Kumekucha bomoabomoa Ubungo-Kimara ndani ya 90m za hifadi ya barabara

Kumekucha bomoabomoa Ubungo-Kimara ndani ya 90m za hifadi ya barabara

NILIKUWA nacheki na jaamaa Mmoja anaishi kmr mwisho akanicuekesha Sana
Anasema br umashangaa

Yaani toka nihamie kmr ZAIDI ya Bmiabmoakadhaa n kmrtu

Akanikumbusha za mwisho mwishonkacheka sanaaa

Mwisho akatoaushauri mnaobakia fanyeni maombi kweli wakimaliza hi watakuja na 120 amtoki

Poleisana
Mkuu hicho kihutu ulichoandika sio kila mtu anakifahamu
 
Tanroad: Wakazi wa Ubungo/Kimara wameshazizoea hizo notisi zenu. Wanajua wapo ndani ya hifadhi tangu enzi. Ujinga mnaofanya mnatoa notisi, wanabomoa nyumba zao/vibanda vyao, inafika siku ya mwisho wa notisi hakuna inachoendelea.

Matokeo yake maeneo yaliyoachwa wazi wajanja wa mjini wanaanza kuwakodishia wafanyabiashara ndogo ndogo wengine nao wanajenga vibanda na serikali za mitaa wanakusanya ushuru.

Mnaichonganisha serikali na wananchi. Mfano ni Kimara mwisho. Mlitoa notisi inayoishia 25/2/2021, baadhi wakavunja vibanda vyao baadhi hawakuvunja sababu wanajua udhaifu wenu.

Wananchi wameona hakuna utekelezaji wa notisi yenu wamerudi kwa kasi sababu wanatafuta riziki. Tekelezeni notisi zenu wananchi wasiendelee kupata hasara.
 
Hili linasemwa sana mitaani,lakini Wabunge wapo kimya!!
Ukisha jua wabunge ni zao la nani basi huna haja ya kuumiza kichwa wabunge hawa hawa ndio walio pitisha budget ya hovyo inayo ongeza mzigo mzito kwa wananchi tena huku wakijua kabisa wanapeleka mzigo kwa wanachi unadhan wana msaada gani hawa vihiyo?
 
CCM hawana huruma kabisa yaani hata kifuta jasho hamna wajemeni
 
Ekueeemee ekuemeeeee ur the lvn gadooooooo.......ese no one like u
 
Leoooooo nimekumbukaa MZEE Mmoja alikuwaa na frame mengi stop OV. Na nyumba za kupanga

wakati WANAPITA grader alianza kulia SANAa SANAa akaongea Mambo mengi Sana..mojawapo alisema najua ntakufa na pressure.

watu tulimzuia kuongea enxihizo kuna KIBANDA cha msela wangu TULIENDA kukibeba.

leo Yule mzee Hatukonae Tena nawaza tu sisemi.

Mamayetu Raisi wetu hawa WAHANGA WAANGALIENI mnawafanyaje MNAWASAIDIAJE vinginevyo vilio vyao vitatutesa
tutazidi kusanufaisha wauza MAJENEZA waendelee kuzika Wapiga kura wetu.

thwaondoe kwa hekima. Naamini hakuna atakaeogomea maendeleo shida anaelekea wapi haposasa.

polenisana teammba ndio maisha na muendako mkumbyke kuchk kale kajiwe pendwa muendako of na Muwe. Na JAMAA wa Tant wasijehaohao kuwaondoa.

nikiwa na mmoja WAHANGA jana anasema WAMEKUWA wakiliipa Kodi hayo MAENEO mmh Kama kweli na yalemabanda yote yaliokuwa yakilipia Kodi tra na leseni

nahisi hekima itumike pia kuweza KUCHUKUA Kodi na malipo ya leseni kuliwaamanisha wako Salama

Wasihukumiwe kwahiloooo..polenisanajaman sanaaa

usikumwema .....

KARIBUNI KESHO KWA KUHANI MUSA RICHARD MWACHA KMR TEMBONIBABALAAAOOOOOO

TUNAKEMEA ROHO ZA HASARA WE UNAHISI KAWAIDA KUBOMOLEWA.KUMBE ROHO ZA HASARA INAKUTESA...SAA TISA
ROHO ZA UFUKARA NA UMASIKINI
HAKUNA KIINGILIOO...MSISAHAU SADAKA YA KUMSHUKURU MUNGU HATA KUFIKA SALAMA ULIPOFIKIA,..

UNA WATESI.WANAKUTESA NJOOO. MLILIE.MUNGU.MWAMBIE.AWAFANYE.NN.BINAFSI.TUMASHAURI.WATESI.WACHAWI.WAGANGA WA.MAISHA YAKO.SEMA.NA MUNGU MWAMBIE AWATENDEE NN.....HATAKAMA N NDUGUYENU KAMA ANACHANGIA MATESO YAKOO AKATE MOTOO YAAN.UKIJA JIANDAE KUSAMALUZA WATESIWAKO

WAHANGA MNAKARIBISHWA PIA SANA NJOON MKEMEE MKIZIACHA MNAISHIA KUNUNUNUA VIWANJA FEKI MUENDAKO AMA MNAPANGA NYUMBA MNALIPA.MIEZI SITA GAFLA TII TANT HAOOOOOO WANATAKA NJIA...USIDHARAU MATUKIO YASIOKUWA YAKAWAIDA UTALIA.MKIKAA KIMYA

#MKEKAUNACHANIKA SHAURIZENU
 
Sheria ni msumeno! Mkitaka hilo lifumbiwe macho tena basi jua kuwa hata amiri jeshi kesho akiamua kufanya yake kinyume na katiba mtapaswa mshangilie pia!
 
Leoooooo nimekumbukaa MZEE Mmoja alikuwaa na frame mengi stop OV. Na nyumba za kupanga

wakati WANAPITA grader alianza kulia SANAa SANAa akaongea Mambo mengi Sana..mojawapo alisema najua ntakufa na pressure mmnaniua na pressure walioshiriki wote HAKIKA watanifwata....
Wape nyumba yako wakae, mmemuua JPM mkijua yeye ndio mwenye makosa?

mlimsema sana JPM wa watu, leo mnagundua HAIJALISHI NANI ANAKUWA RAIS, SHERIA ZIKO PALE PALE

HAO WALILIPWA FIDIA MIAKA YA ZAMANI, WAKAUZIANA, NA KUUZIANA, NA KUUZIANA, MPAKA LEO INAONEKANA WAKO PALE KHALALI!!! HAWAKO KIHALALI

SASA ISSUE ZA SHERIA SIO BARABARANI TU, KUNA WABAKAJI, WAHUNI, WEZI, KILA MTU AMBAYE UTASEMA........ wapeleke taratibu
 
Leo nimejifunza utifauti mkubwa kati ya kusimamia sheria na kuongea kwa msukumo wa hisia...😂😂🤣🤣😅😅
 
Hivi zile mita 30 watu hatuzionagi...? kwanini tunapena lawama tuu, kweli inauma kuanza moja lakini nasisi tujifunze kitu kimoja tuwe na tabia ya kujihami kwa kununua maeneo ambayo yapo mbali na hifadhi za barabara au reli hii itatusaidia sana...
 
Katiba mpya ni ya muhimu sana, kuna maelezo mengi sana yanapwaya hasa upande wa ujenzi, mipango miji wanafanya kazi kwa mihemko,

Wakati wa mafuriko kipindi cha bwana Kikwete, watu walihamishiwa mabwepande,je kuna assessment yoyote ilifanyika....? watu wa mipango walienda huko kweli...? Baada ya miaka kumi atakuja Rais mwingine atawabomolea nyumba zao na watu watalia tena, Naona ni muda sasa watu wa mipango miji wafanye majukumu yao ipasavyo lasivyo tutalia kilio kilekile kila siku

Mwalimu.
 
Mkuu usiku huu unakimbizwa na Nani kwani na huo mwandiko..mbn kadili unavyoshuka Aya mwandiko unakuwa mbovu hivyo?

Anyway,msalimie kuhani hapo kimara
 
Wape nyumba yako wakae, mmemuua JPM mkijua yeye ndio mwenye makosa?

mlimsema sana JPM wa watu, leo mnagundua HAIJALISHI NANI ANAKUWA RAIS, SHERIA ZIKO PALE PALE...
Kwani mleta mada ni kirusi cha Covid19? Lile jamaa lilitishia wadudu kama linavyowatishia wanaomkosoa... wadudu wakaona isiwe tabu. Wakamtendea miujiza...

Mrithi wake naona kaona acheze kwa step... wale wadudu hawaogopi magwanda wala mitutu ya bunduki...
 
bora wabomoe kabla bado hawajazoea, wakizoea ni shida kwa watanzania tunajijua,hawakawii kuomba fidia.
hii ni barabara kuuu ktk Jiji la DSM kuanzia kimara mpaka Mpakani Kibaha hili ndio lango Kuu la Jaji la DSM hivyo TANROAD na TAMISEMI hawana budi kuhakikisha kipande hiki cha barabara mpya inayo jengwa inawekwa taaa za barabarani.
 
Back
Top Bottom