Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Wana kulitafuta wanakilipata,kulingana na misemo ya wazaramo wa msangangongane na Maneromango😂😂😂Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku mkimwandikia barua za miito ya mashtaka.
Jamani, Lisu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lisu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lisu alishapigwa za kutosha!
Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.
Mwisho, kutaka ligi na Lisu ni sawa na kuwasha moto nyikani. Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Eti mfumo takataka kabisaMigogoro ya majirani ni vita ya kiuchumi. tatizo sio Samia ni utekelezaji wa masharti ya wafadhili kwamba ni lazima waone demokrasia yetu ikikua.
JPM aliwawekea kiburi na wakatukatia misaada. Lakini kuwavimbia huwa hakuna mwendelezo wowote wa kudumu, Samia amekubaliana na masharti na uwekezaji unaendelea kukua.
Hawa kina Lissu wanadhibitiwa vizuri tu, mfumo upo kazini usione ukimya huu wa Tanzania ukadhani unakuja bure bure tu.
Ndo ukweli hawawezi mfanya kituLissu anapenda ligi na anaenjoy sana hizi ligi. Ni bora CCM wakafocus kweny mambo mengine huyo Lissu wangeachana naye tu. Lissu huwa anafanya vituko makusudi ili serikali imshtaki na huko mahakaman ndo mahali anapopapenda na mara zote panampa umaarufu wa kisiasa mbele ya hao mawakili wa Serikali.
Ushauri wangu kwa CCM ni kuachana na Lissu, wampuuze tu otherwise atatengeneza headlines na hawana kitu cha kumfanya.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba yetu ya 1977 ina nchi ngapi?Unahusu bandari iliyo ndani ya JMT hivyo unaihusu pia Jamhuri.
Maswali haya kawaulize walimu wako wa shule ya msingi.Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba yetu ya 1977 ina nchi ngapi?
Watavuna wanachopandaKama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku wakimwandikia barua za miito ya mashtaka.
Jamani, Lisu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lisu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lisu alishapigwa za kutosha!
Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.
Mwisho, kutaka ligi na Lisu ni sawa na kuwasha moto nyikani! Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Neno kwa neno ili tufike kwenye jibu sahihi maana maneno mengi yanachosha.Jibu hoja ili tujue panapovuja ni wapi na tufanyeje ili kurekebisha.Maswali haya kawaulize walimu wako wa shule ya msingi.
Naunga mkono hoja, sisi tulio soma nae Ilboru, hili tunalijua Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!..Mwisho, kutaka ligi na Lisu ni sawa na kuwasha moto nyikani! Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Acha ujingaSamia amekuwa mzazi mwema sana kwa Lissu, alimtembelea hospitalini Kenya.
Akakutana nae Brussels Ubelgiji na akahakikisha analipwa pesa zote alizoidai serikali.
Amekuwa Mama mwema sana kwa CDM mpaka akashiriki mkutano wao mkuu, kitu ambacho hakuna rais aliyemtangulia aliyeweza kuthubutu kukifanya.
Lissu yote haya hayaoni, huyu ni kichaa anayevaa suti na tai na kukaa viti vya mbele kwenye ghafla mbalimbali. Huwezi kumtambua kwa kumuona tu ni mpaka afungue kinywa chake ndio utamjua vizuri kwamba kichwani pameharibiwa na zile risasi za Dodoma.
Huyo jamaa anajifanya mjuaji kumbe ni empty kabisa.Acha ujinga
Halafu amuweke kibatala kama wakili wake. Namuona DCI akiweka mpira kwapaniBinafsi nimemiss kumuona Lissu mahakamani akijitetea
Hiyo battle ni nzuri nsHalafu amuweke kibatala kama wakili wake. Namuona DCI akiweka mpira kwapani
Kwani yeye mungu. Hana lolote.Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku wakimwandikia barua za miito ya mashtaka.
Jamani, Lissu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lissu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lissu alishapigwa za kutosha!
Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.
Mwisho, kutaka ligi na Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani! Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Lisu emty kabisaHuyo jamaa anajifanya mjuaji kumbe ni empty kabisa.
Jamani, Lissu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lissu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lissu alishapigwa za kutosha![emoji419][emoji375]Kama lipo jambo la hatari ambalo wenye Mamlaka wanataka kulifanya, basi ni kuanza kumfuatilia Tundu, huku wakimwandikia barua za miito ya mashtaka.
Jamani, Lissu hana cha kupoteza hapa Duniani. Tundu, ni mfanya siasa aliyepitia kiwango cha juu na cha mwisho kwa mwana siasa wa upinzani kuteswa! Namaanisha, kupigwa mabomu ya machozi, kuzuiliwa mahabusu na hata kupigwa risasi, Lissu ameshayapitia yote hayo. Na hata kupigwa ngwala, Lissu alishapigwa za kutosha!
Shime, wenye Mamlaka, mpuuzeni Tundu endapo mnataka kutawala kwa amani.
Mwisho, kutaka ligi na Lissu ni sawa na kuwasha moto nyikani! Na kama lipo jambo Mnyaturu yule hupenda, basi, ni ligi ya kisiasa yenye michezo ya kisheria ndaniye. Kwa tunaomfahamu Mnyampaa yule, katulia na acheni kumchokoza kwa barua za miito. Vinginevyo, atawaumbua tu.
Siku moja wengi wataning'iniza vichwa vyao kwa aibu watakapogundua uovu walioutetea na mashujaa waliowakejeli.Nina hakika hiyo siku ikifika, Kingai badala ya kumhoji Lissu, atahojiwa yeye.
Hivi unaanzaje kumtisha mtu aliyeishi kwenye magereza yenu, anayeijua ladha ya chakula chake, na kubwa zaidi maumivu ya uchungu wa risasi zenu 16?!
Maamuzi mengine ni ya kijinga, yanayoonesha vile tulivyo na watendaji wa hovyo kwenye idara za serikali.