Samia amekuwa mzazi mwema sana kwa Lissu, alimtembelea hospitalini Kenya.
Akakutana nae Brussels Ubelgiji na akahakikisha analipwa pesa zote alizoidai serikali.
Amekuwa Mama mwema sana kwa CDM mpaka akashiriki mkutano wao mkuu, kitu ambacho hakuna rais aliyemtangulia aliyeweza kuthubutu kukifanya.
Lissu yote haya hayaoni, huyu ni kichaa anayevaa suti na tai na kukaa viti vya mbele kwenye ghafla mbalimbali. Huwezi kumtambua kwa kumuona tu ni mpaka afungue kinywa chake ndio utamjua vizuri kwamba kichwani pameharibiwa na zile risasi za Dodoma.