Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga wamepigwa moshi na FFU kwa Mkapa, wakaenda Algeria wakapigwa moshi na Waarabu kwenye ndoto hadi uwanjani. Tusishangae wakajenga hofu na moshi wa aina yoyote.Hang over ya mamoshi moshi ya fataki inaonekana huwa inakaa muda sana kichwani.
Kwa hiyo ile medali ya Feisal ndiyo kweli mkaamua mumpe Zahor Matelephone au ndiyo mnayoenda kumpa mama mdogo?Kama unaona kuchukua ubingwa wa CAF mwepesi,shiriki wewe ufike final..sio una ishia robo final tu.
Unatuletea medali za chuma za 93 ..watu tuma medali mpya za jana.
Unatuletea roho mbaya sisi nani aliyekuambia ushabikie kolo fc nanii.
Acha roho mbaya wewe pushy..
Fika final usituretee roho mbaya..
Eti vibonde vibondeee kwanza nicheke hapo.
Cheza na wewe tuone..
Harusi sio yako unawahi ukumbini.
Kolo kama kolo huwezi kuwa kama yanga milele utaishia robo tu.
Napigilia nyundo kolo ni wa robo finals tu.
Daima mbele nyuma mwikooo
Kumbe si bishani na sidiriaNi be
Kumbe si bishani na sidiriaNi be
Kweli wewe mjingajana mmeshinda lakn kombe kapewa mwingine.mmenipa tabu sana kumuelewesha mdogo wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mda wote wanaamzisha nyuzii za kujipa ahueniiii, woiiiiiihMnaandika sanaaa....ninyi sio washindi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kombe ni mojaaa
Mmeshinda afu hamna furaha
Wafa maji hawa yaani nawaonea huruma wanavojitetea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mda wote wanaamzisha nyuzii za kujipa ahueniiii, woiiiiiih
Endelea kubishana na nyonyo maana sivaagi sidiria...Kumbe si bishani na sidiria
Kweli wewe mjinga
Inachoma mpk kumoyo..Mafanikio ni km haya hapa.
Polee kwa kusindikiza mwenzio mpaka mwisho ya safari yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2646134
Hiyo fainali yenu ya Abiola,mlifunga goal ngapi home na away?Hakuna mtafanya ambacho hatujawahi fanya
Mzee wa medali za CUF leo umepuyanga kinyama sijui ilikuwa kitu cha chuga au ni mbege hii hii ya Uru Madukani.Kumbe si bishani na sidiria
Kwa kweliiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wafa maji hawa yaani nawaonea huruma wanavojitetea
Ila ACHA wajitetee Yanga imeanzisha mwaka 1935 Kwa mara ya kwanza wanafika final ACHA washangilie kwetu for almost 88 years hawajawahi kufanikiwa hata robo ya kombe lolote la kimataifa
Waache TU wajipe moyo
Nakazia hukumu💪Hakuna mtafanya ambacho hatujawahi fanya
Hadi ku mtima yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inachoma mpk kumoyo..