambia pale pale hakukua na haja japo shemej katuhudumia vizur ila angekua mtu mwingne angetukimbia nikawaambia bas mm nshasuuza nafsi yangu siku nyingine unaplan kukutana na mtu ni vyema ukazingatia makubaliano akawa amejiskia vibaya akaanza kulia akatoka na mwenzake mmoja akabaki yule mwenye akili Nkaomba namba hakusita kunipa na akaniambia napenda mwanaume anaeweza kujieleza bila kujali ataonekana vipi mbele za wanawake bas next time nkamtoa huyo rafiki mtu akaja peke yake na nikabadili gia juu kwa juu mjinga akaachwa penzi likanoga kwa rafiki mtu na yule dada alinipenda kwakua niliweza kuongea ukweli na kuwa muwazi
Kibabe sana
 
Kuna kaka nilikutana nae kitaan wakati nasoma kipindi hicho akaniomba tutoke siku, nikakubali .Siku imefika kanifata hao tukaondoka picha linaanza tumefika sehemu kuna vinywaji na chakula akaniambia niagize chakula haya nikajiagizia ndizi na kuku choma. Sasa nikawa nashangaa mbona yeye haagizi akaniambia yupo fresh hana njaa anakunywa tu soda.

Chakula kimekuja nimekula kiasi nashangaa mzee baba nae kasogea anakula chakula changu yaani sahani moja ila mtu mbili khaaa nikamuuliza vipi tena? Ananiambia nakula kidogo tu [emoji47] jamani. Nikamuambia basi tuagize kingine akaniambia hamna anakula kidogo tu. Nilikula kiasi tu nikaacha yeye akamalizia chote. Nilipotoka pale akawa anapiga piga simu tutoke tena nikamuambia nipo busy sina nafasi khaaa tabia gani ile.
😅😅😅😅
 
Uzi pendwa kama hizi huwa zinatembea sana kuliko zile za kupinga tozo.

Nawasubiri wazee wa kutunga stori za uongo na kweli waje wavamie huu Uzi. Wanatunga sasa hivi.
@mpwayunguvillage Njoo huku
🤣🤣🤣🤣🤣
 
ile nimeshamuandaa nimemuweka kifo cha mende naingiza mkomboti kudaadeq nilikula teke ya kifua nikaangukia kwenye vyombo vikalia palangwachalalalaaa yeeeewooooooomiii nikainuka nikiwa nishanywea hata mzuka wa kumkanda ckuw nao tena nikamwambia vaa tuondoke
😅😅😅😅
 
Nilipeleka date wale wanaojiita mamodo wa insta, alikuwa akipiga picha mwanzo mpaka mwisho huku akifanya editing, akanigeuza mpiga picha wake, nafikiri nilichukua zaidi ya picha mia na niliulizwa ipi nzuri kwa kila picha iliyochukuliwa siku ile, mtaalam ilibidi nicheke tuu maana hata hasira ilikuwa useless nikaishia kupiga scotch zisizo na idadi
 
Nilipeleka date wale wanaojiita mamodo wa insta, alikuwa akipiga picha mwanzo mpaka mwisho huku akifanya editing, akanigeuza mpiga picha wake, nafikiri nilichukua zaidi ya picha mia na niliulizwa ipi nzuri kwa kila picha iliyochukuliwa siku ile, mtaalam ilibidi nicheke tuu maana hata hasira ilikuwa useless nikaishia kupiga scotch zisizo na idadi
Watu wa hivi ni kuwa nao makini ukilala anaweza piga picha na wewe akairusha insta au fb. 🤣
 
2. Siku ya birthday yangu! Tumeenda date sehemu akaniletea cake! Kufungua keki tayari imekatwa nusu, kuumuuliza akasema nyumbani kwao wamekata! Nikasema sio case, tukakata pale kidogo na kuendelea kula chakula kingine! Muda wa kuondoka nashangaa anaibeba keki yote! Vipi???? Eti anawapelekea ofisini kwake!!!! Eeh kwakweli kuna vitu vinashangaza, nae alikula block


3. Huyu alikuwa kawaida tu! Siku tunatembea ‘evening walk’ kuna watoto wakawa wanacheza wakikimbizana huku na huku na kule! Wakawa kama wanatusumbua lakini si ni watoto who cares??? Eeh mwenzangu uvumilivu ukamshinda akampiga mtoto mmoja kwenzi zito sana. Mimi na watoto wengine ikabidi tumshangae, huku aliyepigwa akilia! Jamaa hana habari. Kwakweli baada ya tathmini baadae nikaona nimblock tu.
[emoji1][emoji1][emoji1] nimecheka apo kwenye kwenzi[emoji706]
 
Back
Top Bottom