Kumchokoza Tundu Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani

Kumchokoza Tundu Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani

Lissu anapenda ligi na anaenjoy sana hizi ligi. Ni bora CCM wakafocus kweny mambo mengine huyo Lissu wangeachana naye tu. Lissu huwa anafanya vituko makusudi ili serikali imshtaki na huko mahakaman ndo mahali anapopapenda na mara zote panampa umaarufu wa kisiasa mbele ya hao mawakili wa Serikali.

Ushauri wangu kwa CCM ni kuachana na Lissu, wampuuze tu otherwise atatengeneza headlines na hawana kitu cha kumfanya.
 
Lissu sasa hivi anaungwa mkono na zaidi ya 75% ya Watanganyika walioko CCM, wasio na chama na Upinzani.

Kumtishia ni kumpaisha aungwe mkono zaidi.
 
Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku mkimwandikia barua za miito ya mashtaka.

Jamani, Lisu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lisu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lisu alishapigwa za kutosha!

Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.

Mwisho, kutaka ligi na Lisu ni sawa na kuwasha moto nyikani. Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Wana kulitafuta wanakilipata,kulingana na misemo ya wazaramo wa msangangongane na Maneromango😂😂😂
 
Migogoro ya majirani ni vita ya kiuchumi. tatizo sio Samia ni utekelezaji wa masharti ya wafadhili kwamba ni lazima waone demokrasia yetu ikikua.

JPM aliwawekea kiburi na wakatukatia misaada. Lakini kuwavimbia huwa hakuna mwendelezo wowote wa kudumu, Samia amekubaliana na masharti na uwekezaji unaendelea kukua.

Hawa kina Lissu wanadhibitiwa vizuri tu, mfumo upo kazini usione ukimya huu wa Tanzania ukadhani unakuja bure bure tu.
Eti mfumo takataka kabisa
 
Lissu anapenda ligi na anaenjoy sana hizi ligi. Ni bora CCM wakafocus kweny mambo mengine huyo Lissu wangeachana naye tu. Lissu huwa anafanya vituko makusudi ili serikali imshtaki na huko mahakaman ndo mahali anapopapenda na mara zote panampa umaarufu wa kisiasa mbele ya hao mawakili wa Serikali.

Ushauri wangu kwa CCM ni kuachana na Lissu, wampuuze tu otherwise atatengeneza headlines na hawana kitu cha kumfanya.
Ndo ukweli hawawezi mfanya kitu
 
Aliemdanganya kingai kumuita huyo jamaa amtakii mema, sipati picha jinsi lisu alivyofurahia huo wito, baada ya kingai kumhoji lisu ni yeye ndie ataojiwa mpaka akose majibu na atajuta kumuita, labda wampige risasi zingine.
 
Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku wakimwandikia barua za miito ya mashtaka.

Jamani, Lisu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lisu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lisu alishapigwa za kutosha!

Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.

Mwisho, kutaka ligi na Lisu ni sawa na kuwasha moto nyikani! Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Watavuna wanachopanda
 
Samia amekuwa mzazi mwema sana kwa Lissu, alimtembelea hospitalini Kenya.

Akakutana nae Brussels Ubelgiji na akahakikisha analipwa pesa zote alizoidai serikali.

Amekuwa Mama mwema sana kwa CDM mpaka akashiriki mkutano wao mkuu, kitu ambacho hakuna rais aliyemtangulia aliyeweza kuthubutu kukifanya.

Lissu yote haya hayaoni, huyu ni kichaa anayevaa suti na tai na kukaa viti vya mbele kwenye ghafla mbalimbali. Huwezi kumtambua kwa kumuona tu ni mpaka afungue kinywa chake ndio utamjua vizuri kwamba kichwani pameharibiwa na zile risasi za Dodoma.
Acha ujinga
 
Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku wakimwandikia barua za miito ya mashtaka.

Jamani, Lissu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lissu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lissu alishapigwa za kutosha!

Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.

Mwisho, kutaka ligi na Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani! Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Kwani yeye mungu. Hana lolote.
 
Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku wakimwandikia barua za miito ya mashtaka.

Jamani, Lissu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lissu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lissu alishapigwa za kutosha!

Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.

Mwisho, kutaka ligi na Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani! Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Jamani, Lissu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lissu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lissu alishapigwa za kutosha![emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina hakika hiyo siku ikifika, Kingai badala ya kumhoji Lissu, atahojiwa yeye.

Hivi unaanzaje kumtisha mtu aliyeishi kwenye magereza yenu, anayeijua ladha ya chakula chake, na kubwa zaidi maumivu ya uchungu wa risasi zenu 16?!

Maamuzi mengine ni ya kijinga, yanayoonesha vile tulivyo na watendaji wa hovyo kwenye idara za serikali.
Siku moja wengi wataning'iniza vichwa vyao kwa aibu watakapogundua uovu walioutetea na mashujaa waliowakejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom