Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kaa tayari kwa hoja nzito .
Wote mnakaribishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm all ears.
endelea kutega sikioNaomba kuulza je,mkazuzu atakuwepo?
Ni aibu kubwa sana !Kesho utasikia polisi wamekuja hapo na kuvuruga mkutano then tra watakula sahani moja na mwenye hotel wakati haya yakitokea maaskofu wetu Salam za xmass walizungumzia kutunza mazingira!!
Wewe kwako kila siku ni giza?Kila siku kwako kumekucha.
Kila siku kwako kumekucha.
Kwani tatizo liko wapi?Wewe kwako kila siku ni giza?
Jangili apewe jimbo ili iweje ? iringa siyo kondoaHao nao wanapoteza Muda tu,,,,Hilo Jimbo kashaandaliwa Bin Abri...Asas Company,,,Msigwa buriani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana Plato alitembea na taa ya kandili mchana Sasa nimemuelewa !!!Kwani tatizo liko wapi?
Wewe mbona uko gizani sasa?Ndio maana Plato alitembea na taa ya kandili mchana Sasa nimemuelewa !!!
Katika mwanga huu wa mchana bado Kuna walio gizani alijibu alipoulizwa !!
Jina lako linasadifu madhila yako !!Huko ufipa kuna kanda nzito na nyepesi?
Achana na jina langu, pambana na hali yako.Jina lako linasadifu madhila yako !!
Nikuulize swali Erythro: hivi ulishagundua hii mbinu ya kuharibu maksudi mazima mada hapa JF? Hebu tazama uchangiaji toka #7 na kuendelea.
Matamko koko tu na kutaka kujionesha kwamba na wao wapoKaa tayari kwa hoja nzito .