Kumcheka mtu mwenye medali ya CAF wewe hata huna ya mapinduzi ni kisokorokwinyo

Kumcheka mtu mwenye medali ya CAF wewe hata huna ya mapinduzi ni kisokorokwinyo

Kama unaona kuchukua ubingwa wa CAF mwepesi,shiriki wewe ufike final..sio una ishia robo final tu.

Unatuletea medali za chuma za 93 ..watu tuma medali mpya za jana.

Unatuletea roho mbaya sisi nani aliyekuambia ushabikie kolo fc nanii.

Acha roho mbaya wewe pushy..
Fika final usituretee roho mbaya..
Eti vibonde vibondeee kwanza nicheke hapo.

Cheza na wewe tuone..
Harusi sio yako unawahi ukumbini.

Kolo kama kolo huwezi kuwa kama yanga milele utaishia robo tu.

Napigilia nyundo kolo ni wa robo finals tu.

Daima mbele nyuma mwikooo
Kwa hiyo ile medali ya Feisal ndiyo kweli mkaamua mumpe Zahor Matelephone au ndiyo mnayoenda kumpa mama mdogo?
 
Mnaandika sanaaa....ninyi sio washindi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kombe ni mojaaa
Mmeshinda afu hamna furaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mda wote wanaamzisha nyuzii za kujipa ahueniiii, woiiiiiih
 
Mafanikio ni km haya hapa.

Polee kwa kusindikiza mwenzio mpaka mwisho ya safari yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

FB_IMG_16858361021208010.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mda wote wanaamzisha nyuzii za kujipa ahueniiii, woiiiiiih
Wafa maji hawa yaani nawaonea huruma wanavojitetea
Ila ACHA wajitetee Yanga imeanzisha mwaka 1935 Kwa mara ya kwanza wanafika final ACHA washangilie kwetu for almost 88 years hawajawahi kufanikiwa hata robo ya kombe lolote la kimataifa
Waache TU wajipe moyo
 
Wafa maji hawa yaani nawaonea huruma wanavojitetea
Ila ACHA wajitetee Yanga imeanzisha mwaka 1935 Kwa mara ya kwanza wanafika final ACHA washangilie kwetu for almost 88 years hawajawahi kufanikiwa hata robo ya kombe lolote la kimataifa
Waache TU wajipe moyo
Kwa kweliiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom