Kumchokoza Tundu Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani

Kumchokoza Tundu Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani

Lissu ni kichaa anayevaa suti, tai na miwani. Ni kichaa mwenye kuheshimiwa, huwa unamtambua mpaka akianza kufungua mdomo.

Heshima aliyopewa na Mheshimiwa Rais ni hali ya juu sana, kwa mtu mwenye chembechembe za ubinadamu alitakiwa akiheshimu kiti cha urais hata kama anaona SSH hana hadhi ya kuheshimiwa.
Hata kama Rais anakosea aendelee kuheshimiwa tu.Mzazi wako ni mchawi kila mwaka anakuulia watoto uendelee kumheshimu tu kisa mzazi,inaingia akilini kweli.
 
Hata kama Rais anakosea aendelee kuheshimiwa tu.Mzazi wako ni mchawi kila mwaka anakuulia watoto uendelee kumheshimu tu kisa mzazi,inaingia akilini kweli.
Samia amekuwa mzazi mwema sana kwa Lissu, alimtembelea hospitalini Kenya.

Akakutana nae Brussels Ubelgiji na akahakikisha analipwa pesa zote alizoidai serikali.

Amekuwa Mama mwema sana kwa CDM mpaka akashiriki mkutano wao mkuu, kitu ambacho hakuna rais aliyemtangulia aliyeweza kuthubutu kukifanya.

Lissu yote haya hayaoni, huyu ni kichaa anayevaa suti na tai na kukaa viti vya mbele kwenye ghafla mbalimbali. Huwezi kumtambua kwa kumuona tu ni mpaka afungue kinywa chake ndio utamjua vizuri kwamba kichwani pameharibiwa na zile risasi za Dodoma.
 
Samia amekuwa mzazi mwema sana kwa Lissu, alimtembelea hospitalini Kenya.

Akakutana nae Brussels Ubelgiji na akahakikisha analipwa pesa zote alizoidai serikali.

Amekuwa Mama mwema sana kwa CDM mpaka akashiriki mkutano wao mkuu, kitu ambacho hakuna rais aliyemtangulia aliyeweza kuthubutu kukifanya.

Lissu yote haya hayaoni, huyu ni kichaa anayevaa suti na tai na kukaa viti vya mbele kwenye ghafla mbalimbali. Huwezi kumtambua kwa kumuona tu ni mpaka afungue kinywa chake ndio utamjua vizuri kwamba kichwani pameharibiwa na zile risasi za Dodoma.
Pamoja na wema wote huo ulioutaja lakini Mama Samiah anatuingiza katika utumwa wa wazi na matokeo yake utayaona siku za mbeleni.Sudani ni nchi iliyoendelea kuliko Tanzania lakini migogoro haiishi,Nigeria ni nchi iliyoendelea kuliko Tanzania lakini migogoro haiishi,Ethiopia,Eritrea,Somalia mambo hayaeleweki.Kumbuka tamaa zilimponza fisi.
 
Pamoja na wema wote huo ulioutaja lakini Mama Samiah anatuingiza katika utumwa wa wazi na matokeo yake utayaona siku za mbeleni.Sudani ni nchi iliyoendelea kuliko Tanzania lakini migogoro haiishi,Nigeria ni nchi iliyoendelea kuliko Tanzania lakini migogoro haiishi,Ethiopia,Eritrea,Somalia mambo hayaeleweki.Kumbuka tamaa zilimponza fisi.
Migogoro ya majirani ni vita ya kiuchumi. tatizo sio Samia ni utekelezaji wa masharti ya wafadhili kwamba ni lazima waone demokrasia yetu ikikua.

JPM aliwawekea kiburi na wakatukatia misaada. Lakini kuwavimbia huwa hakuna mwendelezo wowote wa kudumu, Samia amekubaliana na masharti na uwekezaji unaendelea kukua.

Hawa kina Lissu wanadhibitiwa vizuri tu, mfumo upo kazini usione ukimya huu wa Tanzania ukadhani unakuja bure bure tu.
 
Migogoro ya majirani ni vita ya kiuchumi. tatizo sio Samia ni utekelezaji wa masharti ya wafadhili kwamba ni lazima waone demokrasia yetu ikikua.

JPM aliwawekea kiburi na wakatukatia misaada. Lakini kuwavimbia huwa hakuna mwendelezo wowote wa kudumu, Samia amekubaliana na masharti na uwekezaji unaendelea kukua.

Hawa kina Lissu wanadhibitiwa vizuri tu, mfumo upo kazini usione ukimya huu wa Tanzania ukadhani unakuja bure bure tu.
Je huu mkataba unahusu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
 
Uzuri back up yake Kwa sasa iko juu nikiwemo Mimi kwani awamu ya tano sikuwa nam back up ila Kwa sasa anao wengi so CCM wamekosa intelligensia kwa sasa
 
Mimi CCM kindakindaki lisu namuogopa,,kajamaa hakaogopi,,
Lisu ni nguchiro haogopi harudi nyuma kamnyama nguchiro ni hatarisana ndiyo maana kwenye mjadala wa kumuondoa Twiga kwenye nembo ilipendekezwa awekwe nguchiro
 
Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku mkimwandikia barua za miito ya mashtaka.

Jamani, Lisu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lisu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lisu alishapigwa za kutosha!

Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.

Mwisho, kutaka ligi na Lisu ni sawa na kuwasha moto nyikani. Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Atarudi Ubelgiji nyie endeleeni na ujinga wenu.
 
Back
Top Bottom