sasa waliobamBe informed hayo magaidi unayosema kushirikiana na Mbowe jana DPP kayaachia hana ushahidi.
Nimekutukana tusi kubwa sn sema sijaliandika hapaHongera sana, angalu unatambua kuwa Serikali hii ya awamu ya 6 haina upendeleo wa aiana yoyote ile, na ndio maaana leo hii tunaona hatua zina chukuliwa dhidi ya mhalifu yeyote yule bila kujali ni wa chama gani.
Huu sasa ndio utawala unao zingatia Sheria.
Jimmytz15 si Dr Gwajima. I can bet my last coin on this.Leo ndy nmeamn viongoz wa ccm hayana hoja zaid ya kutumia minguvu kuforce mambo yao, yaan leo tena nmeamn wana ccm ni wababaidhaji na waonezView attachment 1871572
Mbowe sio mara ya kwanza kupewa kesi za kubumba kama hii, alipewa kesi ya madawa ya kulevya mkasema hivi hivi.sasa waliobam
ki wale watatu ndiyo watakula msoto na mwenyekiti maana hao ndiyo ushahidi upo hao walioachiwa kweli hawana ushahidi lakini mbowe ushahidi umekamilika mkuuu
Wafanye hivi Kila siku...tuone Kama idadi itaongezeka au kupunguaBaraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Ni kweli halafu alipigwa pale Dodoma na kuteguka mguuMbowe sio mara ya kwanza kupewa kesi za kubumba kama hii, alipewa kesi ya madawa ya kulevya mkasema hivi hivi.
ili iweje ?Wafanye hivi Kila siku...tuone Kama idadi itaongezeka au kupungua
umasikini ni shida sanaNi kweli halafu alipigwa pale Dodoma na kuteguka mguu
Vya bure vina gharama. Aibu.Tambua kwamba Chanjo mil 1 za corona zimetokana na msaada wa Marekani
Tuwaunge mkonoili iweje ?
Ni kweli ni nchi huru, lakini inaitegemea Marekani kupitia usaid kupata condom. Hata chanjo iliozinduliwa leo ni msaada toka kwao.Wamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....
Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....
BAWACHA nao wana haki hiyo.....
Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....
#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
Toka Chacha Wangwe afariki watu wenye akili na wanaotumia akili wameisha CHADEMABaraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Kuteguka mguu imekuwa issue mbona husemi aliyekufa kwa kudharau korona.Ni kweli halafu alipigwa pale Dodoma na kuteguka mguu
Katiba mpya ni jambo jema, but jitahidini kuitafuta kwa njia nzuri, siyo kuwapandisha vichaa kwenye hayo majukwaa yenu na kuanza kutukana mamlaka. Akina Baregu na Safari siwaoni kwa sasa kwenye chama chenu"Gongeni mtafunguliwa". Safi sana BAWACHA. Zidisheni juhudi hadi mkombozi aachiwe huru. Katiba mpya ni LAZIMA. Upepo wa katiba mpya hauzuiliki. "It is a current social and political necessity in Tanzania".
Looh
cde huwa hawalijui hili.Uzuri wa USA yuko kimaslahi, nyie mnaenda kupeleka umbea wenzenu wananunua chanjo, Symbioni inarudi kazini...hizo kelele zenu hawawezi kuzisikia..... hamuon Rwanda, Uganda na pale Saudia kwa MBS..
Lissu kashasema hawataweka wakili, Lissu sijui ni lini ataacha kutoa kauli za kukurupuka. Naiona CDM imara chini ya Mwamba Abubakar kuliko CDM ya bwana LissuKwani Marekani ndiyo walimkamata. Mtuhumiwa ameshafikishwa mahakamani, waache sheria ifuate mkondo wake.
Wangewekeza nguvu nyingi kwa mawakili wa utetezi ili kama kweli ameonewa na kusingiziwa basi wajenge hoja za kisheria za kuwashinda waliomshitaki.